< Salmenes 62 >

1 Til sangmesteren, for Jedutun; en salme av David. Bare i håp til Gud er min sjel stille; fra ham kommer min frelse.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
2 Han alene er min klippe og min frelse, min borg, jeg skal ikke rokkes meget.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
3 Hvor lenge vil I alle storme løs på en mann, bryte ham ned som en mur som heller, et gjerde som støtes om?
Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
4 De rådslår bare om å styrte ham ned fra hans høihet, de har sin lyst i løgn; med sin munn velsigner de, men i sitt hjerte forbanner de. (Sela)
Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
5 Bare i håp til Gud vær stille, min sjel! for fra ham kommer mitt håp.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
6 Han alene er min klippe og min frelse, min borg, jeg skal ikke rokkes.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
7 Hos Gud er min frelse og min ære; min sterke klippe, min tilflukt er i Gud.
Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
8 Sett eders lit til ham til enhver tid, I folk! Utøs eders hjerte for hans åsyn! Gud er vår tilflukt. (Sela)
Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
9 Bare tomhet er menneskenes barn, bare løgn er mannens sønner; i vektskålen stiger de til værs, de er tomhet alle sammen.
Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
10 Stol ikke på vold, og sett ikke fåfengt håp til røvet gods! Når rikdommen vokser, så akt ikke på det!
Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
11 En gang har Gud talt, ja to ganger har jeg hørt det, at styrke hører Gud til.
Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
12 Og dig, Herre, hører miskunnhet til; for du betaler enhver efter hans gjerning.
Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.

< Salmenes 62 >