< اعداد 9 >

و در ماه اول سال دوم بعد از بیرون آمدن ایشان از زمین مصر، خداوند موسی را درصحرای سینا خطاب کرده، گفت: ۱ 1
Bwana akasema na Mose katika Jangwa la Sinai katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka Misri. Akasema,
«بنی‌اسرائیل عید فصح را در موسمش بجا آورند. ۲ 2
“Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamriwa.
در روزچهاردهم این ماه آن را در وقت عصر در موسمش بجا آورید، برحسب همه فرایضش و همه احکامش آن را معمول دارید.» ۳ 3
Adhimisheni wakati ulioamriwa, yaani wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi huu, kufuatana na desturi zake zote na masharti yake.”
پس موسی به بنی‌اسرائیل گفت که فصح رابجا آورند. ۴ 4
Hivyo Mose akawaambia Waisraeli waiadhimishe Pasaka,
و فصح را در روز چهاردهم ماه اول، در وقت عصر در صحرای سینا بجا آوردند، برحسب هرچه خداوند به موسی‌امر فرموده بودبنی‌اسرائیل چنان عمل نمودند. ۵ 5
nao wakafanya hivyo kwenye Jangwa la Sinai wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Waisraeli wakafanya kila kitu kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.
اما بعضی اشخاص بودند که از میت آدمی نجس شده، فصح را در آن روز نتوانستند بجا آورند، پس درآن روز نزد موسی و هارون آمدند. ۶ 6
Lakini baadhi yao hawakuweza kuadhimisha Pasaka siku ile kwa sababu walikuwa najisi kwa taratibu za kiibada kwa ajili ya kugusa maiti. Kwa hiyo wakamwendea Mose na Aroni siku ile ile,
و آن اشخاص وی را گفتند که «ما از میت آدمی نجس هستیم؛ پس چرا از گذرانیدن قربانی خداوند در موسمش در میان بنی‌اسرائیل ممنوع شویم؟» ۷ 7
wakamwambia Mose, “Tumekuwa najisi kwa sababu tumegusa maiti, lakini kwa nini tuzuiliwe kumtolea Bwana sadaka yake pamoja na Waisraeli wengine katika wakati ulioamriwa?”
موسی ایشان را گفت: «بایستید تا آنچه خداوند در حق شما امر فرماید، بشنوم.» ۸ 8
Mose akawajibu, “Ngojeni mpaka nitafute kile Bwana anachoagiza kuwahusu ninyi.”
و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت: ۹ 9
Ndipo Bwana akamwambia Mose,
«بنی‌اسرائیل را خطاب کرده، بگو: اگر کسی ازشما یا از اعقاب شما از میت نجس شود، یا درسفر دور باشد، مع هذا فصح را برای خداوند بجاآورد. ۱۰ 10
“Waambie Waisraeli: ‘Wakati mmoja wenu au wazao wenu wanapokuwa najisi kwa sababu ya maiti au wakiwa safarini, hata hivyo wanaweza kuadhimisha Pasaka ya Bwana.
در روز چهاردهم ماه دوم، آن را دروقت عصر بجا آورند، و آن را با نان فطیر و سبزی تلخ بخورند. ۱۱ 11
Wataiadhimisha wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Watamla mwana-kondoo, pamoja na mkate usiotiwa chachu, na mboga chungu.
چیزی از آن تا صبح نگذارند و ازآن استخوانی نشکنند؛ برحسب جمیع فرایض فصح آن را معمول دارند. ۱۲ 12
Wasibakize chochote hadi asubuhi wala wasivunje mifupa ya mwana-kondoo. Wakati wanapoadhimisha Pasaka, hawana budi kufuata masharti yote.
اما کسی‌که طاهرباشد و در سفر نباشد و از بجا آوردن فصح بازایستد، آن کس از قوم خود منقطع شود، چونکه قربانی خداوند را در موسمش نگذرانیده است، آن شخص گناه خود را متحمل خواهدشد. ۱۳ 13
Lakini kama mtu ni safi kwa taratibu za kiibada naye hayuko safarini, asipoadhimisha Pasaka, mtu huyo hana budi kukatiliwa mbali na watu wake kwa sababu hakutoa sadaka ya Bwana kwa wakati ulioamriwa. Mtu huyo atawajibika kubeba matokeo ya dhambi yake.
