< Salmenes 3 >

1 En salme av David, da han flydde for Absalom, sin sønn. Herre, hvor mange mine fiender er! Mange reiser sig imot mig.
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 Mange sier til min sjel: Det er ingen frelse for ham hos Gud. (Sela)
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 Men du, Herre, er et skjold omkring mig, min ære og den som opløfter mitt hode!
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 Høit ropte jeg til Herren, og han svarte mig fra sitt hellige berg. (Sela)
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 Jeg la mig og sov inn, jeg våknet; for Herren støtter mig.
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 Jeg frykter ikke for titusener av folk, som har lagt sig mot mig rundt omkring.
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 Reis dig, Herre, frels mig, min Gud! For du har slått alle mine fiender på kinnbenet, du har sønderbrutt de ugudeliges tenner.
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 Herren hører frelsen til; over ditt folk være din velsignelse! (Sela)
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.

< Salmenes 3 >