< نحمیا 4 >

و هنگامی که سنبلط شنید که ما به بنای حصار مشغول هستیم، خشمش افروخته شده، بسیار غضبناک گردید و یهودیان را استهزانمود. ۱ 1
Sanbalati alipoposikia tulikuwa tukijenga ukuta, akaghadhabika ndani yake, naye akakasirika sana, akawacheka Wayahudi.
و در حضور برادرانش و لشکر سامره متکلم شده، گفت: «این یهودیان ضعیف چه می‌کنند؟ آیا (شهر را) برای خود مستحکم خواهند ساخت و قربانی خواهند گذرانید و دریک روز کار را به انجام خواهند رسانید؟ و سنگهااز توده های خاکروبه، زنده خواهند ساخت؟ وحال آنکه سوخته شده است.» ۲ 2
Mbele ya ndugu zake na jeshi la Samaria, akasema, “Wayahudi dhaifu hawa wanafanya nini? Je, watajifanyia mji wenyewe? Je, watatoa dhabihu? Je, wataimaliza kazi siku moja? Je! Watawaletea mawe kutoka kwenye kifusi baada ya kuchomwa moto?
و طوبیای عمونی که نزد او بود گفت: «اگر شغالی نیز بر آنچه ایشان بنا می‌کنند بالا رود، حصار سنگی ایشان رامنهدم خواهد ساخت!» ۳ 3
Tobia Mwamoni alikuwa pamoja naye, naye akasema, 'Ikiwa tu mbweha angepanda juu ya hichi wanachokijenga, angeubomoa ukuta huo wa mawe.”
‌ای خدای ما بشنو، زیرا که خوار شده‌ایم وملامت ایشان را بسر ایشان برگردان و ایشان را درزمین اسیری، به تاراج تسلیم کن. ۴ 4
Tusikilize, Mungu wetu, kwa maana sisi tunatukanwa. Rudisha malalamiko yao juu ya vichwa vyao wenyewe na kuwapa wapate kutekwa katika nchi ambapo wao ni wafungwa.
و عصیان ایشان را مستور منما و گناه ایشان را از حضورخود محو مساز زیرا که خشم تو را پیش روی بنایان به هیجان آورده‌اند. ۵ 5
Usiufunike uovu wao, wala usiondoe dhambi zao mbele yako; kwa sababu wamewachukiza wanaojenga.
پس حصار را بنا نمودیم و تمامی حصار تانصف بلندی‌اش بهم پیوست، زیرا که دل قوم درکار بود. ۶ 6
Kwa hiyo tulijenga ukuta na ukuta wote uliunganishwa kwa nusu ya urefu wake, kwa kuwa watu walikuwa na hamu ya kufanya kazi
و چون سنبلط و طوبیا و اعراب وعمونیان و اشدودیان شنیدند که مرمت حصاراورشلیم پیش رفته است و شکافهایش بسته می‌شود، آنگاه خشم ایشان به شدت افروخته شد. ۷ 7
Lakini Sanbalati, Tobia, Waarabu, Waamoni, na Waashdodi waliposikia kwamba kazi ya ukarabati wa kuta za Yerusalemu ilikuwa ikiendelea, na kwamba sehemu zilizovunjika katika ukuta zilikuwa zimefungwa, ghadhabu kubwa ikawaka ndani yao.
و جمیع ایشان توطئه نمودند که بیایند و بااورشلیم جنگ نمایند و به آن ضرر برسانند. ۸ 8
Wote walifanya shauri pamoja, na walikuja kupigana dhidi ya Yerusalemu na kusababisha machafuko ndani yake.
پس نزد خدای خود دعا نمودیم و از ترس ایشان روز و شب پاسبانان در مقابل ایشان قراردادیم. ۹ 9
Lakini tuliomba kwa Mungu wetu na kuweka walinzi kama ulinzi dhidi yao mchana na usiku kwa sababu ya tishio lao.
و یهودیان گفتند که «قوت حمالان تلف شده است و هوار بسیار است که نمی توانیم حصار را بنا نماییم.» ۱۰ 10
Kisha watu wa Yuda wakasema, “Nguvu ya wale wanaobeba mizigo inashindwa. Kuna kifusi kikubwa, na hatuwezi kujenga ukuta.”
و دشمنان ما می‌گفتند: «آگاه نخواهند شد و نخواهند فهمید، تا ما درمیان ایشان داخل شده، ایشان را بکشیم و کار راتمام نماییم.» ۱۱ 11
Na adui zetu wakasema,” Wala hawatajua au kuona mpaka tutakapokuja kati yao na kuwaua, na kuisimamisha kazi.”
و واقع شد که یهودیانی که نزدایشان ساکن بودند آمده، ده مرتبه به ما گفتند: «چون شما برگردید ایشان از هر طرف بر ما(حمله خواهند‌آورد).» ۱۲ 12
Wakati huo Wayahudi waliokuwa wakiishi karibu nao walitoka pande zote na kuzungumza nasi mara kumi, wakituonya juu ya mipango waliyofanya dhidi yetu.
