< عزرا 3 >

و چون ماه هفتم رسید بنی‌اسرائیل درشهرهای خود مقیم بودند و تمامی قوم مثل یک مرد در اورشلیم جمع شدند. ۱ 1
Ilikuwa miezi saba baaada ya watu wa Israeli kurudi kwenye miji yao, ndipo walipojikusanya pamoja kama mtu mmoja katika Yerusalem.
و یشوع بن یوصاداق و برادرانش که کاهنان بودند و زربابل بن شالتیئیل با برادران خود برخاستند و مذبح خدای اسرائیل را برپا کردند تا قربانی های سوختنی برحسب آنچه در تورات موسی، مرد خدا مکتوب است بر آن بگذرانند. ۲ 2
Yeshua mwana wa Yosadaki na kaka yake kuhani, na Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kaka yake wakainuka na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli na kutoa sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoagizwa katika sheria ya Musa, Mtu wa Mungu.
پس مذبح را برجایش برپا کردند زیرا که به‌سبب قوم زمین، ترس بر ایشان مستولی می‌بود وقربانی های سوختنی برای خداوند یعنی قربانی های سوختنی، صبح و شام را بر آن گذرانیدند. ۳ 3
Ndipo wakaanzisha madhabahu juu ya msingi, kwa hofu waliokuwa nayo kwa sababu ya watu wa nchi/ Wakatoa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe asubuhi na jioni.
و عید خیمه‌ها را به نحوی که مکتوب است نگاه داشتند و قربانی های سوختنی روز به روز، معتاد هر روز را در روزش، برحسب رسم و قانون گذرانیدند. ۴ 4
Pia vilevile wakaichunguza sikukuu ya vibanda kama ilivyoandikwa na wakatoa sadaka ya kuteketezwa siku kwa siku kama ilivyoagizwa, kila siku kwa siku yake.
و بعد از آن، قربانی های سوختنی دائمی را در غره های ماه و در همه مواسم مقدس خداوند و برای هر کس که هدایای تبرعی به جهت خداوند می‌آورد، می‌گذرانیدند. ۵ 5
Kulikuwa na sadaka ya kila siku ya kuteketezwa na mwezi mara moja na sadaka za siku ya Yahwe za kudumu, pamoja na sadaka zote za hiari.
از روز اول ماه هفتم، حینی که بنیاد هیکل خداوند هنوز نهاده نشده بود، به گذرانیدن قربانی های سوختنی برای خداوند شروع کردند. ۶ 6
Walianza kutoa sadaka za kuteketezwa za Yahwe siku ya kwanza ya mwezi wa saba, ingawa hekalu lilikuwa halijaanza kujengwa.
و به حجاران و نجاران نقره دادند و به اهل صیدون و صور ماکولات و مشروبات و روغن (دادند) تا چوب سرو آزاد از لبنان از دریا به یافا، برحسب امری که کورش پادشاه فارس، به ایشان داده بود بیاورند. ۷ 7
Hivyo wakatoa fedha kwa wahunzi na fundi wa mkono, na wakawapa chakula, vinywaji na mafuta kwa watu wa Sidoni na Tiro, ili kwamba walete miti ya mierezi kupitia baharini kutoka Lebanoni mpaka Yafa, na kama walivyo ruhusiwa na mfalme Koreshi wa Uajemi.
و در ماه دوم از سال دوم، بعد از رسیدن ایشان به خانه خدا در اورشلیم، زربابل بن شالتیئیل و یشوع بن یوصاداق و سایر برادران ایشان از کاهنان و لاویان و همه کسانی که ازاسیری به اورشلیم برگشته بودند، به نصب نمودن لاویان از بیست ساله و بالاتر بر نظارت عمل خانه خداوند شروع کردند. ۸ 8
Ndipo mwezi wa pili katika mwaka wa pili baadae wakaja kwenye nyumba ya Mungu Yerusalem, Zerubabeli, Yoshua mwana wa Yosadaki, na baadhi ya makuhani na walawi na wale walikuja kutoka uhamishoni kurudi Yerusalem wakaanza kazi. Wakawachagua walawi walikuwa na miaka ishirini na zaidi kusimamia kazi ya nyumba ya Yahwe,
و یشوع با پسران وبرادران خود و قدمیئیل با پسرانش از بنی یهودا باهم ایستادند تا بر بنی حیناداد و پسران و برادران ایشان که از لاویان در کار خانه خدا مشغول می‌بودند، نظارت نمایند. ۹ 9
Yoshua akamsimamisha kijana wake na kaka yake, Kadmiel na watoto wake, na kizazi cha yuda kusimamia kufanya kazi katika nyumba ya Mungu. Pamoja na wao kulikuwa na wana wa Henadadi, na uzao wao, na pia jamaa zao walawi.
و چون بنایان بنیاد هیکل خداوند را نهادند، کاهنان را با لباس خودشان با کرناها و لاویان بنی آساف را با سنجها قرار دادند تا خداوند رابرحسب رسم داود پادشاه اسرائیل، تسبیح بخوانند. ۱۰ 10
Wajenzi wakasimamisha msingi wa Hekalu la Yahwe, Na hii ikawawezesha makuhani kusimama na mavazi yao wakiwa na tarumbeta, na walawi wana wa Asafu, kumtukuza Yahwe kwa matoazi, kama mkono wa mfalme Daudi wa Israel alivyoagiza.
و بر یکدیگر می‌سراییدند و خداوندرا تسبیح و حمد می‌گفتند، که «او نیکوست زیراکه رحمت او بر اسرائیل تا ابدالاباد است» وتمامی قوم به آواز بلند صدا زده، خداوند را به‌سبب بنیاد نهادن خانه خداوند، تسبیح می‌خواندند. ۱۱ 11
Waliimba kwa kumsifu na kumshukuru Yahwe. “Yeye ni mwema! Agano lake ni kweli kwa Israel ladumu milele.”Watu wote wakapiga kelele kwa sauti kuu za shangwe wakimsifu Yahwe kwa sababu misingi ya Hekalu ilikuwa imekamilika.
و بسیاری از کاهنان و لاویان و روسای آباکه پیر بودند و خانه اولین را دیده بودند، حینی که بنیاد این خانه در نظر ایشان نهاده شد، به آواز بلندگریستند و بسیاری با آواز شادمانی صداهای خود را بلند کردند. ۱۲ 12
Lakini wengi wa Makuhani, walawi, wakuu wa kale, na wazeee wa zamani walioiona nyumba ya kwanza, wakati misingi ilipowekwa wakaishuhudia kwa macho yao, walilia kwa sauti. Lakiniwengi walipiga kelele kwa sauti za shangwe na furaha na sauti za kushangaza.
چنانکه مردم نتوانستند درمیان صدای آواز شادمانی و آواز گریستن قوم تشخیص نمایند زیرا که خلق، صدای بسیار بلندمی دادند چنانکه آواز ایشان از دور شنیده می‌شد. ۱۳ 13
Na matokeo yake, watu hawakuweza kutofautisha sauti za furaha na sauti za shangwe na sauti za watu waliokuwa wanalia, kwa kuwa watu walikuwa wanalia kwa sauti kuu ya shangwe na sauti ilisikika kutoka mbali.

< عزرا 3 >