< مزامیر 111 >

هللویاه! خداوند را به تمامی دل حمد خواهم گفت، در مجلس راستان و در جماعت. ۱ 1
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
کارهای خداوند عظیم است، و همگانی که به آنها رغبت دارند در آنهاتفتیش می‌کنند. ۲ 2
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
کار او جلال و کبریایی است وعدالت وی پایدار تا ابدالاباد. ۳ 3
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
یادگاری برای کارهای عجیب خود ساخته است. خداوند کریم و رحیم است. ۴ 4
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
ترسندگان خود را رزقی نیکوداده است. عهد خویش را به یاد خواهد داشت تاابدالاباد. ۵ 5
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
قوت اعمال خود را برای قوم خودبیان کرده است تا میراث امتها را بدیشان عطافرماید. ۶ 6
Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
کارهای دستهایش راستی و انصاف است و جمیع فرایض وی امین. ۷ 7
Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
آنها پایدار است تا ابدالاباد. در راستی و استقامت کرده شده. ۸ 8
Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
فدیه‌ای برای قوم خود فرستاد و عهد خویش راتا ابد امر فرمود. نام او قدوس و مهیب است. ۹ 9
Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
ترس خداوند ابتدای حکمت است. همه عاملین آنها را خردمندی نیکو است. حمد اوپایدار است تا ابدالاباد. ۱۰ 10
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.

< مزامیر 111 >