< روت 4 >

و بوعز به دروازه آمده، آنجا نشست و اینک آن ولی که بوعز درباره او سخن گفته بود می‌گذشت، و به او گفت: «ای فلان! به اینجابرگشته، بنشین.» و او برگشته، نشست. ۱ 1
Ndipo Boazi akaenda kwenye lango la Bethelehemu na kukaa chini. Muda mfupi tu akaja ndugu wa karibu ambaye Boazi alimuongelea. Boazi akamwambia, “Rafiki yangu, njoo hapa na uketi. Kisha mtu huyo akaja na kuketi.
و ده نفراز مشایخ شهر را برداشته، به ایشان گفت: «اینجابنشینید.» و ایشان نشستند. ۲ 2
Ndipo Boazi akakusanya viongozi kumi wa mji na kusema, “Katini hapa.” Hivyo wakaketi.
و به آن ولی گفت: «نعومی که از بلاد موآب برگشته است قطعه زمینی را که از برادر ما الیملک بود، می‌فروشد. ۳ 3
Boazi alimwambia yule jamaa wa karibu, “Naomi aliyerudi kutoka mji wa Moabu, anauza sehemu ya aridhi ambayo ilikuwa ni miliki ya kaka yetu Elimeleki.
ومن مصلحت دیدم که تو را اطلاع داده، بگویم که آن را به حضور این مجلس و مشایخ قوم من بخر، پس اگر انفکاک می‌کنی، بکن، و اگر انفکاک نمی کنی مرا خبر بده تا بدانم، زیرا غیر از تو کسی نیست که انفکاک کند، و من بعد از تو هستم.» اوگفت: «من انفکاک می‌کنم.» ۴ 4
Nilifikiria kukujulisha na kukwambia, 'Inunue mbele ya hawa waliokaa hapa, na mbele ya viongozi wa watu wangu.' Ikiwa utapenda kuikomboa, ikomboe. Lakini ikiwa hauhitaji kuikomboa, uniambie, ili nijue, kwa kuwa hakuna mwingine wa kuikomboa isipokuwa wewe, na mimi ni mdogo wako.” Ndipo huyo mtu mwingine akasema, “Nitalikomboa.”
بوعز گفت: «درروزی که زمین را از دست نعومی می‌خری، ازروت موآبیه، زن متوفی نیز باید خرید، تا نام متوفی را بر میراثش برانگیزانی.» ۵ 5
Kisha Boazi akasema, “Ile siku utakayonunua shamba kutoka mkononi mwa Naomi, yakupasa pia kumchukua Ruth Mmoabu, mjane wa mtoto wa Elimeleki, ili kuliinua jina la marehemu kama urithi wake.”
آن ولی گفت: «نمی توانم برای خود انفکاک کنم مبادا میراث خود را فاسد کنم، پس تو حق انفکاک مرا بر ذمه خود بگیر زیرا نمی توانم انفکاک نمایم.» ۶ 6
Ndipo yule jamaa wa karibu akasema, “Mimi siwezi kuikomboa ardhi kwa ajili yangu bila kuleta athari kwenye urithi wangu binafsi. Nakupa wewe haki ya kuikomboa kwa ajili yako mwenyewe, kwa kuwa mimi sitoweza.”
و رسم انفکاک و مبادلت در ایام قدیم دراسرائیل به جهت اثبات هر امر این بود که شخص کفش خود را بیرون کرده، به همسایه خود می‌داد. و این در اسرائیل قانون شده است. ۷ 7
Hii ilikuwa ni desturi ya zamani ya Israeli kuhusu ukombozi na kubadilishana mazuri. Kudhibitisha mambo haya yote, mtu huyu alivua kiatu chake na kumpatia jirani yake; hii ilikuwa ni namna ya kufanya makubaliano ya kisheria katika Israeli.
پس آن ولی به بوعز گفت: «آن را برای خود بخر.» و کفش خود را بیرون کرد. ۸ 8
Kwa hiyo huyu jamaa wa karibu akamwambia Boazi, “Inunue mwenyewe.” Kisha akavua kiatu chake.
و بوعز به مشایخ و به تمامی قوم گفت: «شما امروز شاهد باشید که تمامی مایملک الیملک و تمامی مایملک کلیون ومحلون را از دست نعومی خریدم. ۹ 9
Ndipo Boazi akawaambia viongozi na watu wote, “Ninyi ni mashaidi kuwa nimenunua kila kilichokuwa cha Elimeleki na kila kilichokuwa na Kileoni na Mahilon kutoka kwenye mikono ya Naomi.
