< 1 تیموتاوس 5 >

مرد پیر را توبیخ منما بلکه چون پدر او رانصیحت کن، و جوانان را چون برادران؛ ۱ 1
Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
زنان پیر را چون مادران؛ و زنان جوان را مثل خواهران با کمال عفت؛ ۲ 2
nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.
بیوه‌زنان را اگرفی الحقیقت بیوه باشند، محترم دار. ۳ 3
Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.
اما اگربیوه‌زنی فرزندان یا نواده‌ها دارد، آموخته بشوندکه خانه خود را با دینداری نگاه دارند و حقوق اجداد خود را ادا کنند که این در حضور خدا نیکوو پسندیده است. ۴ 4
Kama mjane ana watoto ama wajukuu, hawa inawapasa awali ya yote wajifunze kutimiza wajibu wao wa kumcha Mungu katika matendo kwa kuwatunza wale wa jamaa zao wenyewe, na hivyo wawarudishie wema waliowatendea wazazi wao, kwa kuwa hivi ndivyo impendezavyo Mungu.
اما زنی که فی الحقیقت بیوه وبی کس است، به خدا امیدوار است و در صلوات ودعاها شبانه‌روز مشغول می‌باشد. ۵ 5
Mwanamke ambaye ni mjane kweli kweli, yaani, yeye aliyebaki peke yake huweka tumaini lake kwa Mungu naye hudumu katika maombi usiku na mchana akimwomba Mungu ili amsaidie.
لیکن زن عیاش در حال حیات مرده است. ۶ 6
Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.
و به این معانی امر فرما تا بی‌ملامت باشند. ۷ 7
Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.
ولی اگر کسی برای خویشان و علی الخصوص اهل خانه خود تدبیرنکند، منکر ایمان و پست‌تر از بی‌ایمان است. ۸ 8
Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.
بیوه‌زنی که کمتر از شصت ساله نباشد و یک شوهر کرده باشد، باید نام او ثبت گردد، ۹ 9
Mjane yeyote asiwekwe kwenye orodha ya wajane isipokuwa awe ametimiza umri wa miaka sitini, na ambaye alikuwa mke wa mume mmoja,
که دراعمال صالح نیک نام باشد، اگر فرزندان را پرورده و غربا را مهمانی نموده و پایهای مقدسین راشسته و زحمت کشان را اعانتی نموده و هر کارنیکو را پیروی کرده باشد. ۱۰ 10
awe ameshuhudiwa kwa matendo yake mema, aliyewalea watoto wake vizuri, aliye mkarimu, aliyewanawisha watakatifu miguu, aliyewasaidia wenye shida na aliyejitolea kwa ajili ya matendo mema ya kila namna.
اما بیوه های جوانتراز این را قبول مکن، زیرا که چون از مسیح سرکش شوند، خواهش نکاح دارند ۱۱ 11
Lakini kwa habari za wajane vijana usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa Kristo, watataka kuolewa tena.
و ملزم می‌شوند ازاینکه ایمان نخست را برطرف کرده‌اند؛ ۱۲ 12
Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
وعلاوه بر این خانه به خانه گردش کرده، آموخته می‌شوند که بی‌کار باشند؛ و نه فقط بی‌کار بلکه بیهوده گو و فضول هم که حرفهای ناشایسته می‌زنند. ۱۳ 13
Zaidi ya hayo, wajane kama hao huwa na tabia ya uvivu wakizurura nyumba kwa nyumba, wala hawawi wavivu tu, bali pia huwa wasengenyaji, wajiingizao katika mambo yasiyowahusu na kusema mambo yasiyowapasa kusema.
پس رای من این است که زنان جوان نکاح شوند و اولاد بزایند و کدبانو شوند و خصم را مجال مذمت ندهند؛ ۱۴ 14
Hivyo nawashauri wajane vijana waolewe, wazae watoto na wasimamie nyumba zao, wasije wakampa adui nafasi ya kutushutumu.
زیرا که بعضی برگشتندبه عقب شیطان. ۱۵ 15
Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.
اگر مرد یا زن مومن، بیوه هادارد ایشان را بپرورد و بار بر کلیسا ننهد تا آنانی راکه فی الحقیقت بیوه باشند، پرورش نماید. ۱۶ 16
Lakini kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane katika jamaa yake, inampasa awasaidie wala si kuwaacha wakililemea kanisa, ili kanisa liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kweli kweli.
کشیشانی که نیکو پیشوایی کرده‌اند، مستحق حرمت مضاعف می‌باشند، علی الخصوص آنانی که در کلام و تعلیم محنت می‌کشند. ۱۷ 17
Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na kufundisha.
زیرا کتاب می‌گوید: «گاو را وقتی که خرمن را خرد می‌کند، دهن مبند» و «مزدورمستحق اجرت خود است». ۱۸ 18
Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”
ادعایی بر یکی ازکشیشان جز به زبان دو یا سه شاهد مپذیر. ۱۹ 19
Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.
آنانی که گناه کنند، پیش همه توبیخ فرما تا دیگران بترسند. ۲۰ 20
Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
در حضور خدا و مسیح عیسی و فرشتگان برگزیده تو را قسم می‌دهم که این امور را بدون غرض نگاه داری و هیچ کاری از روی طرفداری مکن. ۲۱ 21
Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.
و دستها به زودی بر هیچ‌کس مگذار و درگناهان دیگران شریک مشو بلکه خود را طاهرنگاه دار. ۲۲ 22
Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde nafsi yako uwe safi.
دیگر آشامنده آب فقط مباش، بلکه بجهت شکمت و ضعفهای بسیار خود شرابی کم میل فرما. ۲۳ 23
Acha kunywa maji peke yake, tumia divai kidogo kwa sababu ya tumbo lako na maumivu yako ya mara kwa mara.
گناهان بعضی آشکار است و پیش روی ایشان به داوری می‌خرامد، اما بعضی را تعاقب می‌کند. ۲۴ 24
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
و همچنین اعمال نیکو واضح است وآنهایی که دیگرگون باشد، نتوان مخفی داشت. ۲۵ 25
Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.

< 1 تیموتاوس 5 >