< پیدایش 19 >

و وقت عصر، آن دو فرشته وارد سدوم شدند، و لوط به دروازه سدوم نشسته بود. و چون لوط ایشان را بدید، به استقبال ایشان برخاسته، رو بر زمین نهاد ۱ 1
Malaika wawili wakaja Sodoma jioni, wakati ambao Lutu alikuwa amekaa langoni mwa Sodoma. Lutu akawaona, akainuka kuwalaki, na akainama uso wake chini ardhini.
و گفت: «اینک اکنون‌ای آقایان من، به خانه بنده خود بیایید، و شب رابسر برید، و پایهای خود را بشویید و بامدادان برخاسته، راه خود را پیش گیرید.» گفتند: «نی، بلکه شب را در کوچه بسر بریم.» ۲ 2
Akasema, Tafadhari Bwana zangu, nawasihi mgeuke mwende kwenye nyumba ya mtumishi wenu, mlale pale usiku na muoshe miguu yenu. Kisha muamke asubuhi na mapema muondoke.” Nao wakasema, “Hapana, usiku tutalala mjini.”
اما چون ایشان را الحاح بسیار نمود، با او آمده، به خانه‌اش داخل شدند، و برای ایشان ضیافتی نمود و نان فطیرپخت، پس تناول کردند. ۳ 3
Lakini akawasihi sana, mwishowe wakaondoka pamoja nae, na wakaingia katika nyumba yake. Akaandaa chakula na kuoka mkate usiotiwa chachu, wakala.
و به خواب هنوز نرفته بودند که مردان شهر، یعنی مردم سدوم، از جوان و پیر، تمام قوم از هر جانب، خانه وی را احاطه کردند. ۴ 4
Lakini kabla hawaja lala, wanaume wa mji, wa Sodoma, vijana kwa wazee wakaizunguka nyumba, wanaume wote kutoka kila kona ya mji.
و به لوط ندا در‌داده، گفتند: «آن دو مرد که امشب به نزد تو درآمدند، کجا هستند؟ آنها رانزد ما بیرون آور تا ایشان را بشناسیم.» ۵ 5
Wakamwita Lutu, na kumwambia, “Wale wanaume walioingia kwako usiku wakowapi? watoe hapa nje waje kwetu, ili tuweze kulala nao.”
آنگاه لوط نزد ایشان، بدرگاه بیرون آمد و در را از عقب خود ببست ۶ 6
Lutu akatoka nje na akafunga mlango.
و گفت: «ای برادران من، زنهار بدی مکنید. ۷ 7
Akasema, “Nawasihi, ndugu zangu, msitende uovu.
اینک من دو دختر دارم که مرد رانشناخته‌اند. ایشان را الان نزد شما بیرون آورم وآنچه در نظر شما پسند آید، با ایشان بکنید. لکن کاری بدین دو مرد ندارید، زیرا که برای همین زیرسایه سقف من آمده‌اند.» ۸ 8
Tazama, nina mabinti wawili ambao hawajawahi kulala na mwanaume yeyote. Nawaomba tafadhari niwalete kwenu, na muwafanyie lolote muonalo kuwa jema machoni penu. Msitende lolote kwa wanaume hawa, kwa kuwa wamekuja chini ya kivuli cha dari yangu.”
گفتند: «دور شو.» وگفتند: «این یکی آمد تا نزیل ما شود و پیوسته داوری می‌کند. الان با تو از ایشان بدتر کنیم.» پس بر آن مرد، یعنی لوط، بشدت هجوم آورده، نزدیک آمدند تا در را بشکنند. ۹ 9
Wakasema, “Ondoka hapa!” Wakasema pia, huyu alikuja kukaa hapa kama mgeni, na sasa amekuwa mwamuzi! Sasa tutakushugulilia vibaya wewe kuliko wao.” Wakamsonga sana huyo mtu, huyo Lutu, na wakakaribia kuvunja mlango.
آنگاه آن دو مرد، دست خود را پیش آورده، لوط را نزد خود به خانه درآوردند و در رابستند. ۱۰ 10
Lakini wale wanaume wakamkamata Lutu na kumweka ndani na wakafunga mlango.
اما آن اشخاصی را که به در خانه بودند، از خرد و بزرگ، به کوری مبتلا کردند، که ازجستن در، خویشتن را خسته ساختند. ۱۱ 11
Kisha wale wageni wa Lutu wakawapiga kwa upofu wale wanaume waliokuwa nje ya nyumba, vijana na wazee kwa pamoja, kiasi kwamba wakachoka wakati wakiutafuta mlango.
