< Mika 1 >

1 Dette er Herrens ord som kom til Mika fra Moreset i de dager da Jotam, Akas og Esekias var konger i Juda, det som han skuet om Samaria og Jerusalem.
Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
2 Hør, I folk, alle sammen! Gi akt, du jord med alt som på dig er! Og Herren, Israels Gud, være vidne mot eder, Herren fra sitt hellige tempel!
Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
3 For se, Herren går ut fra sin bolig; han stiger ned og farer frem over jordens høider.
Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
4 Fjellene smelter under ham, og dalene revner - som voks for ilden, som vann når det øses ut over et stup.
Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
5 For Jakobs frafall skjer alt dette, for de synder Israels hus har gjort. Hvem er ophavet til Jakobs frafall? Mon ikke Samaria? Og hvem til Judas offerhauger? Mon ikke Jerusalem?
Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
6 Så vil jeg da gjøre Samaria til en grusdynge på marken, til et sted for vindyrkning, og jeg vil velte dets stener ned i dalen og avdekke dets grunnvoller.
“Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
7 Og alle dets utskårne billeder skal sønderslås, og alle dets horegaver brennes op med ild, og alle dets avgudsbilleder vil jeg ødelegge; for av horelønn har det samlet dem, og til horelønn skal de atter bli.
Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
8 Over dette vil jeg klage og hyle, jeg vil gå barbent og naken; jeg vil opløfte klageskrik som sjakalene og jamre mig som strutsene.
Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
9 For dets sår er ulægelige; for ulykken er kommet like til Juda, den har nådd like til mitt folks port, til Jerusalem.
Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
10 Forkynn det ikke i Gat, gråt ikke der! I Bet-Leafra velter jeg mig i støvet.
Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
11 Dra bort, I Sjafirs innbyggere, i nakenhet og vanære! Sa'anans innbyggere våger sig ikke ut. Bet-Haesels klageskrik gjør det umulig for eder å bli der.
Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
12 For Marots innbyggere vrir sig i smerte over sin tapte lykke; for ulykke er faret ned fra Herren, like til Jerusalems port.
Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
13 Spenn traveren for vognen, I innbyggere av Lakis! Syndens ophav var du for Sions datter, for hos dig blev Israels overtredelser funnet.
Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
14 Derfor skal du gi avkall på Moreset-Gat; husene i Aksib blir som en sviktende bekk for Israels konger.
Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
15 Ennu en gang skal jeg la eder få en eiermann, I Maresas innbyggere! Til Adullam skal Israels stormenn komme.
Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
16 Gjør dig skallet, klipp håret vekk for dine barns skyld, de som var din lyst! Gjør ditt hode så skallet som gribbens, for de er ført bort fra dig.
Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako

< Mika 1 >