< اشعیا 24 >

اینک خداوند زمین را خالی و ویران می کند، و آن را واژگون ساخته، ساکنانش را پراکنده می‌سازد. ۱ 1
Angalia Yahwe anakaribia kuifanya dunia kuwa utupu, kuhiharibu, kuharibu uso wake, na kuwatawanya wenyeji wake.
و مثل قوم، مثل کاهن و مثل بنده، مثل آقایش و مثل کنیز، مثل خاتونش و مثل مشتری، مثل فروشنده و مثل قرض دهنده، مثل قرض گیرنده و مثل سودخوار، مثل سود دهنده خواهد بود. ۲ 2
Itakuwa kama ilivyo kwa watu itakuwa hivyo hivyo kwa kuhani; na kwa watumishi na kwa bwana wake, na kwa mfanyakazi wa ndani itakuwa hivyo na kwa tajiri yake, ndivyo itakavyokuwa kwa anayeuza na anayenunua; ndivyo itakavyokwa kwa wenye kupata faida na wenye madeni, na wale wennye kupokea faida itakuwa hivyo hivyo kwa wale wenye kutoa faida.
و زمین بالکل خالی و بالکل غارت خواهد شد زیرا خداوند این سخن را گفته است. ۳ 3
Dunia itaharibiwa kabisa na kufanjwa ukiwa; maana Yahwe amenena maneno hayo. Dunia imekauka kabisa na kunyauka,
زمین ماتم می‌کند و پژمرده می‌شود. ربع مسکون کاهیده و پژمرده می‌گردد، شریفان اهل زمین کاهیده می‌شوند. ۴ 4
Dunia inazimia n kudhohofika. Watu maarufu wa duniani watapotezwa.
زمین زیرساکنانش ملوث می‌شود زیرا که از شرایع تجاوزنموده و فرایض را تبدیل کرده و عهد جاودانی راشکسته‌اند. ۵ 5
Dunia inavutwa na watu wakao ndani yake kwa sababu wamepindisha sheria, wameibadili amri na wamevunja agano la milele.
بنابراین لعنت، جهان را فانی کرده است و ساکنانش سزا یافته‌اند لهذا ساکنان زمین سوخته شده‌اند و مردمان، بسیار کم باقی‌مانده‌اند. ۶ 6
Hivyo basi laana inaitafuna nchi, na wenyeji wake wamekutwa na makosa. Wakaao duniani wanateketea, na watu wachache wameachwa.
شیره انگور ماتم می‌گیرد و مو کاهیده می‌گردد وتمامی شاددلان آه می‌کشند. ۷ 7
Divai mpya imekauka, mizabibu imenyauka, na mioyo yote iliyochangamka inaugua.
شادمانی دفها تلف شده، آواز عشرت کنندگان باطل و شادمانی بربطها ساکت خواهد شد. ۸ 8
Sauti ya furha ya kigoma inasimama, na kelele za wenye furaha zimekwisha, na furaha ya kinubi imesitishwa.
شراب را با سرودهانخواهند آشامید و مسکرات برای نوشندگانش تلخ خواهد شد. ۹ 9
Hawatakunjwa mvinyo tena na kuimba, bia chungu kwa wale wanokunywa.
قریه خرابه منهدم می‌شود وهر خانه بسته می‌گردد که کسی داخل آن نتواندشد. ۱۰ 10
Mji uliochafuka umeangushwa chini; kila nyumba imefungwa na hakuna kitu.
غوغایی برای شراب در کوچه‌ها است. هرگونه شادمانی تاریک گردیده و سرور زمین رفع شده است. ۱۱ 11
Kuna kilio mtaani kwa sababu ya mvinyo; furaha yote imetiwa giza, furaha ya nchi imetoweka.
ویرانی در شهر باقی است ودروازه هایش به هلاکت خرد شده است. ۱۲ 12
Ndani ya mji kumebaki ukiwa, na lango limebolewa kwa uharibifu.