و آن دومرد به لوط گفتند: «آیا کسی دیگر دراینجا داری؟ دامادان و پسران و دختران خود و هر‌که را درشهر داری، از این مکان بیرون آور، ۱۲ 12
Basi wale watu wakamwambia Lutu, Je una mtu mwingine yeyote hapa? wakwe zako, wanao na mabinti zako, na yeyote mwingine katika huu mji, ukawatoe hapa.
زیرا که مااین مکان را هلاک خواهیم ساخت، چونکه فریادشدید ایشان به حضور خداوند رسیده و خداوندما را فرستاده است تا آن را هلاک کنیم.» ۱۳ 13
Kwa kuwa tunakaribia kuiangamiza sehemu hii, kwa sababu mashitaka dhidi yake mbele ya Yahwe yamezidi kiasi kwamba ametutuma kuuangamiza.”
پس لوط بیرون رفته، با دامادان خود که دختران او راگرفتند، مکالمه کرده، گفت: «برخیزید و از این مکان بیرون شوید، زیرا خداوند این شهر را هلاک می‌کند.» اما بنظر دامادان مسخره آمد. ۱۴ 14
Lutu akatoka na akazungumza na wakwe zake, wanaume ambao walikuwa wamewaposa binti zake, akawambia, “Ondokeni upesi mahali hapa, kwa kuwa Yahwe anakaribia kuuangamiza mji.” Lakini kwa wakwe zake alionekana kuwa anawatania.
و هنگام طلوع فجر، آن دو فرشته، لوط را شتابانیده، گفتند: «برخیز و زن خود را با این دودختر که حاضرند بردار، مبادا در گناه شهر هلاک شوی.» ۱۵ 15
Alfajiri, malaika wakamsihi Lutu, wakisema, ondoka, mtwae mkeo na binti zako wawili ambao wako hapa, ili kwamba usipotelee katika adhabu ya mji huu.”
و چون تاخیر می‌نمود، آن مردان، دست او و دست زنش و دست هر دو دخترش راگرفتند، چونکه خداوند بر وی شفقت نمود و اورا بیرون آورده، در خارج شهر گذاشتند. ۱۶ 16
Lakini akakawia-kawia. Kwa hiyo watu wale wakamshika mkono wake, na mkono wa mkewe, na mikono ya binti zake wawili, kwa sababu Yahwe alimhurumia. Wakawatoa nje, na kuwaweka nje ya mji.
وواقع شد چون ایشان را بیرون آورده بودند که یکی به وی گفت: «جان خود را دریاب و از عقب منگر، و در تمام وادی مایست، بلکه به کوه بگریز، مبادا هلاک شوی.» ۱۷ 17
Wakisha kuwatoa nje mmoja wa wale watu akasema, “jiponye nafsi yako! usitazame nyuma, au usikae mahali popote kwenye hili bonde. Toroka uende milimani ili kwamba usije ukatoweshwa mbali.”
لوط بدیشان گفت: «ای آقاچنین مباد! ۱۸ 18
Lutu akawambia, “Hapana, tafadhali bwana zangu!
همانا بنده ات در نظرت التفات یافته است و احسانی عظیم به من کردی که جانم را رستگار ساختی، و من قدرت آن ندارم که به کوه فرار کنم، مبادا این بلا مرا فرو‌گیرد و بمیرم. ۱۹ 19
Mtumishi wenu amepata kibali machoni pako, na umenionesha wema ulio mkuu kwa kuokoa maisha yangu, lakini sitaweza kutorokea milimani, kwa sababu mabaya yataniwahi na nitakufa.
اینک این شهر نزدیک است تا بدان فرار کنم، ونیز صغیر است. اذن بده تا بدان فرار کنم. آیا صغیرنیست، تا جانم زنده ماند.» ۲۰ 20
Tazama, ule mji pale uko karibu nijisalimishe pale, na ni mdogo. Tafadhari niacheni nikimbilie pale ( Je Siyo mdogo ule?), na maisha yangu yataokolewa.”
بدو گفت: «اینک دراین امر نیز تو را اجابت فرمودم، تا شهری را که سفارش آن را نمودی، واژگون نسازم. ۲۱ 21
Akamwambia, “Sawa, nimekubali ombi hili pia, kwamba sitaangamiza mji ambaoumeutaja.
بدان جابزودی فرار کن، زیرا که تا تو بدانجا نرسی، هیچ نمی توانم کرد.» از این سبب آن شهر مسمی به صوغر شد. ۲۲ 22
Harakisha! toroka uende pale, kwa kuwa sitafanya chochote mpaka ufike pale.” kwa hiyo mji ule ukaitwa Soari.
و چون آفتاب بر زمین طلوع کرد، لوط به صوغر داخل شد. ۲۳ 23
Jua lilikuwa limekwisha chomoza juu ya nchi wakati Lutu alipofika Soari.
آنگاه خداوند برسدوم و عموره، گوگرد و آتش، از حضورخداوند از آسمان بارانید. ۲۴ 24
Kisha Yahwe akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka kwa Yahwe mbinguni.