و هم روت موآبیه زن محلون را به زنی خود خریدم تا نام متوفی را بر میراثش برانگیزانم، و نام متوفی ازمیان برادرانش و از دروازه محله‌اش منقطع نشود، شما امروز شاهد باشید.» ۱۰ 10
Zaidi ya hayo kumhusu Ruth Mmoabu, mke wa Mahlon: nimempa kibali cha kuwa mke wangu, ili kuendeleza jina na urithi wa marehumu, ili kwamba jina lake lisipotee kati ya ndugu zake na lango la watu wake. Ninyi ni mashahidi leo.”
و تمامی قوم که نزد دروازه بودند و مشایخ گفتند: «شاهد هستیم و خداوند این زن را که به خانه تو درآمد، مثل راحیل و لیه گرداند که خانه اسرائیل را بنا کردند، و تو در افراته کامیاب شو، ودر بیت لحم نامور باش. ۱۱ 11
Watu wote na viongozi waliokuwa katika lango, walisema, “Tu mashahidi. Yahweh amfanye mwanamke huyu ambaye amekuja nyumbani kwako kama Raheli na Leya, ambao wawili hawa wameijenga nyumba ya Israeli. Na ubarikiwe katika Efrata na kuwa mashuhuri katika Bethelehem.
و خانه تو مثل خانه فارص باشد که تامار برای یهودا زایید، ازاولادی که خداوند تو را از این دختر، خواهدبخشید.» ۱۲ 12
Na nyumba yako kama nyumba ya Peres, ambaye Tamari alimzalia yuda, kupitia uzao ambao Yahweh atakupatia pamoja na msichana huyu.”
پس بوعز روت را گرفت و او زن وی شد وبه او درآمد و خداوند او را حمل داد که پسری زایید. ۱۳ 13
Hivyo Boazi alimchukua Ruth, na akawa mke wake. Boazi alilala naye, na Yahweh alimruhusu kupata mimba, na alizaa mtoto wa kiume.
و زنان به نعومی گفتند: «متبارک بادخداوند که تو را امروز بی‌ولی نگذاشته است و نام او در اسرائیل بلند شود. ۱۴ 14
Wanamke huyu akamwambia Naomi, “Yahweh abarikiwe, ambaye hajakuacha bila ndugu wa karibu, yaani mtoto huyu. Jina lake na liwe maarufu katika Israeli.
و او برایت تازه کننده جان و پرورنده پیری تو باشد، زیرا که عروست که تو را دوست می‌دارد و برایت از هفت پسر بهتراست، او را زایید.» ۱۵ 15
Na awe kwako mrutubishaji wa maisha na mwenye ruzuku uzeeni mwako, kwa kuwa mtoto wako mkwe, ambaye anakupenda, ambaye ni bora kwako kuliko watoto wa kiume saba, amemzaa.
و نعومی پسر را گرفته، در آغوش خود گذاشت و دایه او شد. ۱۶ 16
Kisha naomi akamchukua mtoto, akamlaza kifuani pake, na kumhudumia.
و زنان همسایه‌اش، او را نام نهاده، گفتند برای نعومی پسری زاییده شد، و نام اورا عوبید خواندند و او پدر یسی پدر داوداست. ۱۷ 17
Na majirani wa yule mwanamke, wakampa jina, wakisema, “Mtoto amezaliwa kwa Naomi.” Wakawita Obedi. Ambaye alikuja kuwa baba yake na Jese, ambaye alikuja kuwa baba yake na Daudi.
این است پیدایش فارص: فارص حصرون را آورد؛ ۱۸ 18
Hiki kilikuwa ni kizazi cha Peresi: Peres alimzaa Hezroni,
و حصرون، رام را آورد؛ و رام، عمیناداب را آورد؛ ۱۹ 19
Hezroni akamzaa Ram, Ram akamzaa Aminadabu,
و عمیناداب نحشون راآورد؛ و نحشون سلمون را آورد؛ ۲۰ 20
Aminadabu akamzaa Nashon, Nashon akamzaa Salmon,
و سلمون بوعز را آورد؛ و بوعز عوبید را آورد؛ ۲۱ 21
Salmon akamzaa Boazi, Boazi akamzaa Obed,
و عوبیدیسی را آورد؛ و یسی داود را آورد. ۲۲ 22
Obedi akamzaa Jese, na Jese akamzaa Daudi.

< روت 4 >