< لوقا 5 >

و هنگامی که گروهی بر وی ازدحام می نمودند تا کلام خدا را بشنوند، او به کناردریاچه جنیسارت ایستاده بود. ۱ 1
Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti.
و دو زورق رادر کنار دریاچه ایستاده دید که صیادان از آنهابیرون آمده، دامهای خود را شست و شومی نمودند. ۲ 2
Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao.
پس به یکی از آن دو زورق که مال شمعون بود سوار شده، از او درخواست نمود که از خشکی اندکی دور ببرد. پس در زورق نشسته، مردم را تعلیم می‌داد. ۳ 3
Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua.
و چون از سخن‌گفتن فارغ شد، به شمعون گفت: «به میانه دریاچه بران و دامهای خود رابرای شکار بیندازید.» ۴ 4
kuongea, akamwambia Simoni, “Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki.”
شمعون در جواب وی گفت: «ای استاد، تمام شب را رنج برده چیزی نگرفتیم، لیکن به حکم تو، دام را خواهیم انداخت.» ۵ 5
Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu.
و چون چنین کردند، مقداری کثیر ازماهی صید کردند، چنانکه نزدیک بود دام ایشان گسسته شود. ۶ 6
Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika.
و به رفقای خود که در زورق دیگربودند اشاره کردند که آمده ایشان را امداد کنند. پس آمده هر دو زورق را پر کردند بقسمی که نزدیک بود غرق شوند. ۷ 7
Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama.
شمعون پطرس چون این را بدید، بر پایهای عیسی افتاده، گفت: «ای خداوند از من دور شو زیرا مردی گناهکارم.» ۸ 8
Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,”Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana.”
چونکه به‌سبب صیدماهی که کرده بودند، دهشت بر او و همه رفقای وی مستولی شده بود. ۹ 9
Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya.
و هم چنین نیز بریعقوب و یوحنا پسران زبدی که شریک شمعون بودند. عیسی به شمعون گفت: «مترس. پس از این مردم را صید خواهی کرد.» ۱۰ 10
Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu.”
پس چون زورقهارا به کنار آوردند همه را ترک کرده، از عقب اوروانه شدند. ۱۱ 11
Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye.
و چون او در شهری از شهرها بود ناگاه مردی پر از برص آمده، چون عیسی را بدید، به روی در‌افتاد و از او درخواست کرده، گفت: «خداوندا، اگر خواهی می‌توانی مرا طاهرسازی.» ۱۲ 12
Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, “Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa.”
پس او دست آورده، وی را لمس نمود و گفت: «می‌خواهم. طاهر شو.» که فور برص از او زایل شد. ۱۳ 13
Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, “Nataka. Takasika.” Na saa ileile ukoma ukamwacha.
و او را قدغن کرد که «هیچ‌کس را خبر مده، بلکه رفته خود را به کاهن بنما و هدیه‌ای بجهت طهارت خود، بطوری که موسی فرموده است، بگذران تا بجهت ایشان شهادتی شود.» ۱۴ 14
“Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, “Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao.”
لیکن خبر او بیشتر شهرت یافت و گروهی بسیار جمع شدند تا کلام او رابشنوند و از مرضهای خود شفا یابند، ۱۵ 15
Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao.
و او به ویرانه‌ها عزلت جسته، به عبادت مشغول شد. ۱۶ 16
Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba.
روزی از روزها واقع شد که او تعلیم می‌دادو فریسیان و فقها که از همه بلدان جلیل و یهودیه و اورشلیم آمده، نشسته بودند وقوت خداوندبرای شفای ایشان صادر می‌شد، ۱۷ 17
Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya.
که ناگاه چندنفر شخصی مفلوج را بر بستری آوردند ومی خواستند او را داخل کنند تا پیش روی وی بگذارند. ۱۸ 18
watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu.
و چون به‌سبب انبوهی مردم راهی نیافتند که او را به خانه درآورند بر پشت بام رفته، او را با تختش از میان سفالها در وسط پیش عیسی گذاردند. ۱۹ 19
Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu.
