< مکاشفهٔ یوحنا 8 >

و چون مهر هفتم را گشود، خاموشی قریب به نیم ساعت در آسمان واقع شد. ۱ 1
Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri ya saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.
و دیدم هفت فرشته را که در حضور خد ایستاده‌اند که به ایشان هفت کرنا داده شد. ۲ 2
Nami nikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele za Mungu, nao wakapewa tarumbeta saba.
و فرشته‌ای دیگرآمده، نزد مذبح بایستاد با مجمری طلا و بخوربسیار بدو داده شد تا آن را به دعاهای جمیع مقدسین، بر مذبح طلا که پیش تخت است بدهد، ۳ 3
Malaika mwingine aliyekuwa na chetezo cha dhahabu, akaja na kusimama mbele ya madhabahu. Akapewa uvumba mwingi ili autoe pamoja na maombi ya watakatifu wote, juu ya yale madhabahu ya dhahabu yaliyo mbele ya kile kiti cha enzi.
و دود بخور، از دست فرشته با دعاهای مقدسین در حضور خدا بالا رفت. ۴ 4
Ule moshi wa uvumba pamoja na yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu mbele za Mungu, kutoka mkononi mwa huyo malaika.
پس آن فرشته مجمررا گرفته، از آتش مذبح آن را پر کرد و به سوی زمین انداخت و صداها و رعدها و برقها و زلزله حادث گردید. ۵ 5
Kisha yule malaika akachukua kile chetezo, akakijaza moto kutoka kwa yale madhabahu, akautupa juu ya dunia. Pakatokea sauti za radi, ngurumo, umeme wa radi na tetemeko la ardhi.
و هفت فرشته‌ای که هفت کرنا را داشتندخود را مستعد نواختن نمودند ۶ 6
Basi wale malaika saba waliokuwa na zile tarumbeta saba wakajiandaa kuzipiga.
و چون اولی بنواخت تگرگ و آتش با خون آمیخته شده، واقع گردید و به سوی زمین ریخته شد و ثلث درختان سوخته و هر گیاه سبز سوخته شد. ۷ 7
Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake, pakatokea mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, navyo vikatupwa kwa nguvu juu ya nchi. Na theluthi ya dunia ikateketea, theluthi ya miti ikateketea, na nyasi yote mbichi ikateketea.
و فرشته دوم بنواخت که ناگاه مثال کوهی بزرگ، به آتش افروخته شده، به دریا افکنده شد و ثلث دریا خون گردید، ۸ 8
Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto kikatupwa baharini. Theluthi ya bahari ikawa damu,
و ثلث مخلوقات دریایی که جان داشتند، بمردند و ثلث کشتیها تباه گردید. ۹ 9
theluthi ya viumbe vyenye uhai viishivyo baharini vikafa na theluthi ya meli zikaharibiwa.
و چون فرشته سوم نواخت، ناگاه ستاره‌ای عظیم، چون چراغی افروخته شده از آسمان فرود آمد و بر ثلث نهرها و چشمه های آب افتاد. ۱۰ 10
Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake, na nyota kubwa iliyokuwa ikiwaka kama taa ikaanguka toka angani, ikaangukia theluthi ya mito na chemchemi za maji.
و اسم آن ستاره را افسنتین می‌خوانند؛ و ثلث آبها به افسنتین مبدل گشت و مردمان بسیار ازآبهایی که تلخ شده بود مردند. ۱۱ 11
Nyota hiyo inaitwa Uchungu. Theluthi ya maji yakawa machungu na watu wengi wakafa kutokana na maji hayo kwa maana yalikuwa machungu.
و فرشته چهارم بنواخت و به ثلث آفتاب وثلث ماه و ثلث ستارگان صدمه رسید تا ثلث آنهاتاریک گردید و ثلث روز و ثلث شب همچنین بی‌نور شد. ۱۲ 12
Kisha malaika wa nne akaipiga tarumbeta yake, na theluthi ya jua, theluthi ya mwezi na theluthi ya nyota zikapigwa. Kwa hiyo theluthi moja ya mwanga ikawa giza. Theluthi ya mchana ikawa haina mwanga na pia theluthi ya usiku.
و عقابی را دیدم و شنیدم که دروسط آسمان می‌پرد و به آواز بلند می‌گوید: «وای وای وای بر ساکنان زمین، بسبب صداهای دیگرکرنای آن سه فرشته‌ای که می‌باید بنوازند.» ۱۳ 13
Nilipokuwa tena nikitazama, nikamsikia tai mmoja akipiga kelele kwa sauti kuu wakati akiruka katikati ya mbingu, akisema, “Ole! Ole! Ole wa watu waishio duniani, kwa sababu ya tarumbeta ambazo malaika hao wengine watatu wanakaribia kuzipiga!”

< مکاشفهٔ یوحنا 8 >