< مزامیر 96 >

یهوه را سرود تازه بسرایید! ای تمامی زمین خداوند را بسرایید! ۱ 1
Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya; mwimbieni Yahwe, nchi yote.
خداوند رابسرایید و نام او را متبارک خوانید! روز به روزنجات او را اعلام نمایید. ۲ 2
Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
در میان امت‌ها جلال او را ذکر کنید و کارهای عجیب او را در جمیع قومها. ۳ 3
Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
زیرا خداوند، عظیم است و بی‌نهایت حمید. و او مهیب است بر جمیع خدایان. ۴ 4
Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
زیراجمیع خدایان امت‌ها بتهایند، لیکن یهوه آسمانهارا آفرید. ۵ 5
Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
مجد و جلال به حضور وی است وقوت و جمال در قدس وی. ۶ 6
Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
‌ای قبایل قوم‌ها خداوند را توصیف نمایید! خداوند را به جلال و قوت توصیف نمایید! ۷ 7
Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
خداوند را به جلال اسم او توصیف نمایید! هدیه بیاورید و به صحنهای او بیایید! ۸ 8
Mpeni Yahwe utukufu ambao unastahili jina lake. Leteni matoleo na muingie nyuani mwake.
خداوندرا در زینت قدوسیت بپرستید! ای تمامی زمین ازحضور وی بلرزید! ۹ 9
Mpigieni magoti Yahwe mkiwa mmevaa mavazi ambayo yanaheshimu utakatifu wake. Nchi yote tetemekeni mbele zake.
در میان امت‌ها گوییدخداوند سلطنت گرفته است. ربع مسکون نیزپایدار شد و جنبش نخواهد خورد. قومها را به انصاف داوری خواهد نمود. ۱۰ 10
Semeni kati ya mataifa, Yahwe anatawala.” Ulimwengu pia umeimarishwa; hauwezi kutikiswa. Yeye huwahukumu watu kwa haki.
آسمان شادی کند و زمین مسرور گردد. دریا و پری آن غرش نماید. ۱۱ 11
Mbingu na zifurahi, na nchi ishangilie; bahari na ivume na vyote viijazavyo vipige kelele kwa shangwe.
صحرا و هر‌چه در آن است، به وجد آید. آنگاه تمام درختان جنگل ترنم خواهند نمود ۱۲ 12
Mashamba yashangilie na vyote vilivyomo. Kisha miti ya mstuni ipige kelele kwa furaha
به حضور خداوند زیرا که می‌آید. زیرا که برای داوری جهان می‌آید. ربع مسکون را به انصاف داوری خواهد کرد و قوم هارا به امانت خود. ۱۳ 13
mbele za Yahwe, maana yeye anakuja. Anakuja kuihukumu nchi. Naye atauhukumu ulumwengu kwa haki na mataifa kwa uaminifu wake.

< مزامیر 96 >