< لاویان 10 >

و ناداب و ابیهو پسران هارون، هر یکی مجمره خود را گرفته، آتش بر آنهانهادند. و بخور بر آن گذارده، آتش غریبی که ایشان را نفرموده بود، به حضور خداوند نزدیک آوردند. ۱ 1
Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua vyetezo vyao, wakaweka moto ndani yake na kuongeza uvumba; kisha wakamtolea Bwana moto usio halali, kinyume na agizo la Mungu.
و آتش از حضور خداوند به در شده، ایشان را بلعید، و به حضور خداوند مردند. ۲ 2
Hivyo moto ukaja kutoka kwa uwepo wa Bwana na kuwaramba, nao wakafa mbele za Bwana.
پس موسی به هارون گفت: «این است آنچه خداوندفرموده، و گفته است که از آنانی که به من نزدیک آیند تقدیس کرده خواهم شد، و در نظر تمامی قوم جلال خواهم یافت.» پس هارون خاموش شد. ۳ 3
Kisha Mose akamwambia Aroni, “Hili ndilo alilonena Bwana wakati aliposema: “‘Miongoni mwa wale watakaonikaribia nitajionyesha kuwa mtakatifu; machoni pa watu wote nitaheshimiwa.’” Aroni akanyamaza.
و موسی میشائیل و الصافان، پسران عزیئیل عموی هارون را خوانده، به ایشان گفت: «نزدیک آمده، برادران خود را از پیش قدس بیرون لشکرگاه ببرید.» ۴ 4
Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”
پس نزدیک آمده، ایشان را در‌پیراهنهای ایشان بیرون لشکرگاه بردند، چنانکه موسی گفته بود. ۵ 5
Hivyo wakaja na kuwaondoa, wakiwa bado wamevalia makoti yao ya ibada, wakawapeleka nje ya kambi, kama Mose alivyoamuru.
و موسی هارون وپسرانش العازار و ایتامار را گفت: «مویهای سرخود را باز مکنید و گریبان خود را چاک مزنیدمبادا بمیرید. و غضب بر تمامی جماعت بشود. اما برادران شما یعنی تمام خاندان اسرائیل بجهت آتشی که خداوند افروخته است ماتم خواهند کرد. ۶ 6
Ndipo Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe, Eleazari na Ithamari, “Msifunue vichwa vyenu wala msirarue mavazi yenu, la sivyo mtakufa na Bwana ataikasirikia jumuiya nzima. Lakini ndugu zenu, nyumba yote ya Israeli, wanaweza kuwaombolezea wale ambao Bwana amewaangamiza kwa moto.
و از در خیمه اجتماع بیرون مروید مبادا بمیرید، زیرا روغن مسح خداوند برشماست.» پس به حسب آنچه موسی گفت، کردند. ۷ 7
Msitoke nje ya ingilio la Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa, kwa sababu mafuta ya Bwana ya upako yako juu yenu.” Hivyo wakafanya kama vile Mose alivyosema.
و خداوند هارون را خطاب کرده، گفت: ۸ 8
Kisha Bwana akamwambia Aroni,
«توو پسرانت با تو چون به خیمه اجتماع داخل شوید شراب و مسکری منوشید مبادا بمیرید. این است فریضه ابدی در نسلهای شما. ۹ 9
“Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
و تا درمیان مقدس و غیرمقدس و نجس و طاهر تمیزدهید، ۱۰ 10
Ni lazima mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi,
و تا به بنی‌اسرائیل همه فرایضی را که خداوند به‌دست موسی برای ایشان گفته است، تعلیم دهید.» ۱۱ 11
na lazima mwafundishe Waisraeli amri zote ambazo Bwana aliwapa kupitia Mose.”
