< کارهای رسولان 10 >
و در قیصریه مردی کرنیلیوس نام بود، یوزباشی فوجی که به ایطالیانی مشهوراست. | ۱ 1 |
Katika mji wa Kaisaria palikuwa na mtu jina lake Kornelio, ambaye alikuwa jemadari wa kile kilichojulikana kama kikosi cha Kiitalia.
و او با تمامی اهل بیتش متقی و خداترس بود که صدقه بسیار به قوم میداد و پیوسته نزدخدا دعا میکرد. | ۲ 2 |
Yeye alikuwa mcha Mungu pamoja na wote wa nyumbani mwake. Aliwapa watu sadaka nyingi na kumwomba Mungu daima.
روزی نزدیک ساعت نهم، فرشته خدا را در عالم رویا آشکارا دید که نزد اوآمده، گفت: «ای کرنیلیوس!» | ۳ 3 |
Siku moja alasiri, yapata saa tisa, aliona maono waziwazi, malaika wa Mungu akimjia na kumwambia, “Kornelio!”
آنگاه او بر وی نیک نگریسته و ترسان گشته، گفت: «چیستای خداوند؟» به وی گفت: «دعاها و صدقات تو بجهت یادگاری به نزد خدا برآمد. | ۴ 4 |
Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema, “Kuna nini, Bwana?” Malaika akamwambia, “Sala zako na sadaka zako kwa maskini zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.
اکنون کسانی به یافا بفرست و شمعون ملقب به پطرس را طلب کن | ۵ 5 |
Sasa tuma watu waende Yafa wakamwite mtu mmoja jina lake Simoni aitwaye Petro.
که نزد دباغی شمعون نام که خانهاش به کناره دریا است، مهمان است. او به تو خواهد گفت که تو را چه باید کرد. | ۶ 6 |
Yeye anaishi na Simoni mtengenezaji ngozi ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.”
و چون فرشتهای که به وی سخن میگفت غایب شد، دو نفر از نوکران خود ویک سپاهی متقی از ملازمان خاص خویشتن راخوانده، | ۷ 7 |
Yule malaika aliyekuwa akizungumza naye alipoondoka, Kornelio akawaita watumishi wake wawili pamoja na askari mmoja mcha Mungu aliyekuwa miongoni mwa wale waliomtumikia.
تمامی ماجرا را بدیشان بازگفته، ایشان را به یافا فرستاد. | ۸ 8 |
Akawaambia mambo yote yaliyotukia, kisha akawatuma waende Yafa.
روز دیگر چون از سفر نزدیک به شهرمی رسیدند، قریب به ساعت ششم، پطرس به بام خانه برآمد تا دعا کند. | ۹ 9 |
Siku ya pili yake, walipokuwa wameukaribia mji, wakati wa adhuhuri, Petro alipanda juu ya nyumba kuomba.
و واقع شد که گرسنه شده، خواست چیزی بخورد. اما چون برای اوحاضر میکردند، بیخودی او را رخ نمود. | ۱۰ 10 |
Alipokuwa akiomba akahisi njaa, akatamani kupata chakula. Lakini wakati walikuwa wakiandaa chakula, akalala usingizi mzito sana.
پس آسمان را گشاده دید و ظرفی را چون چادری بزرگ به چهار گوشه بسته، به سوی زمین آویخته بر او نازل میشود، | ۱۱ 11 |
Akaona mbingu zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kikishushwa duniani kwa ncha zake nne.
که در آن هر قسمی ازدواب و وحوش و حشرات زمین و مرغان هوابودند. | ۱۲ 12 |
Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani.
و خطابی به وی رسید که «ای پطرس برخاسته، ذبح کن و بخور.» | ۱۳ 13 |
Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
پطرس گفت: «حاشا خداوندا زیرا چیزی ناپاک یا حرام هرگزنخوردهام.» | ۱۴ 14 |
Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”
بار دیگر خطاب به وی رسید که «آنچه خدا پاک کرده است، تو حرام مخوان.» | ۱۵ 15 |
Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”
واین سه مرتبه واقع شد که در ساعت آن ظرف به آسمان بالا برده شد. | ۱۶ 16 |
Jambo hili lilitokea mara tatu na ghafula ile nguo ikarudishwa mbinguni.
و چون پطرس در خود بسیار متحیر بود که اینرویایی که دید چه باشد، ناگاه فرستادگان کرنیلیوس خانه شمعون را تفحص کرده، بر درگاه رسیدند، | ۱۷ 17 |
Wakati Petro akiwa bado anajiuliza kuhusu maana ya maono haya, wale watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakaipata nyumba ya Simoni mtengenezaji wa ngozi wakawa wamesimama mbele ya lango.
و ندا کرده، میپرسیدند که «شمعون معروف به پطرس در اینجا منزل دارد؟» | ۱۸ 18 |
Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.
