< Salomos Ordsprog 13 >

1 En vis sønn hører på sin fars tilrettevisning, men en spotter hører ikke på irettesettelse.
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya baba yake, bali mwenye dhihaka hatasikiliza karipio.
2 Av sin munns frukt nyter en mann godt, men de troløses hu står til vold.
Mtu hufurahia vitu vizuri kutokana na matunda ya kinywa chake, bali hamu ya wadanganyifu ni jeuri.
3 Den som vokter sin munn, bevarer sitt liv; den som lukker sine leber vidt op, ham blir det til ulykke.
Yeye anayelinda kinywa chake huyalinda maisha, bali anayefumbua sana midomo yake atajiangamiza mwenyewe.
4 Den late attrår og får intet, men de flittige næres rikelig.
Hamu ya watu wavivu ni uchu lakini hawapati kitu, bali hamu ya watu wenye bidii hutoshelezwa sana.
5 Den rettferdige hater løgnaktige ord, men den ugudelige gjør det som ondt og skammelig er.
Atendaye haki huchukia uongo, bali mtu mwovu hukinzana mwenyewe, na kufanya ya kuaibisha.
6 Rettferdighet verner den som lever ustraffelig, men ugudelighet feller den som gjør synd.
Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
7 Den ene ter sig som en rik mann og har dog slett ingen ting, og den andre ter sig som en fattig mann og har dog meget gods.
Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
8 En manns rikdom er løsepenger for hans liv, men den fattige er det ingen som truer.
Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
9 De rettferdiges lys skinner lystig, men de ugudeliges lampe slukner.
Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
10 Ved overmot voldes bare trette, men hos dem som lar sig råde, er visdom.
Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
11 Lett vunnet rikdom minker, men den som samler litt efter litt, øker sitt gods.
Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
12 Langvarig venting gjør hjertet sykt, men et opfylt ønske er et livsens tre.
Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
13 Den som forakter ordet, ødelegger sig selv; men den som frykter budet, han får lønn.
Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.
14 Den vises lære er en livsens kilde, ved den slipper en fra dødens snarer.
Mafundisho ya mtu mwenye hekima ni chemchemi ya uzima, yanakuondoa kutoka kwenye mitego ya mauti.
15 Ved god forstand vinner en menneskenes yndest, men de troløses vei er hård.
Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho.
16 Hver den som er klok, går frem med forstand, men en dåre utbreder dårskap.
Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.
17 Et ugudelig sendebud faller i ulykke, men et trofast bud er lægedom.
Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho.
18 Armod og skam får den som ikke vil vite av tukt; men den som akter på refselse, blir æret.
Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.
19 Opfylt ønske er søtt for sjelen, men å holde sig fra det onde er en vederstyggelighet for dårer.
Shauku iliyotambuliwa ni tamu kwa hamu, bali wapumbavu huchukia kuacha uovu.
20 Søk omgang med de vise, og du skal bli vis; men dårers venn går det ille.
Tembea pamoja na watu wenye hekima nawe utakuwa na hekima, bali rafiki wa wapumbavu atateseka.
21 Ulykke forfølger syndere, men rettferdige lønnes med godt.
Maafa huwakimbilia wenye dhambi, bali wale watendao haki hupewa thawabu kwa mema.
22 Den gode efterlater arv til barnebarn, men synderens gods er gjemt til den rettferdige.
Mtu mwema huacha urithi kwa wajukuu wake, bali mali ya mwenye dhambi huwekwa akiba kwa yule atendaye haki.
23 De fattiges nyland gir meget føde; men mangen rykkes bort fordi han ikke gjør det som rett er.
Shamba la masikini lisilolimwa linaweza huzalisha chakula kingi, bali huchukuliwa kwa udhalimu.
24 Den som sparer sitt ris, hater sin sønn; men den som elsker ham, tukter ham tidlig.
Yeye ambaye hamrudi mwanawe humchukia, bali yule anayempenda mwanawe humjali kwa kumwadibisha.
25 Den rettferdige eter så han blir mett, men de ugudeliges buk blir tom.
Yeye atendaye haki hula hadi kutosheleza hamu yake bali tumbo la mwovu linanjaa daima.

< Salomos Ordsprog 13 >