و آن شهرها، و تمام وادی، و جمیع سکنه شهرها و نباتات زمین راواژگون ساخت. ۲۵ 25
Akaharibu miji ile, na bonde lote, na vyote vilivyomo katika miji, na mimea iliyo chipua juu ya ardhi.
اما زن او، از عقب خودنگریسته، ستونی از نمک گردید. ۲۶ 26
Lakini mke wa Lutu aliye kuwa nyuma yake, akatazama nyuma, na akawa nguzo ya chumvi.
بامدادان، ابراهیم برخاست و به سوی آن مکانی که در آن به حضور خداوند ایستاده بود، رفت. ۲۷ 27
Abraham akaamuka asubuhi na mapema akaenda mahali alipokuwa amesimama mbele ya Yahwe.
و چون به سوی سدوم و عموره، و تمام زمین وادی نظر انداخت، دید که اینک دود آن زمین، چون دود کوره بالا می‌رود. ۲۸ 28
Akatazama chini kuelekea Sodoma na Gomora na kuelekea katika nchi yote bondeni. Akaona na tazama, moshi ulikuwauki ukienda juu kutoka chini kama moshi wa tanuru.
و هنگامی که خدا، شهرهای وادی را هلاک کرد، خدا، ابراهیم را به یاد آورد، و لوط را از آن انقلاب بیرون آورد، چون آن شهرهایی را که لوط در آنهاساکن بود، واژگون ساخت. ۲۹ 29
Wakati Mungu alipoharibu miji ya bondeni, Mungu akamkumbuka Abraham. Akamtoa Lutu kutoka katika maangamizi alipoangamiza miji ambayo katika hiyo Lutu aliishi.
و لوط از صوغر برآمد و با دو دختر خوددر کوه ساکن شد زیرا ترسید که در صوغر بماند. پس با دو دختر خود در مغاره سکنی گرفت. ۳۰ 30
Lakini Lutu akapanda juu kutoka Soari na kwenda kuishi katika milima akiwa pamoja na binti zake wawili, kwa sababu aliogopa kuishi Soari. Kwa hiyo akaishi pangoni, yeye na binti zake wawili.
ودختر بزرگ به کوچک گفت: «پدر ما پیر شده ومردی بر روی زمین نیست که برحسب عادت کل جهان، به ما در‌آید. ۳۱ 31
Yule wa kwanza akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanaume mahali popote wa kulala na sisi kulingana na desturi ya dunia yote.
بیا تا پدر خود را شراب بنوشانیم، و با او هم بستر شویم، تا نسلی از پدرخود نگاه داریم.» ۳۲ 32
Njoo na tumnyweshe baba yetu mvinyo na tulale naye ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
پس در همان شب، پدر خودرا شراب نوشانیدند، و دختر بزرگ آمده با پدرخویش همخواب شد، و او از خوابیدن وبرخاستن وی آگاه نشد. ۳۳ 33
Kwa hiyo wakamnywesha baba yako mvinyo usiku ule. Kisha yule wa kwanza akaingia na akalala na baba yake; Baba yake hakujua ni wakati gani alikuja kulala, wala wakati alipo amka.
و واقع شد که روزدیگر، بزرگ به کوچک گفت: «اینک دوش با پدرم همخواب شدم، امشب نیز او را شراب بنوشانیم، و تو بیا و با وی همخواب شو، تا نسلی از پدرخود نگاه داریم.» ۳۴ 34
Siku iliyo fuata yule wa kwanza akamwambia mdogowake, “Sikiliza, usiku wa jana nililala na baba yangu. Na tumnyweshe mvinyo usiku wa leo pia, na uingie ukalale naye. Ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
آن شب نیز پدر خود راشراب نوشانیدند، و دختر کوچک همخواب وی شد، و او از خوابیدن و برخاستن وی آگاه نشد. ۳۵ 35
Kwa hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule pia, na yule mdogo akaenda na akalala naye. Baba yake hakujua ni wakati gani alilala, wala wakati alipoamka.
پس هر دو دختر لوط از پدر خود حامله شدند. ۳۶ 36
Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
و آن بزرگ، پسری زاییده، او را موآب نام نهاد، و او تا امروز پدر موآبیان است. ۳۷ 37
Wa kwanza akazaa mwana wa kiume, na akamwita jina lake Moabu. Akawa ndiye baba wa wamoabu hata leo.
و کوچک نیز پسری بزاد، و او را بن عمی نام نهاد. وی تا بحال پدر بنی عمون است. ۳۸ 38
Nayule mdogo naye akazaa mwana wa kiume, na akamwita Benami. Huyu ndiye baba wa watu wa Waamoni hata leo.

< پیدایش 19 >