< هوشع 13 >

هنگامی که افرایم به لرزه سخن گفت، خویشتن را در اسرائیل مرتفع نمود؛ اماچون در امر بعل مجرم شد، بمرد. ۱ 1
Wakati Efraimu alipozungumza, watu walitetemeka, alikuwa ametukuzwa katika Israeli. Lakini alikuwa na hatia ya kumwabudu Baali naye akafa.
و الان گناهان می‌افزایند و از نقره خود بتهای ریخته شده وتماثیل موافق عقل خود می‌سازند که همه آنهاعمل صنعتگران می‌باشد و درباره آنها می‌گویندکه اشخاصی که قربانی می‌گذرانند گوساله‌ها راببوسند. ۲ 2
Sasa wanatenda dhambi zaidi na zaidi; wanajitengenezea sanamu kutokana na fedha yao, vinyago vilivyotengenezwa kwa uhodari, vyote kazi ya fundi stadi. Inasemekana kuhusu hawa watu, “Hutoa dhabihu za binadamu na kubusu sanamu za ndama.”
بنابراین، ایشان مثل ابرهای صبح ومانند شبنمی که بزودی می‌گذرد، هستند. و مثل کاه که از خرمن پراکنده شود و مانند دود که ازروزن برآید. ۳ 3
Kwa hiyo watakuwa kama ukungu wa asubuhi, kama umande wa alfajiri utowekao, kama makapi yapeperushwayo kutoka sakafu ya kupuria nafaka, kama moshi utorokao kupitia dirishani.
اما من از زمین مصر (تا حال ) یهوه خدای توهستم و غیر از من خدای دیگر را نمی شناسی وسوای من نجات‌دهنده‌ای نیست. ۴ 4
“Bali mimi ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewaleta ninyi toka Misri. Msimkubali Mungu mwingine ila mimi, hakuna Mwokozi isipokuwa mimi.
من تو را دربیابان در زمین بسیار خشک شناختم. ۵ 5
Niliwatunza huko jangwani, katika nchi yenye joto liunguzalo.
چون چریدند، سیر شدند و چون سیر شدند، دل ایشان مغرور گردید و از این جهت مرا فراموش کردند. ۶ 6
Nilipowalisha, walishiba, waliposhiba, wakajivuna, kisha wakanisahau mimi.
پس من برای ایشان مثل شیر خواهم بود و مانندپلنگ به‌سر راه در کمین خواهم نشست. ۷ 7
Kwa hiyo nitakuja juu yao kama simba, kama chui nitawavizia kando ya njia.
و مثل خرسی که بچه هایش را از وی ربوده باشد، بر ایشان حمله خواهم آورد و پرده دل ایشان راخواهم درید و مثل شیر ایشان را در آنجاخواهم خورد و حیوانات صحرا ایشان راخواهند درید. ۸ 8
Kama dubu aliyenyangʼanywa watoto wake, nitawashambulia na kurarua vifua vyenu. Kama simba nitawala; mnyama pori atawararua vipande vipande.
‌ای اسرائیل هلاک شدی، اما معاونت تو بامن است. ۹ 9
“Ee Israeli, umeangamizwa, kwa sababu wewe u kinyume nami, kinyume na msaidizi wako.
الان پادشاه تو کجاست تا تو را درتمامی شهرهایت معاونت کند و داورانت (کجایند) که درباره آنها گفتی پادشاه و سروران به من بده؟ ۱۰ 10
Yuko wapi mfalme wako, ili apate kukuokoa? Wako wapi watawala wako katika miji yako yote ambao ulisema kuwahusu, ‘Nipe mfalme na wakuu’?
از غضب خود، پادشاهی به تو دادم واز خشم خویش او را برداشتم. ۱۱ 11
Hivyo katika hasira yangu nilikupa mfalme na katika ghadhabu yangu nilimwondoa.
عصیان افرایم بسته شده و گناه او مخزون گردیده است. ۱۲ 12
Kosa la Efraimu limehifadhiwa, dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.
دردهای زه مثل زنی که می‌زاید بروی آمده است و او پسری نادانشمند است زیرا در وقتش، در جای تولد فرزندان نمی ایستد. ۱۳ 13
Utungu kama wa mwanamke anayejifungua mtoto humjia, lakini yeye ni mtoto asiyekuwa na hekima; wakati utakapowadia hatatoka katika tumbo la mama yake.
من ایشان را از دست هاویه فدیه خواهم داد و ایشان را از موت نجات خواهم بخشید. ای موت ضربات تو کجاست و‌ای هاویه هلاکت تو کجا است؟ پشیمانی از چشمان من مستور شده است. (Sheol h7585) ۱۴ 14
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol h7585)
اگر‌چه در میان برادرانش ثمر آورد، اما باد شرقی می‌وزد وباد خداوند از بیابان برمی آید و منبع اوخشک می‌گردد و چشمه‌اش می‌خشکد و اوگنج تمامی اسباب نفیسه وی را تاراج می‌نماید. ۱۵ 15
hata ingawa Efraimu atastawi miongoni mwa ndugu zake. Upepo wa mashariki kutoka kwa Bwana utakuja, ukivuma kutoka jangwani, chemchemi yake haitatoa maji na kisima chake kitakauka. Ghala lake litatekwa hazina zake zote.
سامره متحمل گناه خود خواهدشد، زیرا به خدای خود فتنه انگیخته است. ایشان به شمشیر خواهند افتاد و اطفال ایشان خرد و زنان حامله ایشان شکم دریده خواهندشد. ۱۶ 16
Watu wa Samaria ni lazima wabebe hatia yao, kwa sababu wameasi dhidi ya Mungu wao. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watatupwa kwa nguvu ardhini, wanawake wao walio na mimba watatumbuliwa.”

< هوشع 13 >