< مزامیر 111 >
هللویاه! خداوند را به تمامی دل حمد خواهم گفت، در مجلس راستان و در جماعت. | ۱ 1 |
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
کارهای خداوند عظیم است، و همگانی که به آنها رغبت دارند در آنهاتفتیش میکنند. | ۲ 2 |
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
کار او جلال و کبریایی است وعدالت وی پایدار تا ابدالاباد. | ۳ 3 |
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
یادگاری برای کارهای عجیب خود ساخته است. خداوند کریم و رحیم است. | ۴ 4 |
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
ترسندگان خود را رزقی نیکوداده است. عهد خویش را به یاد خواهد داشت تاابدالاباد. | ۵ 5 |
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
قوت اعمال خود را برای قوم خودبیان کرده است تا میراث امتها را بدیشان عطافرماید. | ۶ 6 |
Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
کارهای دستهایش راستی و انصاف است و جمیع فرایض وی امین. | ۷ 7 |
Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
آنها پایدار است تا ابدالاباد. در راستی و استقامت کرده شده. | ۸ 8 |
Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
فدیهای برای قوم خود فرستاد و عهد خویش راتا ابد امر فرمود. نام او قدوس و مهیب است. | ۹ 9 |
Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
ترس خداوند ابتدای حکمت است. همه عاملین آنها را خردمندی نیکو است. حمد اوپایدار است تا ابدالاباد. | ۱۰ 10 |
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.