< 3 Mosebok 25 >

1 Og Herren talte til Moses på Sinai berg og sa:
Yahweh akazungumza na Musa kwenye Mlima wa Sinai, akisema,
2 Tal til Israels barn og si til dem: Når I kommer inn i det land jeg vil gi eder, da skal landet ha en sabbatshvile for Herren.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mtakapoingia katika nchi ambayo ninawapa, kisha hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh.
3 I seks år skal du tilså din aker, og i seks år skal du stelle med din vingård og høste landets grøde.
Ni lazima mtapanda mazao yenu kwa miaka sita, na kwa miaka sita mtaikatia matawi mizabibu yenu na kukusanya mazao yake.
4 Men i det syvende år skal det være en høihellig sabbat for landet, en sabbat for Herren; da skal du ikke tilså din aker og ikke stelle med din vingård.
Lakini katika mwaka wa saba, Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa, ni Sabato kwa Yahweh. Hamtapanda mashamba yenu wala kuikatia mizabibu yenu matawi yake.
5 Det som vokser av sig selv efterat du har høstet, skal du ikke skjære, og druene på ditt ustelte vintre skal du ikke sanke; det skal være et sabbatsår for landet.
Hamtasimamia mavuno yoyote ya mazao ya mizabibu iliyojiotesha yenyewe katika mashamba yenu ya mizabibu isiyokatiwa matawi. Huu utakuwa mwaka wa pumziko lenye utulivu kwa ardhi.
6 Og det som vokser i landets sabbatsår, skal være til føde for eder, for dig og din tjener og din tjenestepike og din dagarbeider og de fremmede som holder til hos dig;
Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa wakati wa Sabato ndicho kitakuwa chakula chako. Wewe mwenyewe, watumwa wako wa kiume na wa kike, watumishi wako wa kuajiriwa na wageni wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula.
7 og din buskap og de ville dyr som er i ditt land, skal også ete av all den grøde som vokser der.
Na wnyama wako wa kufugwa na wanyama pori waweze kula chochote ardhi itoacho.
8 Så skal du telle frem syv sabbatsår, syv ganger syv år, så tiden for de syv sabbatsår blir ni og firti år.
Ni lazima kwenu kuhesabu Sabato saba za miaka, yaani, saba mara miaka saba, ikifanya jumla ya miaka arobaini na tisa.
9 Og i den syvende måned, på den tiende dag i måneden, skal du la basunen lyde gjennem landet; på soningsdagen skal I la basunen lyde gjennem hele eders land.
Kisha mtapiga sauti ya tarumbeta kila mahali katika siku ya kumi ya mwezi wa saba. Katika Siku ya Upatanisho ni lazima mtapiga tarumbeta katika nchi yenu yote.
10 Og I skal holde det femtiende år hellig og utrope frihet i landet for alle dem som bor der; det skal være et jubelår for eder, og I skal komme tilbake, enhver til sin eiendom og enhver til sin slekt.
Nanyi mtautenga mwaka wa hamsini kwa ajili ya Yahweh na mtatangaza uhuru katika nchi yote kwa wakazi wote. Kutakuwa na Yubile kwa ajili yenu, ambayo kwayo mali na watumwa ni lazima warejeshwe kwa familia zao.
11 Et jubelår skal dette femtiende år være for eder; ikke skal I så, og ikke skal I høste det som vokser av sig selv i det år, og ikke skal I sanke druene av de ustelte vintrær i det år.
Mwaka wa saba kutakuwa na Yubile kwenu. Hamtapanda wala kusimamia mavuno ya kijioteshacho chenyewe, na kukusanya kichipukacho kwenye mizabibu isiyokatiwa matawi.
12 For det er jubelår, hellig skal det være for eder; av marken skal I ete det den bærer.
Kwa sababu hiyo ni Yubile takatifu kwenu. Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani.
13 I dette jubelår skal I komme tilbake, enhver til sin eiendom.
Ni lazima muwarejeshe kila mmoja kwenye miliki yake katika mwaka huu wa Yubile.
14 Når du selger noget til din næste, eller du kjøper noget av din næste, da skal I ikke gjøre hverandre urett.
Iwapo utauza ardhi yoyote ya jirani yako au kununua ardhi yake, ni shrti msipunjane au kutendeana kwa hila.
15 Efter tallet av år siden jubelåret skal du kjøpe av din næste; efter tallet av innhøstings-årene skal han selge til dig.
