< Nehemias 12 >

1 Dette er de prester og levitter som drog hjem med Serubabel, Sealtiels sønn, og Josva: Seraja, Jirmeja, Esras,
Hawa ndio makuhani na Walawi waliokuja pamoja na Zerubabeli mwana wa Shealueli, pamoja na Yoshua Seraya, Yeremia, Ezra,
2 Amarja, Malluk, Hattus,
Amaria, Maluki, Hatushi,
3 Sekanja, Rehum, Meremot,
Shekania, Harimu na Meremothi.
4 Iddo, Ginnetoi, Abia,
Kulikuwa na Iddo, Ginethoni, Abiya,
5 Mijamin, Ma'adja, Bilga,
Miyamini, Maazia, Bilgai,
6 Semaja, Jojarib, Jedaja,
Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
7 Sallu, Amok, Hilkia og Jedaja. Disse var overhodene for prestene og for sine brødre på Josvas tid.
Salu, Amoki, Hilkia, na Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na washirika wao katika siku za Yoshua.
8 Og levittene var: Josva, Binnui, Kadmiel, Serebja, Juda og Mattanja, som sammen med sine brødre forestod lovsangen,
Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa akiongoza nyimbo za shukrani, pamoja na washirika wake.
9 mens deres brødre Bakbukja og Unno stod midt imot dem for å vareta sin tjeneste.
Bakbukia na Uno, washirika wao, walisimama pembeni yao wakati wa huduma.
10 Josva fikk sønnen Jojakim, Jojakim fikk Eljasib, Eljasib fikk Jojada,
Yoshua alikuwa babaye Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa babaye Yoyada,
11 Jojada fikk Jonatan, og Jonatan fikk Jaddua.
Yoyada alimzaa Yonathani, Yonathani akamzaa Yadua.
12 På Jojakims tid var disse prestenes familie-overhoder: for Serajas familie Meraja, for Jirmejas Hananja,
Katika siku za Yoyakimu hawa walikuwa makuhani, wakuu wa jamaa; Meraya alikuwa mkuu wa Seraya, Hanania alikuwa kiongozi wa Yeremia,
13 for Esras' Mesullam, for Amarjas Johanan,
Meshulam alikuwa kiongozi wa Ezra, Yehohanani alikuwa kiongozi wa Amaria,
14 for Melukis Jonatan, for Sebanjas Josef,
Yonathani alikuwa kiongozi wa Maluki, na Yusufu alikuwa kiongozi wa Shekania.
15 for Harims Adna, for Merajots Helkai,
Ili kuendelea, Adna alikuwa kiongozi wa Harimu, Helkai kiongozi wa Meremothi,
16 for Iddos Sakarias, for Ginnetons Mesullam,
Zekaria alikuwa kiongozi wa Ido, Meshulamu alikuwa kiongozi wa Ginethoni, na
17 for Abias Sikri, for Minjamins, for Moadjas Piltai,
Zikri alikuwa kiongozi wa Abia wa Miyaamini. Piltai alikuwa kiongozi wa Maazia.
18 for Bilgas Sammua, for Semajas Jonatan,
Shamua alikuwa kiongozi wa Bilgai, Yehonathani alikuwa kiongozi wa Shemaya,
19 for Jojaribs Mattenai, for Jedajas Ussi,
Matenai alikuwa kiongozi wa Yoyaribu, Uzi alikuwa kiongozi wa Yedaya,
20 for Sallais Kallai, for Amoks Eber,
Kalai alikuwa kiongozi wa Salu, Eberi alikuwa kiongozi wa Amok,
21 for Hilkias Hasabja og for Jedajas Netanel.
Hashabia alikuwa kiongozi wa Hilkia, na Nethanel alikuwa kiongozi wa Yedaya.
22 I Eljasibs, Jojadas, Johanans og Jadduas tid blev levittenes familieoverhoder optegnet, likeså prestene under perseren Darius' regjering.
Katika siku za Eliashibu, Walawi Eliashibu, Yoyada, Yohana, na Yadua waliandikwa kama vichwa vya familia, na makuhani waliandikwa wakati wa utawala wa Dariyo wa Persia.
23 Familie-overhodene for Levis barn blev optegnet i krønikeboken, og det like til Johanans, Eljasibs sønns tid.
Wana wa Lawi na viongozi wao wa familia waliandikwa katika Kitabu cha tarehe hadi siku za Yohana mwana wa Eliashibu.
