< Salmenes 87 >

1 Av Korahs barn; en salme, en sang. Den stad han har grunnfestet på de hellige berg,
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 Sions porter elsker Herren fremfor alle Jakobs boliger.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Herlige ting er sagt om dig, du Guds stad. (Sela)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 Jeg nevner Rahab og Babel blandt dem som kjenner mig; se filisteren og tyrieren med etioperen: Denne er født der.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Og om Sion skal det sies: Hver og en er født der. Og han, den Høieste, gjør det fast.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 Herren skal telle når folkene blir opskrevet, og si: Denne er født der. (Sela)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Og de som synger og danser, skal si: Alle mine kilder er i dig.
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”

< Salmenes 87 >