وچون پطرس در رویا تفکر میکرد، روح وی راگفت: «اینک سه مرد تو را میطلبند. | ۱۹ 19 |
Wakati Petro akiwa anafikiria juu ya yale maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Simoni, wako watu watatu wanaokutafuta.
پس برخاسته، پایین شو و همراه ایشان برو و هیچ شک مبر زیرا که من ایشان را فرستادم.» | ۲۰ 20 |
Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”
پس پطرس نزد آنانی که کرنیلیوس نزد وی فرستاده بود، پایین آمده، گفت: «اینک منم آن کس که میطلبید. سبب آمدن شما چیست؟» | ۲۱ 21 |
Petro akashuka na kuwaambia wale watu waliokuwa wametumwa kutoka kwa Kornelio, “Mimi ndiye mnayenitafuta. Mmekuja kwa sababu gani?”
گفتند: «کرنیلیوس یوزباشی، مرد صالح و خداترس و نزد تمامی طایفه یهود نیکنام، از فرشته مقدس الهام یافت که تو را به خانه خود بطلبد و سخنان از تو بشنود.» | ۲۲ 22 |
Wale watu wakamjibu, “Tumetumwa na Kornelio yule jemadari. Yeye ni mtu mwema anayemcha Mungu, na anaheshimiwa na Wayahudi wote. Yeye ameagizwa na malaika mtakatifu akukaribishe nyumbani kwake, ili asikilize maneno utakayomwambia.”
پس ایشان را به خانه برده، مهمانی نمود. وفردای آن روز پطرس برخاسته، همراه ایشان روانه شد و چند نفر از برادران یافا همراه او رفتند. | ۲۳ 23 |
Basi Petro akawakaribisha wakafuatana naye ndani, akawapa pa kulala. Kesho yake akaondoka pamoja nao, na baadhi ya ndugu kutoka Yafa wakafuatana naye.
روز دیگر وارد قیصریه شدند و کرنیلیوس خویشان و دوستان خاص خود را خوانده، انتظارایشان میکشید. | ۲۴ 24 |
Siku iliyofuata wakawasili Kaisaria. Kornelio alikuwa akiwangoja pamoja na jamaa yake na marafiki zake wa karibu.
چون پطرس داخل شد، کرنیلیوس او را استقبال کرده، بر پایهایش افتاده، پرستش کرد. | ۲۵ 25 |
Petro alipokuwa akiingia ndani, Kornelio alikuja kumlaki, akaanguka miguuni pake kwa heshima.
اما پطرس او را برخیزانیده، گفت: «برخیز، من خود نیز انسان هستم.» | ۲۶ 26 |
Lakini Petro akamwinua akamwambia, “Simama, mimi ni mwanadamu tu.”
و با اوگفتگوکنان به خانه درآمده، جمعی کثیر یافت. | ۲۷ 27 |
Petro alipokuwa akizungumza naye akaingia ndani na kukuta watu wengi wamekusanyika.
پس بدیشان گفت: «شما مطلع هستید که مردیهودی را با شخص اجنبی معاشرت کردن یا نزداو آمدن حرام است. لیکن خدا مرا تعلیم داد که هیچکس را حرام یا نجس نخوانم. | ۲۸ 28 |
Akawaambia, “Mnajua kabisa kwamba ni kinyume cha sheria yetu Myahudi kuchangamana na mtu wa Mataifa au kumtembelea. Lakini Mungu amenionyesha kwamba nisimwite mtu yeyote kuwa najisi au asiye safi.
از این جهت به مجرد خواهش شما بیتامل آمدم و الحال میپرسم که از برای چه مرا خواستهاید.» | ۲۹ 29 |
Ndiyo sababu ulipotuma niitwe nilikuja bila kupinga lolote. Basi sasa naomba unieleze kwa nini umeniita?”
کرنیلیوس گفت: «چهار روز قبل از این، تااین ساعت روزهدار میبودم؛ و در ساعت نهم درخانه خود دعا میکردم که ناگاه شخصی با لباس نورانی پیش من بایستاد | ۳۰ 30 |
Kornelio akajibu, “Siku nne zilizopita, nilikuwa nyumbani nikisali saa kama hii, saa tisa alasiri. Ghafula mtu aliyevaa nguo zilizongʼaa akasimama mbele yangu,
و گفت: “ای کرنیلیوس دعای تو مستجاب شد و صدقات تو در حضورخدا یادآور گردید. | ۳۱ 31 |
akasema, ‘Kornelio, maombi yako yamesikiwa na sadaka zako kwa maskini zimekumbukwa mbele za Mungu.
پس به یافا بفرست و شمعون معروف به پطرس را طلب نما که در خانه شمعون دباغ به کناره دریا مهمان است. او چون بیاید با تو سخن خواهد راند.” | ۳۲ 32 |
Basi tuma watu waende Yafa wakaulize mtu mmoja Simoni aitwaye Petro, yeye ni mgeni katika nyumba ya Simoni mtengenezaji ngozi, ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.’
