< اشعیا 46 >

بیل خم شده و نبو منحنی گردیده بتهای آنها بر حیوانات و بهایم نهاده شد. آنهایی که شما برمی داشتید حمل گشته و بارحیوانات ضعیف شده است. ۱ 1
Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama; sanamu zao zabebwa na wanyama wa mizigo. Vinyago hivi mnavyobeba kila mahali ni mzigo wa kulemea, mzigo kwa waliochoka.
آنها جمیع منحنی و خم شده، آن بار را نمی توانند رهانیدبلکه خود آنها به اسیری می‌روند. ۲ 2
Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini; hiyo miungu haiwezi kuwaokoa watu, wote wanakwenda utumwani pamoja.
‌ای خاندان یعقوب و تمامی بقیه خاندان اسرائیل که از بطن برمن حمل شده و از رحم برداشته من بوده‌اید! ۳ 3
“Nisikilizeni mimi, ee nyumba ya Yakobo, ninyi nyote mliobaki wa nyumba ya Israeli, ninyi ambao nimewategemeza tangu mlipotungwa mimba, nami nimewabeba tangu kuzaliwa kwenu.
وتا به پیری شما من همان هستم و تا به شیخوخیت من شما را خواهم برداشت. من آفریدم و من برخواهم داشت و من حمل کرده، خواهم رهانید. ۴ 4
Hata mpaka wakati wa uzee wenu na mvi, Mimi ndiye, Mimi ndiye nitakayewasaidia ninyi. Nimewahuluku, nami nitawabeba, nitawasaidia ninyi na kuwaokoa.
مرا با که شبیه و مساوی می‌سازید و مرا با که مقابل می‌نمایید تا مشابه شویم؟ ۵ 5
“Mtanilinganisha na nani, au mtanihesabu kuwa sawa na nani? Ni nani mtakayenifananisha naye ili tuweze kulinganishwa?
آنانی که طلا رااز کیسه می‌ریزند و نقره را به میزان می‌سنجند، زرگری را اجیر می‌کنند تا خدایی از آن بسازدپس سجده کرده، عبادت نیز می‌نمایند. ۶ 6
Wengine humwaga dhahabu kutoka kwenye mifuko yao, na kupima fedha kwenye mizani; huajiri mfua dhahabu kutengeneza mungu, kisha huisujudia na kuiabudu.
آن را بردوش برداشته، می‌برند و به‌جایش می‌گذارند و اومی ایستد و از جای خود حرکت نمی تواند کرد. نزد او استغاثه هم می‌نمایند اما جواب نمی دهد وایشان را از تنگی ایشان نتواند رهانید. ۷ 7
Huiinua mabegani na kuichukua; huiweka mahali pake, papo hapo ndipo isimamapo. Wala haiwezi kusogea kutoka mahali pale. Ingawa mtu huililia, haimjibu; haiwezi kumwokoa kwenye taabu zake.
این را بیاد آورید و مردانه بکوشید. و‌ای عاصیان آن را در دل خود تفکر نمایید! ۸ 8
“Kumbukeni hili, litieni akilini, liwekeni moyoni, enyi waasi.
چیزهای اول را از زمان قدیم به یاد آورید. زیرا من قادرمطلق هستم و دیگری نیست. خدا هستم و نظیرمن نی. ۹ 9
Kumbukeni mambo yaliyopita, yale ya zamani za kale; mimi ndimi Mungu, wala hakuna mwingine; mimi ndimi Mungu, wala hakuna mwingine aliye kama mimi.
آخر را از ابتدا و آنچه را که واقع نشده از قدیم بیان می‌کنم و می‌گویم که اراده من برقرارخواهد ماند و تمامی مسرت خویش را بجاخواهم آورد. ۱۰ 10
Ni mimi nitangazaye mwisho tangu mwanzo, naam, tangu zamani za kale, mambo ambayo hayajatendeka. Ninasema: Kusudi langu ndilo litakalosimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote.
مرغ شکاری را از مشرق و هم مشورت خویش را از جای دور می‌خوانم. من گفتم و البته بجا خواهم آورد و تقدیر نمودم والبته به وقوع خواهم رسانید. ۱۱ 11
Kutoka mashariki ninaita ndege awindaye; kutoka nchi ya mbali, mtu atakayetimiza kusudi langu. Lile ambalo nimelisema, ndilo nitakalolitimiza; lile nililolipanga, ndilo nitakalolitenda.
‌ای سختدلان که از عدالت دور هستید مرا بشنوید. ۱۲ 12
Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu, ninyi mlio mbali na haki.
عدالت خودرا نزدیک آوردم و دور نمی باشد و نجات من تاخیر نخواهد نمود و نجات را به جهت اسرائیل که جلال من است در صهیون خواهم گذاشت. ۱۳ 13
Ninaleta haki yangu karibu, haiko mbali; wala wokovu wangu hautachelewa. Nitawapa Sayuni wokovu, Israeli utukufu wangu.

< اشعیا 46 >