< ایّوب 40 >

۱ 1
Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
«آیا مجادله کننده با قادرمطلق مخاصمه نماید؟ کسی‌که با خدا محاجه کند آن را جواب بدهد.» ۲ 2
“Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
آنگاه ایوب خداوند را جواب داده، گفت: ۳ 3
Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
«اینک من حقیر هستم و به تو چه جواب دهم؟ دست خود را به دهانم گذاشته‌ام. ۴ 4
Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
یک مرتبه گفتم و تکرار نخواهم کرد. بلکه دو مرتبه و نخواهم افزود.» ۵ 5
Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
پس خداوند ایوب را از گردباد خطاب کرد وگفت: ۶ 6
Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
«الان کمر خود را مثل مرد ببند. از توسوال می‌نمایم و مرا اعلام کن. ۷ 7
“Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
آیا داوری مرانیز باطل می‌نمایی؟ و مرا ملزم می‌سازی تاخویشتن را عادل بنمایی؟ ۸ 8
Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
آیا تو را مثل خدابازویی هست؟ و به آواز مثل او رعد توانی کرد؟ ۹ 9
Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
الان خویشتن را به جلال و عظمت زینت بده. و به عزت و شوکت ملبس ساز. ۱۰ 10
Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
شدت غضب خود را بریز و به هرکه متکبر است نظر افکنده، اورا به زیر انداز. ۱۱ 11
Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
بر هرکه متکبر است نظر کن و اورا ذلیل بساز. و شریران را در جای ایشان پایمال کن. ۱۲ 12
Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
ایشان را با هم در خاک پنهان نما و رویهای ایشان را درجای مخفی محبوس کن. ۱۳ 13
Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
آنگاه من نیز درباره تو اقرار خواهم کرد، که دست راستت تو را نجات تواند داد. ۱۴ 14
Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
اینک بهیموت که او را باتو آفریده‌ام که علف را مثل گاو می‌خورد، ۱۵ 15
Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
همانا قوت او در کمرش می‌باشد، و توانایی وی در رگهای شکمش. ۱۶ 16
Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
دم خود را مثل سروآزاد می‌جنباند. رگهای رانش بهم پیچیده است. ۱۷ 17
Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
استخوانهایش مثل لوله های برنجین واعضایش مثل تیرهای آهنین است. ۱۸ 18
Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
او افضل صنایع خدا است. آن که او را آفرید حربه‌اش را به او داده است. ۱۹ 19
Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
به درستی که کوهها برایش علوفه می‌رویاند، که در آنها تمامی حیوانات صحرابازی می‌کنند ۲۰ 20
Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
زیر درختهای کنار می‌خوابد. در سایه نیزار و در خلاب. ۲۱ 21
Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
درختهای کنار او را به سایه خود می‌پوشاند، و بیدهای نهر، وی رااحاطه می‌نماید. ۲۲ 22
Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
اینک رودخانه طغیان می‌کند، لیکن او نمی ترسد و اگر‌چه اردن دردهانش ریخته شود ایمن خواهد بود. ۲۳ 23
Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
آیا چون نگران است او را گرفتار توان کرد؟ یا بینی وی را باقلاب توان سفت؟ ۲۴ 24
Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?

< ایّوب 40 >