24 Levittenes overhoder var: Hasabja, Serebia og Josva, Kadmiels sønn, og deres brødre stod midt imot dem for å love og prise Gud, således som den Guds mann David hadde befalt, flokk ved flokk.
Wakuu wa Walawi walikuwa Hashabia, Sherebia, na Yeshua mwana wa Kadmieli, pamoja na washirika wao, waliokuwa wamesimama mbele yao kumtukuza na kumshukuru, akijibu sehemu kwa sehemu, kwa kutii amri ya Daudi, mtu wa Mungu.
25 Mattanja, Bakbukja, Obadja, Mesullam, Talmon og Akkub holdt som dørvoktere vakt over forrådskammerne ved portene.
Matania, Bakbukia, Obadiya, Meshulamu, Talmoni na Akubu walikuwa walinzi wa malango waliokuwa wakiwa wamesimama katika vyumba vya hazina penye malango.
26 Disse levde i Jojakims, Josvas sønns, Josadaks sønns tid, og i stattholderen Nehemias' og i presten Esras', den skriftlærdes, tid.
Walitumika katika siku za Yoyakimu, mwana wa Yoshua, mwana wa Yosadaki, na katika siku za Nehemiya, gavana na Ezra kuhani na mwandishi.
27 Til innvielsen av Jerusalems mur hentet de levittene fra alle deres bosteder og førte dem til Jerusalem for å holde innvielse og gledesfest både med lovprisning og med sang, med cymbler, harper og citarer.
Katika kujitolea kwa ukuta wa Yerusalemu, watu walitafuta Walawi popote walipokuwa wakiishi, wakawaleta Yerusalemu ili kusherehekea kujitolea kwa furaha, pamoja na shukrani na kuimba kwa ngoma, vinanda na vinubi.
28 Og sangernes barn kom sammen både fra landet rundt om Jerusalem og fra netofatittenes landsbyer
Ushirika wa waimbaji walikusanyika pamoja kutoka wilaya iliyozunguka Yerusalemu na kutoka vijiji vya Wanetofathi.
29 og fra Bet-Haggilgal og fra Gebas og Asmavets jorder; for sangerne hadde bygget sig landsbyer rundt omkring Jerusalem.
Walikuja kutoka Beth-gilgali na kutoka katika mashamba ya Geba na Azmawethi, kwa kuwa waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji karibu na Yerusalemu.
30 Og prestene og levittene renset sig, og de renset folket og portene og muren.
Makuhani na Walawi wakajitakasa, kisha wakawatakasa watu, milango na ukuta.
31 Da lot jeg Judas høvdinger stige op på muren, og jeg opstilte to store lovsangskor og festtog; det ene gikk til høire ovenpå muren frem til Møkkporten;
Kisha nilikuwa na viongozi wa Yuda kwenda juu ya ukuta, na mimi kuteua mikutano miwili mikubwa ya hao walioshukuru. Mmoja alienda upande wa kulia juu ya ukuta kuelekea lango la jaa.
32 og efter dem gikk Hosaja og halvdelen av Judas høvdinger,
Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda walimfuata,
33 Asarja, Esras og Mesullam,
na baada yake akaenda Azaria, Ezra na Meshulamu,
34 Juda, Benjamin, Semaja og Jirmeja
Yuda, Benyamini, Shemaya, Yeremia
35 og likeså nogen av prestenes barn, som bar trompeter; det var Sakarja, sønn av Jonatan, sønn av Semaja, sønn av Mattanja, sønn av Mikaja, sønn av Sakkur, sønn av Asaf,
na wana wa makuhani waliokuwa na tarumbeta, na Zekaria mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Mataniya, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu.
36 og hans brødre Semaja og Asarel, Milalai, Gilalai, Ma'ai, Netanel, Juda og Hanani med den Guds mann Davids sanginstrumenter; og Esras, den skriftlærde, gikk foran dem.
Na pia jamaa za Zekaria, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda, Hanani, pamoja na vyombo vya muziki vya Daudi mtu wa Mungu. Ezra mwandishi alikuwa mbele yao.
37 De gikk over Kildeporten og rett frem, opover trappene til Davids stad, der hvor en stiger op på muren ovenfor Davids hus, helt frem til Vannporten i øst.
