< سوگنامه 4 >

چگونه طلا زنگ گرفته و زر خالص منقلب گردیده است؟ سنگهای قدس به‌سر هرکوچه ریخته شده است. ۱ 1
Jinsi dhahabu ilivyopoteza mngʼao wake, dhahabu iliyo safi haingʼai! Vito vya thamani vimetawanywa kwenye mwanzo wa kila barabara.
چگونه پسران گرانبهای صهیون که به زر ناب برابر می‌بودند مثل ظروف سفالین که عمل دست کوزه‌گر باشد شمرده شده‌اند. ۲ 2
Wana wa Sayuni wenye thamani, ambao mwanzo uzito wa thamani yao ulikuwa wa dhahabu, sasa wanaangaliwa kama vyungu vya udongo, kazi ya mikono ya mfinyanzi!
شغالها تیز پستانهای خود را بیرون آورده، بچه های خویش را شیر می‌دهند. اما دختر قوم من مانند شتر مرغ بری، بیرحم گردیده است. ۳ 3
Hata mbweha hutoa matiti yao kunyonyesha watoto wao, lakini watu wangu wamekuwa wasio na huruma kama mbuni jangwani.
زبان اطفال شیرخواره از تشنگی به کام ایشان می‌چسبد، و کودکان نان می‌خواهند وکسی به ایشان نمی دهد. ۴ 4
Kwa sababu ya kiu ulimi wa mtoto mchanga umegandamana na kaakaa la kinywa chake, watoto huomba mkate, lakini hakuna yeyote awapaye.
آنانی که خوراک لذیذ می‌خورند در کوچه ها بینوا گشته‌اند. آنانی که در لباس قرمز تربیت یافته‌اند مزبله‌ها را در آغوش می‌کشند. ۵ 5
Wale waliokula vyakula vya kifahari ni maskini barabarani. Wale waliokuzwa wakivaa nguo za zambarau sasa wanalalia majivu.
زیرا که عصیان دختر قوم من از گناه سدوم زیاده است، که در لحظه‌ای واژگون شد و کسی دست بر او ننهاد. ۶ 6
Adhabu ya watu wangu ni kubwa kuliko ile ya Sodoma, ambayo ilipinduliwa ghafula bila kuwepo mkono wa msaada.
نذیرگان او از برف، صاف تر و از شیر، سفیدتر بودند. بدن ایشان از لعل سرختر و جلوه ایشان مثل یاقوت کبود بود. ۷ 7
Wakuu wao walikuwa wamengʼaa kuliko theluji na weupe kuliko maziwa, miili yao ilikuwa myekundu kuliko marijani, kuonekana kwao kama yakuti samawi.
اما صورت ایشان از سیاهی سیاهتر شده است که در کوچه‌ها شناخته نمی شوند. پوست ایشان به استخوانهایشان چسبیده و خشک شده، مثل چوب گردیده است. ۸ 8
Lakini sasa ni weusi kuliko masizi; hawatambulikani barabarani. Ngozi yao imeshikamana juu ya mifupa yao, imekuwa mikavu kama fimbo.
کشتگان شمشیر از کشتگان گرسنگی بهترند. زیرا که اینان از عدم محصول زمین مجروح شده، کاهیده می‌گردند. ۹ 9
Wale waliouawa kwa upanga ni bora kuliko wale wanaokufa njaa; wanateseka kwa njaa, wanatokomea kwa kukosa chakula kutoka shambani.
زنان مهربان، اولاد خود را می‌پزند به‌دستهای خویش. و آنها در هلاکت دختر قوم من غذای ایشان هستند. ۱۰ 10
Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma wanapika watoto wao wenyewe, waliokuwa chakula chao watu wangu walipoangamizwa.
خداوند غضب خود را به اتمام رسانیده، حدت خشم خویش را ریخته است، و آتشی درصهیون افروخته که اساس آن را سوزانیده است. ۱۱ 11
Bwana ametoa nafasi kamilifu ya ghadhabu yake; ameimwaga hasira yake kali. Amewasha moto katika Sayuni ambao umeteketeza misingi yake.
