< اول تواریخ 8 >

فرزندان بنیامین به ترتیب سن اینها بودند: بالع، اشبیل، اخرخ، 1
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
نوحه و رافا. 2
Noha, na Rafa.
پسران بالع اینها بودند: ادار، جیرا، ابیهود، 3
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
ابیشوع، نعمان، اخوخ، 4
Abishau, Naamani, Ahoa,
جیرا، شفوفان و حورام. 5
Gera, Shefufani, na Huramu.
پسران احود اینها بودند: نعمان، اخیا و جیرا. اینها رؤسای طوایفی بودند که در جبع زندگی می‌کردند، اما در جنگ اسیر شده به مناحت تبعید شدند. جیرا (پدر عزا و اخیحود) ایشان را در این تبعید رهبری کرد. 6
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
شحرایم زنان خود حوشیم و بعرا را طلاق داد، ولی از زن جدید خود خُدِش در سرزمین موآب صاحب فرزندانی به اسامی زیر شد: یوباب، ظبیا، میشا، ملکام، یعوص، شکیا و مرمه. تمام این پسران رؤسای طوایف شدند. 8
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
حوشیم، زن سابق شحرایم، ابیطوب و الفعل را برایش زاییده بود. 11
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
پسران الفعل عبارت بودند از: عابر، مشعام و شامد. (شامد شهرهای اونو و لود و روستاهای اطراف آنها را بنا کرد.) 12
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
پسران دیگر او بریعه و شامع، رؤسای طایفه‌هایی بودند که در ایلون زندگی می‌کردند. آنها ساکنان جت را بیرون راندند. 13
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
پسران بریعه اینها بودند: اخیو، شاشق، یریموت، زبدیا، عارد، عادر، میکائیل، یشفه و یوخا. 14
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15
Zebadia, Aradi, Eda,
16
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
افراد زیر هم پسران الفعل بودند: زبدیا، مشلام، حزقی، حابر، یشمرای، یزلیاه و یوباب. 17
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
پسران شمعی: یعقیم، زکری، زبدی، الیعینای، صلتای، ایلی‌ئیل، ادایا، برایا و شمرت. 19
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20
Elienai, Zilletai, Elieli,
21
Adaia, Beraia, na Shimrati.
پسران شاشق: یشفان، عابر، ایلی‌ئیل، عبدون، زکری، حانان، حننیا، عیلام، عنتوتیا، یفدیا و فنوئیل. 22
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23
Abdoni, Zikri, Hanani,
24
Hanania, Elamu, Antotoja,
25
Ifdeia, na Penueli.
پسران یرحام: شمشرای، شحریا، عتلیا، 26
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
یعرشیا، ایلیا و زکری. 27
Yaareshia, Elija, na Zikri.
اینها رؤسای طوایفی بودند که در اورشلیم زندگی می‌کردند. 28
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
یعی‌ئیل، شهر جبعون را بنا کرد و در آنجا ساکن شد. نام زن او معکه بود. 29
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
پسر ارشد او عبدون نام داشت و پسران دیگرش عبارت بودند از: صور، قیس، بعل، ناداب، 30
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
جدور، اخیو، زاکر 31
Gedori, Ahio, na Zekari.
و مقلوت پدر شماه. تمام این خانواده‌ها با هم در شهر اورشلیم زندگی می‌کردند. 32
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
نیر پدر قیس، و قیس پدر شائول بود. یهوناتان، ملکیشوع، ابیناداب و اشبعل پسران شائول بودند. 33
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
مفیبوشت پسر یوناتان و میکا پسر مفیبوشت بود. 34
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
پسران میکا: فیتون، مالک، تاریع، آحاز. 35
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
آحاز پدر یهوعده، و یهوعده پدر علمت و عزموت و زمری بود. زمری پدر موصا بود. 36
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
موصا پدر بنعا، بنعا پدر رافه، رافه پدر العاسه و العاسه پدر آصیل بود. 37
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
آصیل شش پسر داشت: عزریقام، بکرو، اسماعیل، شعریا، عوبدیا و حانان. 38
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
عیشق برادر آصیل سه پسر داشت: اولام، یعوش و الیفلط. 39
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
پسران اولام جنگاورانی شجاع و تیراندازانی ماهر بودند. این مردان ۱۵۰ پسر و نوه داشتند، 40
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< اول تواریخ 8 >