< Salmenes 113 >

1 Halleluja! Lov, I Herrens tjenere, lov Herrens navn!
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 Herrens navn være lovet fra nu av og inntil evig tid!
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 Fra solens opgang til dens nedgang er Herrens navn høilovet.
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 Herren er ophøiet over alle hedninger, hans ære er over himmelen.
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 Hvem er som Herren vår Gud, han som troner så høit,
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 som ser så dypt ned, i himmelen og på jorden,
atazamaye chini angani na duniani?
7 som reiser den ringe av støvet, ophøier den fattige av skarnet
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 for å sette ham hos fyrster, hos sitt folks fyrster,
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 han som lar den ufruktbare hustru bo som glad barnemor! Halleluja!
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!

< Salmenes 113 >