< هوشع 6 >
بیایید نزد خداوند بازگشت نماییم زیرا که او دریده است و ما را شفا خواهد داد؛ اوزده است و ما را شکسته بندی خواهد نمود. | ۱ 1 |
“Njooni, tumrudie Bwana. Ameturarua vipande vipande lakini atatuponya; ametujeruhi lakini atatufunga majeraha yetu.
بعداز دو روز ما را زنده خواهد کرد. در روز سوم ما راخواهد برخیزانید و در حضور او زیست خواهیم نمود. | ۲ 2 |
Baada ya siku mbili atatufufua; katika siku ya tatu atatuinua, ili tuweze kuishi mbele zake.
پس خداوند را بشناسیم و به جد و جهدمعرفت او را تعاقب نماییم. طلوع او مثل فجریقین است و بر ما مثل باران و مانند باران آخر که زمین را سیراب میکند خواهد آمد. | ۳ 3 |
Tumkubali Bwana, tukaze kumkubali yeye. Kutokea kwake ni hakika kama vile kuchomoza kwa jua; atatujia kama mvua za masika, kama vile mvua za vuli ziinyweshavyo nchi.”
ای افرایم با تو چه کنم؟ ای یهودا با تو چه کنم؟ زیرا نیکویی تو مثل ابرهای صبح و مانند شبنم است که بزودی میگذرد. | ۴ 4 |
“Nifanye nini nawe, Efraimu? Nifanye nini nawe, Yuda? Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi, kama umande wa alfajiri utowekao.
بنابراین من ایشان را بوسیله انبیا قطع نمودم و به سخنان دهان خود ایشان را کشتم و داوری من مثل نور ساطع میشود. | ۵ 5 |
Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande kwa kutumia manabii wangu; nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu, hukumu zangu zinawaka kama umeme juu yenu.
زیرا که رحمت را پسند کردم و نه قربانی را و معرفت خدا را بیشتر از قربانی های سوختنی. | ۶ 6 |
Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, kumkubali Mungu zaidi kuliko sadaka za kuteketezwa.
اما ایشان مثل آدم از عهد تجاوزنمودند و درآنجا به من خیانت ورزیدند. | ۷ 7 |
Wamevunja Agano kama Adamu: huko hawakuwa waaminifu kwangu.
جلعادشهر گناهکاران و خون آلود است. | ۸ 8 |
Gileadi ni mji wenye watu waovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
و چنانکه رهزنان برای مردم در کمین میباشند، همچنان جمعیت کاهنان در راه شکیم میکشند زیرا که ایشان مرتکب قباحت شدهاند. | ۹ 9 |
Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu, ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo; wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu, wakifanya uhalifu wa aibu.
در خاندان اسرائیل عملی هولناک دیدم: افرایم در آنجامرتکب زنا شده، اسرائیل خویشتن را نجس ساخته است. | ۱۰ 10 |
Nimeona jambo la kutisha katika nyumba ya Israeli. Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba na Israeli amenajisika.
و برای تو نیزای یهودا حصادی معین شده است هنگامی که اسیری قوم خود راخواهم برگردانید. | ۱۱ 11 |
“Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamriwa. “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,