پس قوم را در جایهای پست، در عقب حصار و بر مکانهای خالی تعیین نمودم و ایشان رابرحسب قبایل ایشان، با شمشیرها و نیزه‌ها وکمانهای ایشان قرار دادم. ۱۳ 13
Kwa hiyo nikaweka watu katika sehemu za chini za ukuta katika sehemu zilizo wazi. Niliweka kila familia wenye upanga, mikuki, na upinde.
پس نظر کرده، برخاستم و به بزرگان و سروران و بقیه قوم گفتم: «از ایشان مترسید، بلکه خداوند عظیم و مهیب رابیاد آورید و به جهت برادران و پسران و دختران وزنان و خانه های خود جنگ نمایید.» ۱۴ 14
Nikatazama, nikasimama, nikawaambia wakuu, na watawala, na watu wengine, “Msiogope. mkumbukeni Bwana, ambaye ni mkuu na wa kushangaza. Wapiganie ndugu zenu, wana zenu, binti zenu, wake zenu na nyumba zenu.
و چون دشمنان ما شنیدند که ما آگاه شده‌ایم و خدا مشورت ایشان را باطل کرده است، آنگاه جمیع ما هر کس به‌کار خود به حصاربرگشتیم. ۱۵ 15
Ilipokuwa wakati adui zetu waliposikia kwamba mipango yao ilikuwa inayojulikana kwetu, na Mungu alikuwa amebatilisha mipango yao, sote tulirudi ukutani, kila mmoja kwa kazi yake.
و از آن روز به بعد، نصف بندگان من به‌کار مشغول می‌بودند و نصف دیگر ایشان، نیزه‌ها و سپرها و کمانها و زره‌ها را می‌گرفتند وسروران در عقب تمام خاندان یهودا می‌بودند. ۱۶ 16
Kwa hiyo tangu wakati huo nusu ya watumishi wangu walifanya kazi tu juu ya kujenga ukuta, na nusu yao wakaishika mikuki, ngao, pinde, na kuvaa silaha, wakati viongozi walisimama nyuma ya watu wote wa Yuda.
و آنانی که حصار را بنا می‌کردند و آنانی که بارمی بردند و عمله‌ها هر کدام به یک دست کارمی کردند و به‌دست دیگر اسلحه می‌گرفتند. ۱۷ 17
Na hivyo wafanyakazi haohao ambao walikuwa wakijenga ukuta na kubeba mizigo walikuwa pia wakilinda nafasi zao. Kila mtu alifanya kazi kwa mkono mmoja, na kwa mkono mwingine alikuwa na silaha yake.
وبنایان هر کدام شمشیر بر کمر خود بسته، بنایی می‌کردند و کرنانواز نزد من ایستاده بود. ۱۸ 18
Kila mjenzi alivaa upanga wake ubavuni mwake na ndivyo alivyojenga. Yule aliyepiga tarumbeta akakaa karibu nami.
و به بزرگان و سروران و بقیه قوم گفتم: «کار، بسیار وسیع است و ما بر حصار متفرق و ازیکدیگر دور می‌باشیم. ۱۹ 19
Niliwaambia wakuu na viongozi na watu wengine, “Kazi ni nzuri na ya kina, na tumejitenga kwenye ukuta, mbali na mtu mwingine.
پس هر جا که آواز کرنارا بشنوید در آنجا نزد ما جمع شوید و خدای مابرای ما جنگ خواهد نمود.» ۲۰ 20
Lazima mkimbilie mahali ambapo mtasikia sauti ya tarumbeta na kusanyika huko. Mungu wetu atatupigania.”
پس به‌کارمشغول شدیم و نصف ایشان از طلوع فجر تابیرون آمدن ستارگان، نیزه‌ها را می‌گرفتند. ۲۱ 21
Kwa hiyo tulifanya kazi hiyo. Nusu yao walikuwa wakichukua mikuki kutoka kupambazuka asubuhi hadi kutokea kwa nyota.
وهم در آن وقت به قوم گفتم: «هر کس با بندگانش در اورشلیم منزل کند تا در شب برای ما پاسبانی نماید و در روز به‌کار بپردازد.» ۲۲ 22
Nikawaambia watu wakati huo, “Kila mtu na mtumishi wake waende usiku katikati ya Yerusalemu, ili wawe walinzi wakati wa usiku na mfanyakazi wakati huo.”
و من و برادران و خادمان من و پاسبانی که در عقب من می‌بودند، هیچکدام رخت خود را نکندیم و هر کس بااسلحه خود به آب می‌رفت. ۲۳ 23
Basi si mimi, wala ndugu zangu, wala watumishi wangu, wala watu wa walinzi waliokuwa wananifuata, hakuna hata mmoja wetu aliyebadili nguo zake, na kila mmoja wetu alichukua silaha yake, hata kama angeenda kwa ajili ya kuteka maji.

< نحمیا 4 >