< پیدایش 36 >

و پیدایش عیسو که ادوم باشد، این است: ۱ 1
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
عیسو زنان خود را از دختران کنعانیان گرفت: یعنی عاده دختر ایلون حتی، واهولیبامه دختر عنی، دختر صبعون حوی، ۲ 2
Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
وبسمه دختر اسماعیل، خواهر نبایوت. ۳ 3
Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
و عاده، الیفاز را برای عیسو زایید، و بسمه، رعوئیل رابزاد، ۴ 4
Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
و اهولیبامه یعوش، و یعلام و قورح رازایید. اینانند پسران عیسو که برای وی در زمین کنعان متولد شدند. ۵ 5
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
پس عیسو زنان و پسران ودختران و جمیع اهل بیت، و مواشی و همه حیوانات، و تمامی اندوخته خود را که در زمین کنعان اندوخته بود، گرفته، از نزد برادر خودیعقوب به زمین دیگر رفت. ۶ 6
Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
زیرا که اموال ایشان زیاده بود از آنکه با هم سکونت کنند. و زمین غربت ایشان بسبب مواشی ایشان گنجایش ایشان نداشت. ۷ 7
Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
و عیسو در جبل سعیر ساکن شد. وعیسو همان ادوم است. ۸ 8
Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
و این است پیدایش عیسو پدر ادوم در جبل سعیر: ۹ 9
Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
اینست نامهای پسران عیسو: الیفاز پسرعاده، زن عیسو، و رعوئیل، پسر بسمه، زن عیسو. ۱۰ 10
Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
و بنی الیفاز: تیمان و اومار و صفوا و جعتام وقناز بودند. ۱۱ 11
Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
و تمناع، کنیز الیفاز، پسر عیسوبود. وی عمالیق را برای الیفاز زایید. اینانندپسران عاده زن عیسو. ۱۲ 12
Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
و اینانند پسران رعوئیل: نحت و زارع و شمه و مزه. اینانند پسران بسمه زن عیسو. ۱۳ 13
Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
و اینانند پسران اهولیبامه دختر عنی، دختر صبعون، زن عیسو که یعوش ویعلام و قورح را برای عیسو زایید. ۱۴ 14
Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
اینانند امرای بنی عیسو: پسران الیفازنخست زاده عیسو، یعنی امیر تیمان و امیر اومار وامیر صفوا و امیر قناز، ۱۵ 15
Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
و امیر قورح و امیرجعتام و امیر عمالیق. اینانند امرای الیفاز در زمین ادوم. اینانند پسران عاده. ۱۶ 16
Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
و اینان پسران رعوئیل بن عیسو می‌باشند: امیر نحت و امیر زارح و امیر شمه و امیر مزه. اینهاامرای رعوئیل در زمین ادوم بودند. اینانند پسران بسمه زن عیسو. ۱۷ 17
Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
و اینانند بنی اهولیبامه زن عیسو: امیریعوش و امیر یعلام و امیر قورح. اینها امرای اهولیبامه دختر عنی، زن عیسو می‌باشند. ۱۸ 18
Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
اینانند پسران عیسو که ادوم باشد و اینهاامرای ایشان می‌باشند. ۱۹ 19
Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
و اینانند پسران سعیر حوری که ساکن آن زمین بودند، یعنی: لوطان و شوبال و صبعون وعنی، ۲۰ 20
Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
و دیشون و ایصر و دیشان. اینانند امرای حوریان و پسران سعیر در زمین ادوم. ۲۱ 21
Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
و پسران لوطان: حوری و هیمام بودند وخواهر لوطان تمناع، بود. ۲۲ 22
Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
و اینانند پسران شوبال: علوان و منحت و عیبال و شفو و اونام. ۲۳ 23
Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
و اینانند بنی صبعون: ایه و عنی. همین عنی است که چشمه های آب گرم را در صحرا پیدانمود، هنگامی که الاغهای پدر خود، صبعون رامی چرانید. ۲۴ 24
Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
و اینانند اولاد عنی: دیشون واهولیبامه دختر عنی. ۲۵ 25
Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
و اینانند پسران دیشان: حمدان و اشبان و بتران و کران. ۲۶ 26
Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
و اینانند پسران ایصر: بلهان و زعوان و عقان. ۲۷ 27
Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
اینانند پسران دیشان: عوص و اران. ۲۸ 28
Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
اینها امرای حوریانند: امیر لوطان و امیرشوبال و امیر صبعون و امیر عنی، ۲۹ 29
Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
امیر دیشون و امیر ایصر و امیر دیشان. اینها امرای حوریانند به حسب امرای ایشان در زمین سعیر. ۳۰ 30
Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
و اینانند پادشاهانی که در زمین ادوم سلطنت کردند، قبل از آنکه پادشاهی بربنی‌اسرائیل سلطنت کند: ۳۱ 31
Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
و بالع بن بعور درادوم پادشاهی کرد، و نام شهر او دینهابه بود. ۳۲ 32
Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
وبالع مرد، و در جایش یوباب بن زارح از بصره سلطنت کرد. ۳۳ 33
Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
و یوباب مرد، و در جایش حوشام از زمین تیمانی پادشاهی کرد. ۳۴ 34
Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
وحوشام مرد، و در جایش هداد بن بداد، که درصحرای موآب، مدیان را شکست داد، پادشاهی کرد، و نام شهر او عویت بود. ۳۵ 35
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
و هداد مرد، و درجایش سمله از مسریقه پادشاهی نمود. ۳۶ 36
Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
وسمله مرد، و شاول از رحوبوت نهر در جایش پادشاهی کرد. ۳۷ 37
Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
و شاول مرد، و در جایش بعل حانان بن عکبور سلطنت کرد. ۳۸ 38
Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
و بعل حانان بن عکبور مرد، و در جایش، هدار پادشاهی کرد. ونام شهرش فاعو بود، و زنش مسمی به مهیطبئیل دختر مطرد، دختر می‌ذاهب بود. ۳۹ 39
Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
و اینست نامهای امرای عیسو، حسب قبائل ایشان و اماکن و نامهای ایشان: امیر تمناع وامیر علوه و امیر یتیت، ۴۰ 40
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
و امیر اهولیبامه و امیرایله و امیر فینون، ۴۱ 41
Oholibama, Ela, Pinoni,
و امیر قناز و امیرتیمان و امیرمبصار، ۴۲ 42
Kenazi, Temani, Mbza,
و امیر مجدیئیل و امیر عیرام. اینان امرای ادومند، حسب مساکن ایشان در زمین ملک ایشان. همان عیسو پدر ادوم است. ۴۳ 43
Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.

< پیدایش 36 >