Na kwa Lango la Chemchemi walikwenda moja kwa moja na madaraja ya mji wa Daudi juu ya kupanda kwa ukuta, juu ya nyumba ya Daudi, kwenye lango la Maji upande wa mashariki.
38 Det andre lovsangskor gikk til den motsatte side, og jeg fulgte efter det med den andre halvdel av folket, ovenpå muren, ovenfor Ovnstårnet, bort til den brede mur,
Na waimbaji wengine ambao walishukuru wakaenda upande mwingine. Niliwafuata juu ya ukuta pamoja na nusu ya watu, juu ya mnara wa vinyago, hadi kuta kubwa,
39 og over Efra'im-porten, den gamle port og Fiskeporten, forbi Hananel-tårnet og Mea-tårnet, helt frem til Fåreporten; de stanset ved Fengselsporten.
na juu ya lango la Efraimu, na mlango wa kale, na kwa lango la samaki na mnara wa Hananeli na mnara wa Hamea, kwa lango la Kondoo, na wakasimama kwenye mlango wa walinzi.
40 Således stod begge lovsangskorene ved Guds hus, likeså jeg og halvdelen av formennene med mig
Kwa hiyo, mikutano miwili ya wale waliomshukuru walipata nafasi yao katika nyumba ya Mungu, na mimi pia nikachukua nafasi yangu na nusu ya viongozi pamoja nami.
41 og prestene Eljakim, Ma'aseja, Minjamin, Mikaja, Eljoenai, Sakarja og Hananja med trompeter,
Na makuhani wakachukua nafasi zao Eliakimu, Maaseya, Miyamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria, na Hanania wenye tarumbeta,
42 og Ma'aseja, Semaja, Eleasar, Ussi, Johanan, Malkia, Elam og Eser. Og sangerne istemte sangen, og den som ledet den, var Jisrahja.
Maaseya, na Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya, Elamu, Ezeri. Waimbaji waliimba na Yezrahia kama wasimamizi.
43 De ofret den dag store offer og gledet sig, for Gud hadde latt dem vederfares en stor glede; også kvinnene og barna gledet sig, og jubelen i Jerusalem hørtes lang vei.
Walitoa dhabihu kubwa siku ile, wakafurahi, kwa sababu Mungu alikuwa amewafurahisha kwa furaha kubwa. Pia wanawake na watoto walifurahi. Hivyo furaha ya Yerusalemu ikasikiwa toka mbali.
44 Samme dag blev det innsatt menn som skulde ha tilsyn med forrådskammerne for de hellige gaver, førstegrøden og tiendene; der skulde de samle fra bymarkene det som efter loven tilkom prestene og levittene; for det var glede i Juda over at prestene og levittene nu utførte sin tjeneste.
Siku hiyo watu waliteuliwa juu ya nyumba ya hazina kwa ajili ya michango, matunda ya kwanza, na zaka, ili kuzikusanya ndani yao sehemu zinazohitajika katika sheria za makuhani na Walawi. Kila mmoja aliteuliwa kufanya kazi mashambani karibu na miji. Kwa maana Yuda alifurahi juu ya makuhani na Walawi waliokuwa wamesimama mbele yao.
45 Og de varetok hvad det var å vareta for deres Gud, og hvad det var å vareta ved renselsen; likeså varetok sangerne og dørvokterne sin tjeneste, således som David og hans sønn Salomo hadde befalt.
Walifanya utumishi wa Mungu wao, na huduma ya utakaso, kwa mujibu wa amri ya Daudi na ya mwanawe Sulemani, na hivyo
46 For allerede i gammel tid, i Davids og Asafs dager, var det ledere for sangerne, og det lød lov- og takkesanger til Gud.
Zamani za kale, katika siku za Daudi na Asafu, kulikuwa na wasimamizi wa waimbaji, na kulikuwa na nyimbo za sifa na shukrani kwa Mungu.
47 Og i Serubabels og Nehemias' dager gav hele Israel sangerne og dørvokterne det som tilkom dem for hver dag; og de gav levittene hellige gaver, og levittene gav Arons barn hellige gaver.
Katika siku za Zerubabeli na katika siku za Nehemia, Israeli wote walitoa sehemu za kila siku kwa waimbaji na walinzi wa mlango. Wakaweka pembeni sehemu ya Walawi, na Walawi waliweka sehemu ya wana wa Haruni.

< Nehemias 12 >