زیرا که در وسط زمین در میان قوم هایش چنین خواهدشد مثل تکانیدن زیتون و مانند خوشه هایی که بعد از چیدن انگور باقی می‌ماند. ۱۳ 13
Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa dunia yote mwiongoni mwa mataifa, pale mti wa mzabibu utakapopigwa, na waokotapo zabibu baada mavuno yake kuwa tayari.
اینان آواز خود را بلند کرده، ترنم خواهندنمود و درباره کبریایی خداوند از دریا صداخواهند زد. ۱۴ 14
Watanyanyua saut zao na kupiga keleleYahwe mwenye enzi, na utapaza sauti kutoka kwenye bahari.
از این جهت خداوند را در بلادمشرق و نام یهوه خدای اسرائیل را درجزیره های دریا تمجید نمایید. ۱۵ 15
Hivyo basi mashariki mtukuze Yahwe, na katika kisiwa cha bahari tukuzeni jina la Yahwe, Mungu wa Israeli.
از کرانهای زمین سرودها را شنیدیم که عادلان را جلال باد. اما گفتم: وا حسرتا، وا حسرتا، وای بر من! خیانت کاران خیانت ورزیده، خیانت کاران به شدت خیانت ورزیده‌اند. ۱۶ 16
Kutoka umbali wa sehemu ya dunia tumesika nyimbo, ''Utukufu kwa watu wenye haki! Lakini nikasema, ''Nimepita mbali, Ole juu wangu! Wasaliti walshulika na wenye hila; ndio, wasaliti walishuhulika na wenye hila.''
‌ای ساکن زمین ترس و حفره و دام بر تو است. ۱۷ 17
Hofu, shimo, na mtego yako juu yako, wenyeji wa dunia.
و واقع خواهد شد که هرکه از آواز ترس بگریزد به حفره خواهد افتاد وهر‌که از میان حفره برآید گرفتار دام خواهد شدزیرا که روزنه های علیین باز شده و اساسهای زمین متزلزل می‌باشد. ۱۸ 18
Amekimbia maana sauti ya hofu itaanguka kwenye shimo, na anayekuja juu katikati ya shimo atanaswa na mtego. Madirisha ya mbinguni yatafunguliwa, na misingi ya dunia itatikisika.
زمین بالکل منکسرشده. زمین تمام از هم پاشیده و زمین به شدت متحرک گشته است. ۱۹ 19
Dunia itangamizwa kabisa, dunia itapasukia mbali; dunia itatatikisika vikali.
زمین مثل مستان افتان وخیزان است و مثل سایه بان به چپ و راست متحرک و گناهش بر آن سنگین است. پس افتاده است که بار دیگر نخواهد برخاست. ۲۰ 20
Dunia itajikongoja kama mlevi na itachezacheza kurudi nyuma na mbele kama kibanda. Dhambi zao zitakuwa nzito juu yao na zitaanguka na hazitasimama tena.
و در آن روز واقع خواهد شد که خداوندگروه شریفان را بر مکان بلند ایشان و پادشاهان زمین را بر زمین سزا خواهد داد. ۲۱ 21
Itakuwa siku hiyo ambayo Yahwe ataliadhibu jeshi la aliye juu mahali pa juu, na falme za dunia katika dunia.
و ایشان مثل اسیران در چاه جمع خواهند شد و درزندان بسته خواهند گردید و بعد از روزهای بسیار، ایشان طلبیده خواهند شد. ۲۲ 22
Watakusanyika pamoja, wafungwa katika shimo, na watafungw gerezani; na baada ya siku nying watadhibiwa.
و ماه خجل و آفتاب رسوا خواهد گشت زیرا که یهوه صبایوت در کوه صهیون و در اورشلیم و به حضور مشایخ خویش، با جلال سلطنت خواهدنمود. ۲۳ 23
Halafu Mwenzi utatiwa aibu na jua pia litatwa aibu, maana Yahwe wa majeshi atatawala katika mlima Sayuni na Yerusalemu, kabla ya wazee wake katika utukufu.

< اشعیا 24 >