< عاموس 3 >

این کلام را بشنوید که خداوند آن را به ضدشما‌ای بنی‌اسرائیل و به ضد تمامی خاندانی که از زمین مصر بیرون آوردم، تنطق نموده و گفته است: ۱ 1
Sikieni neno la Yahwe aliloongea juu yenu, watu wa Israeli, juu ya familia nzima ambayo niliwatoa kutoka nchi ya Misri,
من شما را فقط از تمامی قبایل زمین شناختم پس عقوبت تمام گناهان شما را بر شما خواهم رسانید. ۲ 2
“Nimewachagua ninyi tu kutoka familia zote za dunia. Kwa hiyo nitawaadhibu kwa dhambi zenu zote.”
آیا دو نفر با هم راه می‌روند جز آنکه متفق شده باشند؟ آیا شیر در جنگل غرش می‌کند حینی که شکار نداشته باشد؟ آیا شیر ژیان آواز خود را از بیشه‌اش می‌دهد حینی که چیزی نگرفته باشد؟ ۳ 3
Je wawili wanaweza kutembea pamoja isipokuwa wamekubaliana?
آیا مرغ به دام زمین می‌افتد، جایی که تله برای او نباشد؟ آیا دام از زمین برداشته می‌شود، حینی که چیزی نگرفته باشد؟ ۴ 4
Je simba huunguruma msituni wakati hakuna mawindo? Je mwana simba ataunguruma kutoka pangoni mwake kama hajakamata kitu?
آیا کرنادر شهر نواخته می‌شود و خلق نترسند؟ ۵ 5
Je ndege ataanguka kwenye mtego aridhini wakati hakuna chambo kimewekwa kwa ajili yake? Je mtego utafyatuka juu aridhini wakati hakuna kitu cha kukamata?
آیا بلابر شهر وارد بیاید و خداوند آن را نفرموده باشد؟ ۶ 6
Je tarumbeta itapigwa mjini na watu wasitetemeke? Je janga laweza kuja mjini lisiyoletwa na Yahwe?
زیرا خداوند یهوه کاری نمی کند جز اینکه سرخویش را به بندگان خود انبیا مکشوف می‌سازد. ۷ 7
Hakika Bwna Yahwe hatafanya kitu vinginevyo amewafunulia mpango watumishi wake manabii.
شیر غرش کرده است، کیست که نترسد؟ خداوند یهوه تکلم نموده است: کیست که نبوت ننماید؟ ۸ 8
Simba ameshaunguruma; nani hatoogopa? Bwana Yahwe amekwisha ongea; nani hatotabiri?
بر قصرهای اشدود و بر قصرهای زمین مصرندا کنید و بگویید بر کوههای سامره جمع شوید و ملاحظه نمایید که چه هنگامه های عظیم دروسط آن و چه ظلمها در میانش واقع شده است. ۹ 9
Tangaza hii katika ngome huko Ashdodi, na katika ngome za nchi ya Misri; sema, “Kusanyikeni kwenye milima ya Samaria na oneni vile mchafuko ulivyomkubwa kwake, na ukandamizaji uliopo katika yeye.
زیرا خداوند می‌گوید: آنانی که ظلم و غارت را در قصرهای خود ذخیره می‌کنندراست کرداری را نمی دانند. ۱۰ 10
Kwa kuwa hawajui jinsi ya kufanya haki -hivi ndivyo Yahwe asemavyo- hao watunzao nguvu na uharibifu katika ngome zao.”
بنابراین خداوندیهوه چنین می‌گوید: دشمن به هر طرف زمین خواهد بود و قوت تو را از تو به زیر خواهد آوردو قصرهایت تاراج خواهد شد. ۱۱ 11
Kwa hiyo, hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Adui ataizunguka nchi. Atazivuta chini nguvu zako na ngome zenu zitatekwa nyara.”
خداوند چنین می‌گوید: چنانکه شبان دوساق یا نرمه گوش را از دهان شیر رها می‌کند، همچنان بنی‌اسرائیل که در سامره در گوشه‌ای بستری و در دمشق در فراشی ساکنند رهایی خواهند یافت. ۱۲ 12
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo,” Kama mchungaji aokoavyo miguu miwili tu kwenye mdomo wa simba, au kipande cha sikio, ndivyo wana wa Israeli watakavyookolewa wale waishio katika Samaria, pamoja na pembe ya kulalia, au pembe ya kitanda.”
خداوند یهوه خدای لشکرهامی گوید: بشنوید و به خاندان یعقوب شهادت دهید. ۱۳ 13
Sikieni na kushudia juu ya nyumba ya Yakobo -hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi,
زیرا در روزی که عقوبت تقصیرهای اسرائیل را به وی رسانم بر مذبح های بیت ئیل نیزعقوبت خواهم رسانید و شاخهای مذبح قطع شده، به زمین خواهد افتاد. ۱۴ 14
“Kwa kuwa katika siku ambayo nimeadhibu dhambi za Israeli, pia nitaziadhibu madhabahu za Betheli. Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka chini.
و خداوند می‌گوید که خانه زمستانی را باخانه تابستانی خراب خواهم کرد و خانه های عاج تلف خواهد شد و خانه های عظیم منهدم خواهدگردید.» ۱۵ 15
Nitaiharibu nyumba ya baridi pamoja na nyumba ya hari. Nyumba za pembe zitaangamia, na nyumba kubwa zitatoweka, -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”

< عاموس 3 >