< امثال 18 >
می باشد، و به هر حکمت صحیح مجادله میکند. | ۱ 1 |
Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
احمق از فطانت مسرور نمی شود، مگر تاآنکه عقل خود را ظاهر سازد. | ۲ 2 |
Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
هنگامی که شریر میآید، حقارت هم میآید، و با اهانت، خجالت میرسد. | ۳ 3 |
Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
سخنان دهان انسان آب عمیق است، وچشمه حکمت، نهر جاری است. | ۴ 4 |
Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
طرفداری شریران برای منحرف ساختن داوری عادلان نیکو نیست. | ۵ 5 |
Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
لبهای احمق به منازعه داخل میشود، ودهانش برای ضربها صدا میزند. | ۶ 6 |
Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
دهان احمق هلاکت وی است، و لبهایش برای جان خودش دام است. | ۷ 7 |
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
سخنان نمام مثل لقمه های شیرین است، و به عمق شکم فرو میرود. | ۸ 8 |
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
او نیز که در کار خود اهمال میکند برادرهلاک کننده است. | ۹ 9 |
Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
اسم خداوند برج حصین است که مرد عادل در آن میدود و ایمن میباشد. | ۱۰ 10 |
Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
توانگری شخص دولتمند شهر محکم اواست، و در تصور وی مثل حصار بلند است. | ۱۱ 11 |
Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
پیش از شکستگی، دل انسان متکبرمی گردد، و تواضع مقدمه عزت است. | ۱۲ 12 |
Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
هرکه سخنی را قبل از شنیدنش جواب دهد برای وی حماقت و عار میباشد. | ۱۳ 13 |
Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
روح انسان بیماری او را متحمل میشود، اما روح شکسته را کیست که متحمل آن بشود. | ۱۴ 14 |
Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
دل مرد فهیم معرفت را تحصیل میکند، وگوش حکیمان معرفت را میطلبد. | ۱۵ 15 |
Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
هدیه شخص، از برایش وسعت پیدامی کند و او را به حضور بزرگان میرساند. | ۱۶ 16 |
Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
هرکه در دعوی خود اول آید صادق مینماید، اما حریفش میآید و او را میآزماید. | ۱۷ 17 |
Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
قرعه نزاعها را ساکت مینماید و زورآوران را از هم جدا میکند. | ۱۸ 18 |
Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
برادر رنجیده از شهر قوی سختتر است، ومنازعت با او مثل پشت بندهای قصر است. | ۱۹ 19 |
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
دل آدمی از میوه دهانش پر میشود و ازمحصول لبهایش، سیر میگردد. | ۲۰ 20 |
Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
موت و حیات در قدرت زبان است، و آنانی که آن را دوست میدارند میوهاش را خواهندخورد. | ۲۱ 21 |
Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
هرکه زوجهای یابد چیز نیکو یافته است، ورضامندی خداوند را تحصیل کرده است. | ۲۲ 22 |
Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
مرد فقیر به تضرع تکلم میکند، اما شخص دولتمند به سختی جواب میدهد. | ۲۳ 23 |
Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
کسیکه دوستان بسیار دارد خویشتن راهلاک میکند، اما دوستی هست که از برادرچسبنده تر میباشد. | ۲۴ 24 |
Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.