< مزامیر 28 >

مزمور داود ای خداوند، نزد تو فریاد برمی آورم. ای صخره من، از من خاموش مباش. مبادا اگر از من خاموش شوی، مثل آنانی باشم که به حفره فرو می‌روند. ۱ 1
Zaburi ya Daudi. Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu; usiwe kwangu kama kiziwi. Kwa sababu ukinyamaza nitafanana na walioshuka shimoni.
آواز تضرع مرا بشنو چون نزد تو استغاثه می‌کنم و دست خود را به محراب قدس تو برمی افرازم. ۲ 2
Sikia kilio changu unihurumie ninapokuita kwa ajili ya msaada, niinuapo mikono yangu kuelekea Patakatifu pa Patakatifu pako.
مرا با شریران و بدکاران مکش که با همسایگان خود سخن صلح‌آمیزمی گویند و آزار در دل ایشان است. ۳ 3
Usiniburute pamoja na waovu, pamoja na hao watendao mabaya, ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri, lakini mioyoni mwao wameficha chuki.
آنها را به حسب کردار ایشان و موافق اعمال زشت ایشان بده آنها را مطابق عمل دست ایشان بده و رفتارایشان را به خود ایشان رد نما. ۴ 4
Walipe sawasawa na matendo yao, sawasawa na matendo yao maovu; walipe sawasawa na kazi za mikono yao, uwalipe wanavyostahili.
چونکه در اعمال خداوند و صنعت دست وی تفکر نمی کنند. ایشان را منهدم خواهی ساخت و بنا نخواهی نمود. ۵ 5
Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana, na yale ambayo mikono yake imetenda, atawabomoa na kamwe hatawajenga tena.
خداوند متبارک باد زیرا که آواز تضرع مراشنیده است. ۶ 6
Bwana asifiwe, kwa maana amesikia kilio changu nikimwomba anihurumie.
خداوند قوت من و سپر من است. دلم بر او توکل داشت و مدد یافته‌ام. پس دل من به وجد آمده است و به‌سرود خود او را حمدخواهم گفت. ۷ 7
Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu, moyo wangu umemtumaini yeye, nami nimesaidiwa. Moyo wangu unarukaruka kwa furaha nami nitamshukuru kwa wimbo.
خداوند قوت ایشان است و برای مسیح خود قلعه نجات. ۸ 8
Bwana ni nguvu ya watu wake, ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.
قوم خود را نجات ده ومیراث خود را مبارک فرما. ایشان را رعایت کن وبرافراز تا ابدالاباد. ۹ 9
Waokoe watu wako na uubariki urithi wako; uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

< مزامیر 28 >