< Mika 3 >

1 Og jeg sa: Hør, I Jakobs høvdinger og I dommere for Israels hus! Er det ikke eders sak å vite hvad rett er?
Nimesema'”Sasa sikilizeni, ninyi viongozi wa Yakobo na kutawala nyumba ya Israeli: Je siyo sahihi kwenu kuielewa haki?
2 I som hater det gode og elsker det onde, I som flår huden av dem og kjøttet av deres ben,
Ninyi manaochukia mazuri na kupenda uovu, ninyi mnaoambua ngozi yao, miili yao kutoka kwenye mifupa yao-
3 I som eter mitt folks kjøtt og river huden av dem og knuser deres ben og breder dem ut likesom i en gryte og som kjøtt i en panne.
ninyi mnaokula pia miili ya watu wangu, na kuambua ngozi yao, kuvunja mifupa yao, na kuwakatakata katika vipande vipande, kama nyama kwenye chungu, kama nyama kwenye sufuria kubwa.
4 Da skal de rope til Herren, men han skal ikke svare dem; han skal skjule sitt åsyn for dem på den tid for deres onde gjerningers skyld!
Kisha ninyi watawala mtalia kwa Yahwe, lakini hatawajibu. Atauficha uso wake kutoka kwenu kipindi hicho, kwasababu mmefanya matendo maovu.”
5 Så sier Herren om de profeter som fører mitt folk vill, som roper når de har noget å tygge med sine tenner: Fred! Men mot den som intet gir dem i deres munn, roper de ut en hellig krig.
Yahwe asema hivi kuhusu manabii ambao wawafanyao watu wangu kushindwa, “Kwa wale wawalishao wanatangaza, 'Kutakuwa na ustawi.' Lakini kwa wale wasioweka kitu kwenye vinywa vyao, wanaanzisha vita dhidi yake.
6 Derfor skal det bli natt for eder uten syner, og mørke uten spådom; solen skal gå ned over profetene, og dagen bli sort over dem.
Kwa hiyo, itakuwa usiku kwenu usiokuwa na maono juu yenu; itakuwa giza ili kwamba msiweze kubashiri. Jua litakwenda chini juu ya manabii, na siku itakuwa giza juu yao.
7 Seerne skal skamme sig, og spåmennene blues; de skal tilhylle skjegget alle sammen; for det kommer intet svar fra Gud.
Waonaji watawekwa kwenye aibu, waaguzi wa watachanganyikiwa. Wote watafunga midomo yao, kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu.”
8 Men jeg, jeg er full av kraft ved Herrens Ånd og full av rett og styrke til å vidne for Jakob om hans overtredelse og for Israel om hans synd.
Lakini kwangu, nimejazwa nguvu kutoka kwa Roho wa Yahwe, na nimejaa haki na uweza, kumwambia Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.
9 Hør dette, I høvdinger over Jakobs hus og I dommere for Israels hus, I som avskyr rett og gjør det kroket alt det som er bent,
Sasa sikieni hii, ninyi viongozi wa nyumba ya Yakobo, na watawala wa nyumba ya Israeli, ninyi ambao mnaochukia haki, na kupotosha kila haki.
10 I som bygger Sion med blod og Jerusalem med urett!
Mnaijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu.
11 Dets høvdinger dømmer for gave, dets prester lærer for betaling, og dets profeter spår for penger, og enda stoler de på Herren og sier: Er ikke Herren midt iblandt oss? Det kommer ingen ulykke over oss.
Viongozi wenu huhukumu kwa rushwa, makuhani wenu hufundisha kwa hijara, na manabii wenu hufanya utabiri kwa ajili ya pesa. Hata hivyo bado mtamtegemea Yahwe na kusema, “Je hayupo Yahwe pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu.”
12 Derfor skal for eders skyld Sion pløies som en aker, og Jerusalem skal bli til grusdynger, og tempelberget til skogbakker.
Kwa hiyo, kwasababu yenu, Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msituni.

< Mika 3 >