< امثال 18 >

می باشد، و به هر حکمت صحیح مجادله می‌کند. ۱ 1
Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
احمق از فطانت مسرور نمی شود، مگر تاآنکه عقل خود را ظاهر سازد. ۲ 2
Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
هنگامی که شریر می‌آید، حقارت هم می‌آید، و با اهانت، خجالت می‌رسد. ۳ 3
Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
سخنان دهان انسان آب عمیق است، وچشمه حکمت، نهر جاری است. ۴ 4
Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
طرفداری شریران برای منحرف ساختن داوری عادلان نیکو نیست. ۵ 5
Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
لبهای احمق به منازعه داخل می‌شود، ودهانش برای ضربها صدا می‌زند. ۶ 6
Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
دهان احمق هلاکت وی است، و لبهایش برای جان خودش دام است. ۷ 7
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
سخنان نمام مثل لقمه های شیرین است، و به عمق شکم فرو می‌رود. ۸ 8
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
او نیز که در کار خود اهمال می‌کند برادرهلاک کننده است. ۹ 9
Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
اسم خداوند برج حصین است که مرد عادل در آن می‌دود و ایمن می‌باشد. ۱۰ 10
Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
توانگری شخص دولتمند شهر محکم اواست، و در تصور وی مثل حصار بلند است. ۱۱ 11
Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
پیش از شکستگی، دل انسان متکبرمی گردد، و تواضع مقدمه عزت است. ۱۲ 12
Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
هر‌که سخنی را قبل از شنیدنش جواب دهد برای وی حماقت و عار می‌باشد. ۱۳ 13
Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
روح انسان بیماری او را متحمل می‌شود، اما روح شکسته را کیست که متحمل آن بشود. ۱۴ 14
Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
دل مرد فهیم معرفت را تحصیل می‌کند، وگوش حکیمان معرفت را می‌طلبد. ۱۵ 15
Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
هدیه شخص، از برایش وسعت پیدامی کند و او را به حضور بزرگان می‌رساند. ۱۶ 16
Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
هر‌که در دعوی خود اول آید صادق می‌نماید، اما حریفش می‌آید و او را می‌آزماید. ۱۷ 17
Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
قرعه نزاعها را ساکت می‌نماید و زورآوران را از هم جدا می‌کند. ۱۸ 18
Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
برادر رنجیده از شهر قوی سختتر است، ومنازعت با او مثل پشت بندهای قصر است. ۱۹ 19
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
دل آدمی از میوه دهانش پر می‌شود و ازمحصول لبهایش، سیر می‌گردد. ۲۰ 20
Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
موت و حیات در قدرت زبان است، و آنانی که آن را دوست می‌دارند میوه‌اش را خواهندخورد. ۲۱ 21
Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
هر‌که زوجه‌ای یابد چیز نیکو یافته است، ورضامندی خداوند را تحصیل کرده است. ۲۲ 22
Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
مرد فقیر به تضرع تکلم می‌کند، اما شخص دولتمند به سختی جواب می‌دهد. ۲۳ 23
Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
کسی‌که دوستان بسیار دارد خویشتن راهلاک می‌کند، اما دوستی هست که از برادرچسبنده تر می‌باشد. ۲۴ 24
Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.

< امثال 18 >