< Salmenes 22 >

1 Til sangmesteren; efter "Morgenrødens hind"; en salme av David. Min Gud! Min Gud! Hvorfor har du forlatt mig? Langt borte fra min frelse er min klages ord.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa? Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?
2 Min Gud! Jeg roper om dagen, og du svarer ikke, og om natten, og jeg får ikke tie.
Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.
3 Og du er dog hellig, du som troner over Israels lovsanger.
Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu; wewe ni sifa ya Israeli.
4 Til dig satte våre fedre sin lit; de satte sin lit til dig, og du utfridde dem.
Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
5 Til dig ropte de, og de blev reddet; til dig satte de sin lit, og de blev ikke til skamme.
Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.
6 Men jeg er en orm og ikke en mann, menneskers spott og folks forakt.
Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
7 Alle de som ser mig, spotter mig, vrenger munnen, ryster på hodet og sier:
Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8 Sett din vei i Herrens hånd! Han skal redde ham, han skal utfri ham, siden han har behag i ham.
Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”
9 Ja, du er den som drog mig frem av mors liv, som lot mig hvile trygt ved min mors bryst.
Hata hivyo ulinitoa tumboni, ukanifanya nikutegemee, hata nilipokuwa ninanyonya matiti ya mama yangu.
10 På dig er jeg kastet fra mors liv; fra min mors skjød er du min Gud.
Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa, toka tumboni mwa mama yangu umekuwa Mungu wangu.
11 Vær ikke langt borte fra mig! for trengselen er nær, og det er ingen hjelper.
Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.
12 Sterke okser omringer mig, Basans okser kringsetter mig.
Mafahali wengi wamenizunguka, mafahali wa Bashani wenye nguvu wamenizingira.
13 De spiler op sin munn imot mig som en sønderrivende og brølende løve.
Simba wangurumao wanaorarua mawindo yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.
14 Jeg er utøst som vann, og alle mine ben skiller sig at; mitt hjerte er som voks, smeltet midt i mitt liv.
Nimemiminwa kama maji, mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake. Moyo wangu umegeuka kuwa nta, umeyeyuka ndani yangu.
15 Min kraft er optørket som et potteskår, og min tunge henger fast ved mine gommer, og i dødens støv legger du mig.
Nguvu zangu zimekauka kama kigae, ulimi wangu umegandamana na kaakaa la kinywa changu, kwa sababu umenilaza katika mavumbi ya kifo.
16 For hunder omringer mig, de ondes hop kringsetter mig; de har gjennemboret mine hender og mine føtter.
Mbwa wamenizunguka, kundi la watu waovu limenizingira, wametoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 Jeg kan telle alle mine ben; de ser til, de ser på mig med lyst.
Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, watu wananikodolea macho na kunisimanga.
18 De deler mine klær mellem sig og kaster lodd om min kjortel.
Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
19 Men du? Herre, vær ikke langt borte, du min styrke, skynd dig å hjelpe mig!
Lakini wewe, Ee Bwana, usiwe mbali. Ee Nguvu yangu, uje haraka unisaidie.
20 Redd min sjel fra sverdet, mitt eneste fra hunders vold!
Okoa maisha yangu na upanga, uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.
21 Frels mig fra løvens gap, og fra villoksenes horn - du bønnhører mig!
Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.
22 Jeg vil kunngjøre ditt navn for mine brødre, midt i menigheten vil jeg love dig.
Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.
23 I som frykter Herren, lov ham, all Jakobs ætt, ær ham, og frykt for ham, all Israels ætt!
Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni! Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye! Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!
24 For han har ikke foraktet og ikke avskydd den elendiges elendighet og ikke skjult sitt åsyn for ham; men da han ropte til ham, hørte han.
Kwa maana hakupuuza wala kudharau mateso ya aliyeonewa; hakumficha uso wake bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.
25 Fra dig utgår min pris i en stor forsamling; mine løfter vil jeg holde for deres øine som frykter ham.
Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa, nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.
26 De saktmodige skal ete og bli mette; de som søker Herren, skal love ham; eders hjerte leve til evig tid!
Maskini watakula na kushiba, wale wamtafutao Bwana watamsifu: mioyo yenu na iishi milele!
27 Alle jordens ender skal komme det i hu og vende om til Herren, og alle folkenes slekter skal tilbede for ditt åsyn.
Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Bwana, nazo jamaa zote za mataifa watasujudu mbele zake,
28 For riket hører Herren til, og han hersker over folkene.
kwa maana ufalme ni wa Bwana naye hutawala juu ya mataifa.
29 Alle jordens rikmenn skal ete og tilbede; for hans åsyn skal alle de bøie sig som stiger ned i støvet, og den som ikke kan holde sin sjel i live.
Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu. Wote waendao mavumbini watapiga magoti mbele yake, wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.
30 Efterkommerne skal tjene ham, der skal fortelles om Herren til efterslekten.
Wazao wa baadaye watamtumikia yeye; vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.
31 De skal komme og kunngjøre hans rettferdighet for det folk som blir født, at han har gjort det.
Watatangaza haki yake kwa watu ambao hawajazaliwa bado, kwa maana yeye ametenda hili.

< Salmenes 22 >