و موسی به هارون و پسرانش العازار و ایتامار که باقی بودند گفت: «هدیه آردی که از هدایای آتشین خداوند مانده است بگیرید، و آن را بی‌خمیرمایه نزد مذبح بخورید زیراقدس اقداس است. ۱۲ 12
Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe waliosalia, Eleazari na Ithamari, “Chukueni sadaka ya nafaka iliyobaki kutoka sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, muile hapo kando ya madhabahu ikiwa imeandaliwa bila chachu, kwa sababu ni takatifu sana.
و آن را در مکان مقدس بخورید زیرا که از هدایای آتشین خداوند این حصه تو و حصه پسران توست چنانکه مامورشده‌ام. ۱۳ 13
Mtaila katika mahali patakatifu kwa sababu ni fungu lenu na fungu la wana wenu la sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.
و سینه جنبانیدنی و ران افراشتنی را تو و پسرانت و دخترانت با تو در جای پاک بخورید، زیرا اینها از ذبایح سلامتی بنی‌اسرائیل برای حصه تو و حصه پسرانت داده شده است. ۱۴ 14
Lakini wewe na wanao na binti zako mwaweza kula kidari kile kilichoinuliwa na paja lile lililotolewa. Mtavila mahali safi pa kawaida ya ibada; mmepewa wewe na watoto wako kuwa fungu lenu la sadaka za amani za Waisraeli.
ران افراشتنی و سینه جنبانیدنی را با هدایای آتشین پیه بیاورند، تا هدیه جنبانیدنی به حضور خداوندجنبانیده شود، و از آن تو و از آن پسرانت خواهدبود، به فریضه ابدی چنانکه خداوند امر فرموده است.» ۱۵ 15
Paja lile lililotolewa na kidari kile kilichoinuliwa lazima viletwe pamoja na sehemu za mafuta ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, ili kuinuliwa mbele za Bwana kama sadaka ya kuinuliwa. Hili litakuwa fungu lako la kawaida na wanao, kama Bwana alivyoagiza.”
و موسی بز قربانی گناه را طلبید و اینک سوخته شده بود، پس بر العازار و ایتامار پسران هارون که باقی بودند خشم نموده، گفت: ۱۶ 16
Mose alipouliza kuhusu mbuzi atolewaye kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kukuta kwamba ameteketezwa, aliwakasirikia Eleazari na Ithamari, wana wa Aroni waliobaki, akawauliza,
«چراقربانی گناه را در مکان مقدس نخوردید؟ زیرا که آن قدس اقداس است، و به شما داده شده بود تاگناه جماعت را برداشته، برای ایشان به حضورخداوند کفاره کنید. ۱۷ 17
“Kwa nini hamkula sadaka ya dhambi katika eneo la mahali patakatifu? Ni takatifu sana. Mlipewa ninyi ili kuondoa hatia ya jumuiya kwa ajili ya kuwafanyia upatanisho mbele za Bwana.
اینک خون آن به اندرون قدس آورده نشد، البته می‌بایست آن را در قدس خورده باشید، چنانکه امر کرده بودم.» ۱۸ 18
Kwa kuwa damu yake haikuletwa ndani ya Mahali Patakatifu, mngemla mbuzi huyo katika sehemu ya mahali patakatifu kama nilivyoagiza.”
هارون به موسی گفت: «اینک امروز قربانی گناه خود وقربانی سوختنی خود را به حضور خداوندگذرانیدند، و چنین چیزها بر من واقع شده است، پس اگر امروز قربانی گناه را می‌خوردم آیا منظورنظر خداوند می‌شد؟» ۱۹ 19
Aroni akamjibu Mose, “Leo wanangu wametoa sadaka zao za dhambi na sadaka zao za kuteketezwa mbele za Bwana, lakini mambo kama haya yamenitokea mimi. Je, Bwana angependezwa kama ningekuwa nimekula sadaka ya dhambi leo?”
چون موسی این راشنید، در نظرش پسند آمد. ۲۰ 20
Mose aliposikia haya, akaridhika.

< لاویان 10 >