< Men Rom 9 >

1 NGAI kin lokaia melel ren Kristus, o i sota kin likam, pwe insen ai o Ngen saraui kadede ia da,
Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
2 Me i kin patautau o insensued nan mongiong i kaukaule.
Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
3 Pwe pein ngai inong iong en riala, pwen dooki wei sang Kristus pweki ri ai kan ni pali uduk.
kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
4 Iei men Israel me udan seri en Kot, me ar lingan, o inau kan, o kapung, o upa Kot, o kokop akan mia,
Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5 Me samaneki sam atail akan me Kristus pil tapi sang ia ni pali uduk a, me poedi meakaros, iei Kot me iasanai kokolata, amen. (aiōn g165)
Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina. (aiōn g165)
6 Pwe kaidin dene masan en Kot so pwaida, pwe kaidin karos men Israel, me tikidar Israel;
Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7 Pil kaidin karos seri kan, me kisan kadaudok en Apraam; pwe sang ren Isaak kadaudok om pan tapi sang ia.
Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Wazao wake watatokana na Isaka.”
8 Ari, kaidin irail seri en Kot akan, me seri kan ni tiak en uduk, a seri en inau kan pan wad ong kadaudok o.
Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9 Pwe i masan, masan en inau eu: Ni ansau o I pan kodo, a Sara pan naitikada seri ol amen.
Maana ahadi yenyewe ni hii: “Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto.”
10 A kaidin i eta, pwe pil Repeka lao lisean ong sam atail Isaak.
Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11 Pwe ni ansau seri ko kaikenta ipwidier, o pil kaikenta wiadar meakot mau de me sued, o pwe kupur en Kot en pwaida, kaidin ni wiawia a ni lipilipil ren me piladar o,
Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
12 A kotin masani ong i: Me laud o pan papa me tikitik!
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
13 Duen a intingidier: Iakop me I pok ong er, a Esau me I likidmalielar.
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
14 Ari, da me kitail en inda? Kot me sapung? O so!
Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
15 Pwe a kotin masani ong Moses: I pan maki ong, me I men maki ong, o I pan pokepoke, me I men pokepoke.
Maana alimwambia Mose: “Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka.”
16 Ari, sota katepa, ma amen pan pein inong iong de tange wei, a ma Kot pan kotin maki ong amen.
Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
17 Pwe kisin likau me katitiki ong Parao: Nan iet me I kilele uk adar, pwe I en kasale kida uk ai manaman, o pwe mar ai en indandeki sili ni sap akan karos.
Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: “Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani.”
18 Ari, a kin kotin maki ong, me a kotin kupura, ap kapitakaila, duen me a kotin mauki.
Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
19 Koe ap pan indang ia: Ari da me a kailong kin ia? Pwe is me kak palian kupur a?
Labda utaniuliza: “Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?”
20 Ei melel aramas koe, is koe, me men palian Kot? Da, dipisou pan indai ong me wiadar i: Menda koe wiai ong ia momuei?
Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: “Kwa nini umenitengeneza namna hii?”
21 Pala saun wiada dal sota manaman ong, en wia kida lopon en pwel ota dal eu me kaselel, de eu me sakanekan?
Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
22 A Kot kotin kanongama ong dal sued akan, me wiauier ong lokidokila, ni a men kasaleda a ongiong o manaman,
Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
23 O a pil men kotin kasaleda a dir en lingan ki dal en a mak kan, me a kotin kaonopadar mas o en linganla.
Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
24 Iei kitail, me a kotin warongdo, kaidin sang ren Sus akan eta, a pil sang ren men liki kan.
Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
25 Duen a pil kotin masanier nan puk en Osea: I pan kaadaneki irail, me kaidin nai, nai aramas akan, o me so kompoke pai, kompoke pai.
Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: “Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
26 A pan wiaui wasa o me a loki ong irail: Komail kaidin nai aramas, i wasa re pan adaneki seri en Kot ieias.
Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai.”
27 A Iesaia likelikwir duen men Israel: Ma seri en Israel akan pan rasong pik en oror, lua ta pan maurela.
Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: “Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
28 Pwe a pan kotin kairela sapwilim a dodok o kamode kila ni a pung, pwe Kaun o pan kotin wiada dok motomot nin sappa.
maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”
29 O duen Iesaia masanier mas o: Ma Kaun Sepaot so nikideki ong kitail kaparapar, kitail pan dueta Sodom o Komora.
Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: “Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora.”
30 Ari, da me kitail en inda duen men liki kan me sota rapaki pung, re diaradar pung, a pung eu, me tapi sang poson.
Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
31 A men Israel me inong iong kapwaiada kusoned en pung, ap sota konodi kusoned wet.
hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
32 Pwekida? Pweki a sota tapi sang ni poson a ni wiawia kan, pwe irail dipikelekeleki takai en dipikelekel.
Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33 Duen a intingidier: Kilang, I pasonedi takai eu nan Sion, takai en dipikelekel eu o paip en kamakar. A me pan poson i, a sota pan sarodi.
kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: “Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!”

< Men Rom 9 >