< مزامیر 56 >
برای سالار مغنیان بر فاخته ساکت در بلاد بعیده. مکتوم داود وقتی که فلسطینیان او را در جت گرفتند ای خدا بر من رحم فرما، زیرا که انسان مرا به شدت تعاقب میکند. تمامی روزجنگ کرده، مرا اذیت مینماید. | ۱ 1 |
Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
خصمانم تمامی روز مرا به شدت تعاقب میکنند. زیرا که بسیاری با تکبر با من میجنگند. | ۲ 2 |
Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
هنگامی که ترسان شوم، من بر تو توکل خواهم داشت. | ۳ 3 |
Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
در خدا کلام او را خواهم ستود. بر خداتوکل کرده، نخواهم ترسید. انسان به من چه میتواند کرد؟ | ۴ 4 |
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
هر روزه سخنان مرا منحرف میسازند. همه فکرهای ایشان درباره من برشرارت است. | ۵ 5 |
Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
ایشان جمع شده، کمین میسازند. بر قدمهای من چشم دارند زیرا قصدجان من دارند. | ۶ 6 |
Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
آیا ایشان بهسبب شرارت خودنجات خواهند یافت؟ ای خدا امتها را درغضب خویش بینداز. | ۷ 7 |
Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
تو آوارگیهای مرا تقریر کردهای. اشکهایم را در مشک خود بگذار. آیا این در دفتر تو نیست؟ | ۸ 8 |
Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
آنگاه در روزی که تو رابخوانم دشمنانم روخواهند گردانید. این رامی دانم زیرا خدا با من است. | ۹ 9 |
Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
در خدا کلام او را خواهم ستود. درخداوند کلام او را خواهم ستود. | ۱۰ 10 |
Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
بر خدا توکل دارم پس نخواهم ترسید. آدمیان به من چه میتوانند کرد؟ | ۱۱ 11 |
katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
ای خدا نذرهای تو بر من است. قربانی های حمد را نزد تو خواهم گذرانید. | ۱۲ 12 |
Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
زیرا که جانم را از موت رهانیدهای. آیا پایهایم را نیز از لغزیدن نگاه نخواهی داشت تا در نورزندگان به حضور خدا سالک باشم؟ | ۱۳ 13 |
Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.