< Nahum 3 >

1 Ve blodstaden, helt igjennem full av løgn og vold! Aldri holder den op å røve.
Ole kwa mji uliojaa damu! Wote umejaa uongo na mali za wizi; wahanga wapo kwake daima.
2 Smellende svepe og durende hjul og jagende hest og hoppende vogn,
Lakini sasa kunasauti ya mijeledi na sauti za kugongesha matairi, farasi wakicheza, na magari ya vita yanaruka ruka.
3 fremstormende rytter og luende sverd og lynende spyd og drepte i mengde og dynger av lik! Det er ingen ende på døde kropper, en snubler over deres døde kropper,
Kuna wapanda farasi wanashambulia, Upanga unang'ara, mikuki inametameta, marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili, washambuliaji wanajikwaa juu yake.
4 til gjengjeld for den mangfoldige utukt som hun drev, hun den fagre og trollkyndige skjøge, som solgte folkeslag ved sin utukt og hele slekter ved sine trolldomskunster.
Hii inatokea kwa sababu ya matendo ya tamaa ya kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi, mwenye kuuza taifa kwa umalaya wake, na watu kwa njia ya matendo yake ya kichawi.
5 Se, jeg kommer over dig, sier Herren, hærskarenes Gud, og jeg vil dra din kjortelfald op over ditt ansikt, og jeg vil la folkeslag se din blusel og riker din skam,
“Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi- sketi yako nitaiinua juu ya uso wako na kuzionyesha sehemu zako za siri kwa mataifa, aibu yako kwa falme.
6 og jeg vil kaste skarn på dig og føre vanære over dig og gjøre dig til et skuespill.
Nitarusha uchafu wa kuchukiza na kukufanya uwe mbaya sana; nitakufanya uwe mtu wa kutazamwa na kila mmoja.
7 Og det skal skje at hver den som ser dig, skal fly bort fra dig og si: Ødelagt er Ninive! Hvem vil ha medynk med det? Hvor skal jeg søke efter trøstere for dig?
Itakuwa kwamba kila mmoja anayekutazama atakukimbia na kusema, “Ninawi ameharibika; ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi nitampata mtu anayeweza kukufariji?”
8 Mon du er bedre enn No-Amon, som tronte mellem Nilens strømmer med vann rundt omkring sig, som hadde hav til vern og hav til mur?
Ninawi, je wewe ni bora kuliko Noamoni, uliojengwa juu ya Mto Naili, uliokuwa umezungukwa na maji, ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe?
9 Etiopere i mengde og egyptere uten tall, puteere og libyere var dets hjelp.
Ethiopia na Misri zilikuwa nguvu zake, na mwisho wake haukuwepo; Putu na Libya walikuwa rafiki zake.
10 Også det måtte gå i landflyktighet som fange, også dets små barn blev knust på alle gatehjørner, og om dets ærede menn blev det kastet lodd, og alle dets stormenn blev bundet med lenker.
Lakini Noamoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
11 Også du skal bli drukken og sanseløs; også du skal søke et vern imot fienden.
Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta makimbilio kutoka kwa adui yako.
12 Alle dine festninger er som fikentrær med tidlig moden frukt; rystes de, så faller fikenene i munnen på den som vil ete dem.
Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji.
13 Se, det krigsfolk du har hos dig, er som kvinnfolk; ditt lands porter står vidt åpne for dine fiender; ilden har fortært dine bommer.
Tazama, watu miongoni mwenu ni wanawake; malango ya nchi yako yamefunguliwa sana kwa ajili ya adui zako; moto umeharibu bawaba zake.
14 Øs vann til å ha mens du er kringsatt, gjør dine festninger sterke, gå ut i dyndet og stamp i leret, sett teglovnene i stand!
Nenda ukachote maji kwenye boma iliyozingirwa; ziimarishe ngome zako; nenda kwenye udongo na kandamiza matope; finyanga kwa ajili ya matofali.
15 Der skal ilden fortære dig, sverdet utrydde dig, fortære dig som slikkerne; du kan gjerne være så tallrik som slikkerne, så tallrik som gresshoppene!
Moto utakuteketeza pale, na upanga utakuangamiza. Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu. Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka.
16 Dine kremmere er flere enn himmelens stjerner; slikkerne bredte ut sine vinger og fløi bort.
Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni; lakini wapo kama tunutu: wanapora nchi na kisha kuruka kwenda mbali.
17 Dine fyrster er som gresshopper, og dine høvdinger ligner en gresshoppesverm som slår sig ned på murene på en kold dag; solen går op, og de flyver bort, og ingen vet hvor det blir av dem.
Wafalme wenu wapo wengi kama zinge, na wakuu wenu wa majeshi ni kama kundi la wadudu wenye kuweka kambi katika ukuta wakati wa baridi. Lakini jua linapowaka wanaruka kwenda mbali ambako hakuna anayepajua.
18 Dine hyrder slumrer, Assurs konge! Dine gjæve menn ligger i ro; ditt folk er spredt på fjellene, og det er ingen som samler det.
Mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala; watawala wako wamejilaza chini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima, na hakuna hata mmoja wa kuwakusanya.
19 Det er ingen lindring for din skade, ulægelig er ditt sår. Alle som hører tidenden om dig, klapper i hendene over dig; for hvem gikk ikke din ondskap uavlatelig ut over?
Hakuna uponyaji unaowezekana kwa ajili ya vidonda vyako. Vidonda vyako ni vikubwa. Wanaosikia habari juu yako watapiga makofi kwa furaha juu yako. Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima?

< Nahum 3 >