< کارهای رسولان 6 >

و در آن ایام چون شاگردان زیاد شدند، هلینستیان از عبرانیان شکایت بردند که بیوه‌زنان ایشان در خدمت یومیه بی‌بهره می‌ماندند. ۱ 1
Sasa katika siku hizi, wakati idadi ya wanafunzi ilipokuwa inaongezeka, lalamiko la Wayahudi wa Kiyunani lilianza dhidi ya Waebrania, kwa sababu wajane wao walikuwa wanasahaulika katika mgao wa kila siku wa chakula.
پس آن دوازده، جماعت شاگردان راطلبیده، گفتند: «شایسته نیست که ما کلام خدا راترک کرده، مائده‌ها را خدمت کنیم. ۲ 2
Mitume kumi na wawili waliwaita kusanyiko lote la wanafunzi na kusema, “Siyo sahihi kwetu kuliacha neno la Mungu na kuhudumia mezani.
لهذا‌ای برادران هفت نفر نیک نام و پر از روح‌القدس وحکمت را از میان خود انتخاب کنید تا ایشان را براین مهم بگماریم. ۳ 3
Kwa hiyo, ndugu, chagueni, wanaume saba, kutoka miongoni mwenu, watu wema, waliojaa Roho na hekima, ambao tunaweza kuwakabidhi huduma hii.
اما ما خود را به عبادت وخدمت کلام خواهیم سپرد.» ۴ 4
Na sisi, tutaendelea daima katika kuomba na katika huduma ya neno.”
پس تمام جماعت بدین سخن رضا دادند و استیفان مردی پر از ایمان و روح‌القدس و فیلپس و پروخرس و نیکانور وتیمون و پرمیناس و نیقولاوس جدید، از اهل انطاکیه را انتخاب کرده، ۵ 5
Hotuba yao ikaupendeza mkutano wote. Hivyo, wakamchagua Stefano, mtu aliyejaa imani na Roho Mtakatifu, na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mwongofu kutoka Antiokia.
ایشان را در حضوررسولان برپا بداشتند و دعا کرده، دست بر ایشان گذاشتند. ۶ 6
Waumini waliwaleta watu hawa mbele ya mitume, walioomba na badaye wakawawekea mikono yao.
و کلام خدا ترقی نمود و عددشاگردان در اورشلیم بغایت می‌افزود و گروهی عظیم از کهنه مطیع ایمان شدند. ۷ 7
Hivyo, neno la Mungu lilienea; na idadi ya wanafunzi ilizidi kuongezeka huko Yesrusalem; na idadi kubwa ya makuhani wakaitii imani.
اما استیفان پر از فیض و قوت شده، آیات ومعجزات عظیمه در میان مردم از او ظاهر می‌شد. ۸ 8
Na Stefano, aliyejaa neema na nguvu, alikuwa akifanya maajabu na ishara kubwa miongoni mwa watu.
و تنی چند از کنیسه‌ای که مشهور است به کنیسه لیبرتینیان و قیروانیان و اسکندریان و ازاهل قلیقیا و آسیا برخاسته، با استیفان مباحثه می‌کردند، ۹ 9
Lakini hapo wakainuka baadhi ya watu wafuasi wa Sinagogi liitwalo Sinagogi la Mahuru, na la Wakirene na la Waeskanderia, na baadhi kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa walikuwa wakihojiana na Stefano.
و با آن حکمت و روحی که او سخن می‌گفت، یارای مکالمه نداشتند. ۱۰ 10
Lakini, hawakuweza kushindana na hekima na Roho ambayo Stefano alikuwa akitumia katika kuzungumza.
پس چند نفررا بر این داشتند که بگویند: «این شخص راشنیدیم که به موسی و خدا سخن کفرآمیزمی گفت.» ۱۱ 11
Kisha waliwashawishi baadhi ya watu kwa siri kusema, “Tumesikia Stefano akizungumza maneno ya kufuru dhidi ya Musa na dhidi ya Mungu.”
پس قوم و مشایخ و کاتبان راشورانیده، بر سر وی تاختند و او را گرفتار کرده، به مجلس حاضر ساختند. ۱۲ 12
Waliwashurutisha watu, wazee, na waandishi, na kumwendea Stefano, wakamkamata, na kumleta mbele ya baraza.
و شهود کذبه برپاداشته، گفتند که «این شخص از گفتن سخن کفرآمیز بر این مکان مقدس و تورات دست برنمی دارد. ۱۳ 13
waliwaleta mashahidi wa uongo, waliosema, “mtu huyu haachi kunena maneno mabaya dhidi ya eneo hili takatifu na sheria.
زیرا او را شنیدیم که می‌گفت این عیسی ناصری این مکان را تباه سازد و رسومی راکه موسی به ما سپرد، تغییر خواهد داد.» ۱۴ 14
Kwani tumemsikia akisema kwamba huyu Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali hapa na kuzibadili desturi tulizokabidhiwa na Musa.”
و همه کسانی که در مجلس حاضر بودند، بر او چشم دوخته، صورت وی را مثل صورت فرشته دیدند. ۱۵ 15
Kila mmoja aliyekuwa katika baraza, akaelekeza macho yake kumwangalia Stefano, nao wakauona uso wake ulikuwa kama uso wa malaika.

< کارهای رسولان 6 >