پادشاهان جهان و جمیع سکنه ربع مسکون باور نمی کردند که عدو و دشمن به دروازه های اورشلیم داخل شود. ۱۲ 12
Wafalme wa dunia hawakuamini, wala mtu yeyote wa duniani, kwamba adui na watesi wangeweza kuingia kwenye malango ya Yerusalemu.
به‌سبب گناه انبیا و گناه کاهنانش، که خون عادلان را در اندرونش ریختند. ۱۳ 13
Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, na maovu ya makuhani wake, waliomwaga ndani yake damu ya wenye haki.
مثل کوران در کوچه‌ها نوان می‌شوند و ازخون نجس شده‌اند، که لباس ایشان را لمس نمی توانند کرد. ۱۴ 14
Sasa wanapapasa papasa barabarani kama watu ambao ni vipofu. Wamenajisiwa kabisa kwa damu, hata hakuna anayethubutu kugusa mavazi yao.
و به ایشان ندا می‌کنند که دور شوید، نجس (هستید)! دور شوید دور شوید و لمس منمایید! چون فرار می‌کردند نوان می‌شدند و در میان امت‌ها می‌گفتند که در اینجا دیگر توقف نخواهند کرد. ۱۵ 15
Watu wanawapigia kelele, “Ondokeni! Ninyi ni najisi! Ondokeni! Ondokeni! Msituguse!” Wanapokimbia na kutangatanga huku na huko, watu miongoni mwa mataifa wanasema, “Hawawezi kukaa hapa zaidi.”
خشم خداوند ایشان را پراکنده ساخته وایشان را دیگر منظور نخواهد داشت. به کاهنان ایشان اعتنا نمی کنند و بر مشایخ، رافت ندارند. ۱۶ 16
Bwana mwenyewe amewatawanya; hawaangalii tena. Makuhani hawaonyeshwi heshima, wazee hawakubaliki.
چشمان ما تا حال در انتظار اعانت باطل ماکاهیده می‌شود. بر دیده بانگاههای خود انتظارکشیدیم، برای امتی که نجات نمی توانند داد. ۱۷ 17
Zaidi ya hayo, macho yetu yalichoka, kwa kutazamia bure msaada; tuliangalia kutoka minara yetu kwa taifa lisiloweza kutuokoa.
قدمهای ما را تعاقب نمودند به حدی که درکوچه های خود راه نمی توانیم رفت. آخرت مانزدیک است و روزهای ما تمام شده زیرا که اجل ما رسیده است. ۱۸ 18
Watu walituvizia katika kila hatua hata hatukuweza kutembea katika barabara zetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu, siku zetu zilikuwa zimetimia, kwa maana mwisho wetu ulikuwa umefika.
تعاقب کنندگان ما از عقابهای هواتیزروتراند. ما را بر کوهها تعاقب می‌کنند و برای ما در صحرا کمین می‌گذارند. ۱۹ 19
Waliotufuatia walikuwa wepesi kuliko tai angani; walitusaka juu milimani na kutuvizia jangwani.
مسیح خداوند که نفخه بینی ما می‌بود درحفره های ایشان گرفتار شد، که درباره اومی گفتم زیر سایه او در میان امت‌ها، زیست خواهیم نمود. ۲۰ 20
Mpakwa mafuta wa Bwana, pumzi ya uhai wetu hasa, alinaswa katika mitego yao. Tulifikiri kwamba chini ya kivuli chake tungeliweza kuishi miongoni mwa mataifa.
مسرور باش و شادی کن‌ای دختر ادوم که در زمین عوص ساکن هستی! بر تو نیز این‌جام خواهد رسید و مست شده، عریان خواهی شد. ۲۱ 21
Shangilia na ufurahi, ee Binti Edomu, wewe unayeishi nchi ya Usi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa, Utalewa na kuvuliwa nguo ubaki uchi.
‌ای دختر صهیون سزای گناه تو تمام شد وتو را دیگر جلای وطن نخواهد ساخت. ای دخترادوم، عقوبت گناه تو را به تو خواهد رسانید وگناهان تو را کشف خواهد نمود. ۲۲ 22
Ee Binti Sayuni, adhabu yako itaisha, hatarefusha muda wako wa kukaa uhamishoni. Lakini, ee Binti Edomu, ataadhibu dhambi yako, na atafunua uovu wako.

< سوگنامه 4 >