و اگر غریبی در میان شما ماوا گزیند وبخواهد که فصح را برای خداوند بجا آورد، برحسب فریضه و حکم فصح عمل نماید، برای شما یک فریضه می‌باشد خواه برای غریب وخواه برای متوطن.» ۱۴ 14
“‘Mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye anataka kuadhimisha Pasaka ya Bwana, lazima afanye hivyo kwa kufuata desturi na masharti. Lazima masharti yawe sawasawa kwa mgeni na mzawa.’”
و در روزی که مسکن برپا شد، ابر مسکن خیمه شهادت را پوشانید، و از شب تا صبح مثل منظر آتش بر مسکن می‌بود. ۱۵ 15
Katika siku hiyo ambayo Maskani, Hema la Ushuhuda, iliposimamishwa, wingu liliifunika. Kuanzia jioni mpaka asubuhi wingu lililokuwa juu ya Maskani lilionekana kama moto.
همیشه چنین بودکه ابر آن را می‌پوشانید و منظر آتش در شب. ۱۶ 16
Hivyo ndivyo lilivyoendelea kuwa; wingu liliifunika wakati wa mchana, na usiku lilionekana kama moto.
وهرگاه ابر از خیمه برمی خاست بعد از آن بنی‌اسرائیل کوچ می‌کردند و در هر جایی که ابرساکن می‌شد آنجا بنی‌اسرائیل اردو می‌زدند. ۱۷ 17
Wakati wowote wingu lilipoinuka kutoka juu ya Hema, nao Waisraeli waliondoka; mahali popote wingu liliposimama, Waisraeli walipiga kambi.
به فرمان خداوند بنی‌اسرائیل کوچ می‌کردند وبه فرمان خداوند اردو می‌زدند، همه روزهایی که ابر بر مسکن ساکن می‌بود، در اردو می‌ماندند. ۱۸ 18
Kwa amri ya Bwana Waisraeli waliondoka, na kwa amri yake walipiga kambi. Kwa muda wote wingu liliposimama juu ya Maskani, Waisraeli walibaki wamepiga kambi.
وچون ابر، روزهای بسیار برمسکن توقف می‌نمود، بنی‌اسرائیل ودیعت خداوند را نگاه می‌داشتند وکوچ نمی کردند. ۱۹ 19
Wakati wingu lilipobaki juu ya Maskani kwa muda mrefu, Waisraeli walitii amri ya Bwana nao hawakuondoka.
و بعضی اوقات ابر ایام قلیلی بر مسکن می‌ماند، آنگاه به فرمان خداوند در اردومی ماندند و به فرمان خداوند کوچ می‌کردند. ۲۰ 20
Wakati mwingine wingu lilikuwa juu ya Maskani kwa siku chache tu; kwa amri ya Bwana wangelipiga kambi na kisha kwa amri yake wangeliondoka.
وبعضی اوقات، ابر از شام تا صبح می‌ماند و دروقت صبح ابر برمی خاست، آنگاه کوچ می‌کردند، یا اگر روز و شب می‌ماند چون ابر برمی خاست، می‌کوچیدند. ۲۱ 21
Wakati mwingine wingu lilikuwepo kuanzia jioni mpaka asubuhi tu, na lilipoinuka asubuhi, nao waliondoka. Ikiwa ni mchana au usiku, wakati wowote wingu lilipoinuka, waliondoka.
خواه دو روز و خواه یک ماه وخواه یک سال، هر قدر ابر بر مسکن توقف نموده، بر آن ساکن می‌بود، بنی‌اسرائیل در اردومی ماندند، و کوچ نمی کردند و چون برمی خاست، می‌کوچیدند. ۲۲ 22
Ikiwa wingu lilikaa juu ya Maskani kwa siku mbili au mwezi au mwaka, Waisraeli wangebaki wamepiga kambi na hawakuondoka; lakini lilipoinuka, wangeondoka.
به فرمان خداونداردو می‌زدند، و به فرمان خداوند کوچ می‌کردند، و ودیعت خداوند را برحسب آنچه خداوند به واسطه موسی فرموده بود، نگاه می‌داشتند. ۲۳ 23
Kwa amri ya Bwana walipiga kambi, na kwa amri ya Bwana waliondoka. Walitii amri ya Bwana, kufuatana na agizo lake kupitia Mose.

< اعداد 9 >