پس بیتامل نزدتو فرستادم و تو نیکو کردی که آمدی. الحال همه در حضور خدا حاضریم تا آنچه خدا به توفرموده است بشنویم.» | ۳۳ 33 |
Nilituma watu kwako mara moja, nawe umefanya vyema kuja. Basi sasa sisi sote tuko hapa mbele za Mungu kuyasikiliza yote ambayo Bwana amekuamuru kutuambia.”
پطرس زبان را گشوده، گفت: «فی الحقیقت یافتهام که خدا را نظر به ظاهر نیست، | ۳۴ 34 |
Ndipo Petro akafungua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo,
بلکه ازهر امتی، هرکه از او ترسد و عمل نیکو کند، نزداو مقبول گردد. | ۳۵ 35 |
Lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye.
کلامی را که نزد بنیاسرائیل فرستاد، چونکه به وساطت عیسی مسیح که خداوند همه است به سلامتی بشارت میداد، | ۳۶ 36 |
Ninyi mnajua ule ujumbe uliotumwa kwa Israeli, ukitangaza habari njema za amani kwa Yesu Kristo. Yeye ni Bwana wa wote.
آن سخن را شما میدانید که شروع آن از جلیل بود و در تمامی یهودیه منتشر شد، بعد از آن تعمیدی که یحیی بدان موعظه مینمود، | ۳۷ 37 |
Mnajua yale yaliyotukia katika Uyahudi wote kuanzia Galilaya baada ya mahubiri ya Yohana Mbatizaji:
یعنی عیسی ناصری را که خدا او را چگونه به روحالقدس و قوت مسح نمود که او سیر کرده، اعمال نیکو بهجا میآورد و همه مقهورین ابلیس را شفا میبخشید زیرا خدا با وی میبود. | ۳۸ 38 |
Jinsi Mungu alivyomtia Yesu wa Nazareti mafuta katika Roho Mtakatifu na jinsi alivyokwenda huku na huko akitenda mema na kuponya wote waliokuwa wameonewa na nguvu za ibilisi, kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.
و ماشاهد هستیم بر جمیع کارهایی که او در مرزوبوم یهود و در اورشلیم کرد که او را نیز بر صلیب کشیده، کشتند. | ۳۹ 39 |
“Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika Uyahudi na Yerusalemu. Wakamuua kwa kumtundika msalabani.
همان کس را خدا در روز سوم برخیزانیده، ظاهر ساخت. | ۴۰ 40 |
Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.
لیکن نه بر تمامی قوم بلکه بر شهودی که خدا پیش برگزیده بود، یعنی مایانی که بعد از برخاستن او از مردگان با اوخورده و آشامیدهایم. | ۴۱ 41 |
Hakuonekana kwa watu wote, lakini kwetu sisi tuliochaguliwa na Mungu kuwa mashahidi, ambao tulikula na kunywa naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
و ما را مامور فرمود که به قوم موعظه و شهادت دهیم بدین که خدا او رامقرر فرمود تا داور زندگان و مردگان باشد. | ۴۲ 42 |
Naye alituamuru kuhubiri kwa watu wote na kushuhudia kwamba ndiye alitiwa mafuta na Mungu kuwa hakimu wa walio hai na wafu.
وجمیع انبیا بر او شهادت میدهند که هرکه به وی ایمان آورد، به اسم او آمرزش گناهان را خواهد یافت.» | ۴۳ 43 |
Manabii wote walishuhudia juu yake kwamba kila mtu amwaminiye hupokea msamaha wa dhambi katika Jina lake.”
این سخنان هنوز بر زبان پطرس بود که روحالقدس بر همه آنانی که کلام را شنیدند، نازل شد. | ۴۴ 44 |
Wakati Petro alikuwa akisema maneno haya, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wakisikiliza ule ujumbe.
و مومنان از اهل ختنه که همراه پطرس آمده بودند، در حیرت افتادند از آنکه بر امت هانیز عطای روحالقدس افاضه شد، | ۴۵ 45 |
Wale wa tohara walioamini waliokuja na Petro walishangaa kwa kuona kuwa kipawa cha Roho Mtakatifu kimemwagwa juu ya watu wa Mataifa.
زیرا که ایشان را شنیدند که به زبانها متکلم شده، خدا راتمجید میکردند. | ۴۶ 46 |
Kwa kuwa waliwasikia wakinena kwa lugha mpya na kumwadhimisha Mungu. Ndipo Petro akasema,
آنگاه پطرس گفت: «آیاکسی میتواند آب را منع کند، برای تعمید دادن اینانی که روحالقدس را چون ما نیز یافتهاند.» | ۴۷ 47 |
“Je, kuna mtu yeyote anayeweza kuzuia watu hawa wasibatizwe kwa maji? Wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi tulivyompokea.”
پس فرمود تا ایشان را به نام عیسی مسیح تعمید دهند. آنگاه از او خواهش نمودند که روزی چند توقف نماید. | ۴۸ 48 |
Kwa hiyo akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Wakamsihi Petro akae nao kwa siku chache.