< Salmenes 3 >

1 Ein salme av David, då han flydde for Absalom, son sin. Herre, kor mange mine fiendar er! Mange reiser seg imot meg.
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
2 Mange segjer til mi sjæl: «Det finst ikkje frelsa for honom hjå Gud.» (Sela)
Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
3 Men du, Herre, er min skjold, mi æra og den som lyfter mitt hovud.
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4 Eg ropar høgt til Herren, og han svarar meg frå sitt heilage fjell. (Sela)
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5 Eg lagde meg og sovna; eg vakna upp, for Herren held meg uppe.
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
6 Eg ottast ikkje for ti tusund av folk, som hev lægra seg imot meg rundt ikring.
Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
7 Statt upp, Herre, frels meg, min Gud! For du hev slege alle mine fiendar på kinni, du hev knasa tennerne på dei ugudlege.
Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
8 Herren høyrer frelsa til. Lat di velsigning vera yver ditt folk! (Sela)
Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

< Salmenes 3 >