< اول قرنتیان 4 >

هرکس ما را چون خدام مسیح و وکلای اسرار خدا بشمارد. ۱ 1
Basi, watu na watuhesabu sisi kuwa tu watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu.
و دیگر در وکلابازپرس می‌شود که هر یکی امین باشد. ۲ 2
Tena, litakiwalo ni mawakili waonekane kuwa waaminifu.
امابجهت من کمتر چیزی است که از شما یا از یوم بشر حکم کرده شوم، بلکه برخود نیز حکم نمی کنم. ۳ 3
Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu.
زیرا که در خود عیبی نمی بینم، لکن ازاین عادل شمرده نمی شوم، بلکه حکم کننده من خداوند است. ۴ 4
Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinihesabii kuwa asiye na hatia. Bwana ndiye anihukumuye.
لهذا پیش از وقت به چیزی حکم مکنید تا خداوند بیاید که خفایای ظلمت راروشن خواهد کرد و نیتهای دلها را به ظهورخواهد آورد؛ آنگاه هرکس را مدح از خدا خواهدبود. ۵ 5
Kwa hiyo msihukumu jambo lolote kabla ya wakati wake. Ngojeni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani, na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
اما‌ای برادران، این چیزها را بطور مثل به خود و اپلس نسبت دادم به‌خاطر شما تا درباره ماآموخته شوید که از آنچه مکتوب است تجاوزنکنید و تا هیچ‌یکی از شما تکبر نکند برای یکی بر دیگری. ۶ 6
Basi ndugu zangu, mambo haya nimeyafanya kwangu binafsi na Apolo kwa faida yenu, ili mweze kujifunza kutoka kwetu maana ya ule usemi usemao, “Msivuke zaidi ya yale yaliyoandikwa.” Hivyo hamtajivunia mtu fulani na kumdharau mwingine.
زیرا کیست که تو را برتری داد وچه چیز داری که نیافتی؟ پس چون یافتی، چرافخر می‌کنی که گویا نیافتی. ۷ 7
Kwa maana ni nani aliyewafanya kuwa tofauti na wengine? Ni nini mlicho nacho ambacho hamkupokea? Nanyi kama mlipokea, kwa nini mnajivuna kama vile hamkupokea?
الحال سیر شده و دولتمند گشته‌اید و بدون ما سلطنت می‌کنید؛ و کاشکه سلطنت می‌کردیدتا ما نیز با شما سلطنت می‌کردیم. ۸ 8
Sasa tayari mnayo yale yote mnayohitaji! Tayari mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme, tena bila sisi! Laiti mngekuwa wafalme kweli ili na sisi tupate kuwa wafalme pamoja nanyi!
زیرا گمان می‌برم که خدا ما رسولان را آخر همه عرضه داشت مثل آنانی که فتوای موت بر ایشان شده است، زیرا که جهان و فرشتگان و مردم راتماشاگاه شده‌ایم. ۹ 9
Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume katika nafasi ya mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kufa kwenye uwanja wa tamasha, kwa sababu tumefanywa kuwa maonyesho kwa ulimwengu wote, kwa malaika na kwa wanadamu pia.
ما به‌خاطر مسیح جاهل هستیم، لکن شما در مسیح دانا هستید؛ ما ضعیف لکن شما توانا؛ شما عزیز اما ما ذلیل. ۱۰ 10
Kwa ajili ya Kristo sisi ni wajinga, lakini ninyi mna hekima sana ndani ya Kristo. Sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu. Tunadharauliwa, lakini ninyi mnaheshimiwa.
تا به همین ساعت گرسنه و تشنه و عریان و کوبیده وآواره هستیم، ۱۱ 11
Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao.
و به‌دستهای خود کار کرده، مشقت می‌کشیم و دشنام شنیده، برکت می‌طلبیم و مظلوم گردیده، صبر می‌کنیم. ۱۲ 12
Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili,
چون افترا بر مامی زنند، نصیحت می‌کنیم و مثل قاذورات دنیا وفضلات همه‌چیز شده‌ایم تا به حال. ۱۳ 13
tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Mpaka sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.
و این را نمی نویسم تا شما را شرمنده سازم بلکه چون فرزندان محبوب خود تنبیه می‌کنم. ۱۴ 14
Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa.
زیرا هرچند هزاران استاد در مسیح داشته باشید، لکن پدران بسیار ندارید، زیرا که من شما رادر مسیح عیسی به انجیل تولید نمودم، ۱۵ 15
Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili.
پس ازشما التماس می‌کنم که به من اقتدا نمایید. ۱۶ 16
Basi nawasihi igeni mfano wangu.
برای همین تیموتاوس را نزد شما فرستادم که اوست فرزند محبوب من و امین در خداوند تا راههای مرا در مسیح به یاد شما بیاورد، چنانکه در هرجاو در هرکلیسا تعلیم می‌دهم. ۱۷ 17
Kwa sababu hii ninamtuma Timotheo, mwanangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Yeye atawakumbusha kuhusu njia za maisha yangu katika Kristo Yesu, ambayo yanakubaliana na mafundisho yangu ninayofundisha katika kila kanisa.
اما بعضی تکبرمی کنند به گمان آنکه من نزد شما نمی آیم. ۱۸ 18
Baadhi yenu mmekuwa na jeuri mkidhani kuwa sitafika kwenu.
لکن به زودی نزد شما خواهم آمد، اگرخداوند بخواهد و خواهم دانست نه سخن متکبران را بلکه قوت ایشان را. ۱۹ 19
Lakini kama Bwana akipenda, nitafika kwenu mapema, nami nitapenda kujua, si tu kile wanachosema hawa watu jeuri, bali pia kujua nguvu yao.
زیرا ملکوت خدا به زبان نیست بلکه در قوت است. ۲۰ 20
Kwa kuwa Ufalme wa Mungu si maneno matupu tu bali ni nguvu.
چه خواهش دارید آیا با چوب نزد شما بیایم یا بامحبت و روح حلم؟ ۲۱ 21
Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

< اول قرنتیان 4 >