چون او ایمان ایشان را دید، به وی گفت: «ای مرد، گناهان تو آمرزیده شد.» ۲۰ 20
Akiangalia imani yao, Yesu alisema, “Rafiki, dhambi zako umesamehewa.”
آنگاه کاتبان و فریسیان در خاطر خود تفکرنموده، گفتن گرفتند: «این کیست که کفر می‌گوید. جز خدا و بس کیست که بتواند گناهان رابیامرزد؟» ۲۱ 21
Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, “Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?”
عیسی افکار ایشان را درک نموده، در جواب ایشان گفت: «چرا در خاطر خود تفکرمی کنید؟ ۲۲ 22
Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, “Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu?
کدام سهلتر است، گفتن اینکه گناهان تو آمرزیده شد، یا گفتن اینکه برخیز و بخرام؟ ۲۳ 23
Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?'
لیکن تا بدانید که پسر انسان را استطاعت آمرزیدن گناهان بر روی زمین هست، مفلوج راگفت، تو را می‌گویم برخیز و بستر خود رابرداشته، به خانه خود برو.» ۲۴ 24
Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'”
در ساعت برخاسته، پیش ایشان آنچه بر آن خوابیده بودبرداشت و به خانه خود خدا را حمدکنان روانه شد. ۲۵ 25
Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
و حیرت همه را فرو گرفت و خدا راتمجید می‌نمودند و خوف بر ایشان مستولی شده، گفتند: «امروز چیزهای عجیب دیدیم.» ۲۶ 26
Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, “Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo.”
از آن پس بیرون رفته، باجگیری را که لاوی نام داشت، بر باجگاه نشسته دید. او را گفت: «از عقب من بیا.» ۲۷ 27
Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, “Nifuate.”
در حال همه‌چیز را ترک کرده، برخاست و در عقب وی روانه شد. ۲۸ 28
Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma.
و لاوی ضیافتی بزرگ در خانه خود برای او کرد و جمعی بسیار از باجگیران و دیگران با ایشان نشستند. ۲۹ 29
Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao.
اما کاتبان ایشان و فریسیان همهمه نموده، به شاگردان او گفتند: «برای چه با باجگیران وگناهکاران اکل و شرب می‌کنید؟» ۳۰ 30
Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, “Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?”
عیسی درجواب ایشان گفت: «تندرستان احتیاج به طبیب ندارند بلکه مریضان. ۳۱ 31
Yesu akawajibu, “Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja.
و نیامده‌ام تا عادلان بلکه تا عاصیان را به توبه بخوانم.» ۳۲ 32
Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu.”
پس به وی گفتند: «از چه سبب شاگردان یحیی روزه بسیار می‌دارند و نماز می‌خوانند وهمچنین شاگردان فریسیان نیز، لیکن شاگردان تواکل و شرب می‌کنند.» ۳۳ 33
Wakamwambia, “Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa.”
بدیشان گفت: «آیامی توانید پسران خانه عروسی را مادامی که دامادبا ایشان است روزه‌دار سازید؟ ۳۴ 34
Yesu akawaambia, “Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao?
بلکه ایامی می‌آید که داماد از ایشان گرفته شود، آنگاه در آن روزها روزه خواهند داشت.» ۳۵ 35
Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga.”
و مثلی برای ایشان آورد که «هیچ‌کس پارچه‌ای از جامه نو را بر جامه کهنه وصله نمی کند والا آن نو را پاره کند و وصله‌ای که از نوگرفته شد نیز در خور آن کهنه نبود. ۳۶ 36
Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. “Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani.
و هیچ‌کس شراب نو را در مشکهای کهنه نمی ریزد والاشراب نو، مشکها را پاره می‌کند و خودش ریخته و مشکها تباه می‌گردد. ۳۷ 37
pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika.
بلکه شراب نو را درمشکهای نو باید ریخت تا هر دو محفوظ بماند. ۳۸ 38
Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
و کسی نیست که چون شراب کهنه را نوشیده فی الفور نو را طلب کند، زیرا می‌گوید کهنه بهتراست.» ۳۹ 39
Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora.”'

< لوقا 5 >