Iwapo unanunua ardhi kutoka kwa jirani yako, zingatia idadi ya miaka na mazao ambayo yaweza kuvunwa mpaka mwaka wa Yubile nyingine. Jirani yako anayeuza ardhi ni lazima aihesabu miaka hiyo pia.
16 For et større tall av år skal du gjøre kjøpesummen større, og for et mindre tall av år skal du gjøre kjøpesummen mindre; for det er bare et visst tall av avlinger han selger til dig.
Miaka inapoongezeka mpaka Yubile nyingine, ataongeza thamani ya ardhi, na miaka inapokuwa michache kufikia Yubile nyingine atashusha thamani, kwa sababu idadi ya mavuno inahusiana na idadi ya miaka kabla ya Yubile nyingine.
17 Og ingen av eder skal gjøre sin næste urett, men du skal frykte din Gud; for jeg er Herren eders Gud.
Msipunjane au kutendeana kwa hila, badala yake, yawapasa kumheshi Yahweh Mungu wenu.
18 I skal holde mine lover og ta vare på mine bud og holde dem; så skal I bo trygt i landet.
Kwa hiyo basi, ni lazima muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza. Nanyi mtaishi katika nchi katika usalama.
19 Og landet skal gi sin frukt, og I skal ete og bli mette og bo der trygt.
Nayo nchi itawapa mavuno yake, nanyi mtakula matunda yenu na mtaishi humo salama.
20 Og om I sier: Hvad skal vi ete i det syvende år, når vi ikke sår og ikke samler inn vår grøde? -
Labda mtasema, Tutakula nini katika mwaka wa saba? Tazama, hatuwezi kupanda wala kukusanya mazao yetu.”
21 da vil jeg sende min velsignelse over eder i det sjette år, så det gir grøde for tre år.
Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mavuno ya kutosha kwa miaka mitatu.
22 I det åttende år skal I så, men ennu ete av den gamle grøde; like til det niende års grøde kommer, skal I ete gammelt korn.
Mtapanda katika mwaka wa nane na mtaendelea kula mazao ya miaka iliyopita na kutoka kwenye ghala la chakula. Mpaka mavuno ya mwaka wa tisa yatakapofika, mtaweza kula kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa katika miaka iliyopita
23 Jorden må ikke selges for alle tider; for mig hører landet til, I er fremmede og gjester hos mig.
Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu, kwa sababu ardhi ni mali yangu. Ninyi nyote mu wageni na wakazi wa muda juu ya ardhi yangu.
24 I hele det land I får til eie, skal I tillate innløsning av jorden.
Ni lazima muitunze haki ya ukombozi kwa ajili ya ardhi yote mtakayoimiliki; itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi kutoka kwao.
25 Når din bror blir fattig og må selge noget av sin jordeiendom, da skal hans løser, hans nærmeste frende, komme og innløse det som hans bror har solgt.
Iwapo Mwisraeli mwenzako anakuwa masikini na kwa sababu hiyo anauza baadhi ya miliki yake, kisha jamaa yake wa karibu anaweza kuja na kuikomboa hiyo miliki ambayo jamaa yake kaiuza kwako.
26 Og om en ikke har nogen løser, men selv får råd til det og kommer til å eie det som skal til for å innløse det,
Iwapo mtu hana jamaa wa kuikomboa mali yake, lakini ikiwa kafanikiwa na anao uwezo wa kuikomboa,
27 da skal han regne efter hvor mange år det er gått siden han solgte, og bare betale det overskytende til den mann han solgte til; så skal han komme til sin jordeiendom igjen.
kisha atahesabu miaka tangu ardhi hiyo ilipouzwa na kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia. Naye anaweza kuerejea kwenye miliki yake mwenyewe.
28 Men dersom han ikke har nok til å betale ham med, da skal det han har solgt, bli i dens eie som kjøpte det, helt til jubelåret; men i jubelåret skal det gis fritt, så han kommer til sin jordeiendom igjen.
Lakini ikiwa hawezi kuirejesha kwake ardhi aliyoiuza, nayo hiyo ardhi aliyoiuza itabaki katika umiliki wa yule aliyeinunua mpaka mwaka wa Yubile. Kwenye mwaka wa Yubile, ardhi itarejeshwa kwa mtu aliyeiuza, naye mmiliki wa asili atarejea kwenye mali yake.
29 Når nogen selger et våningshus i en by som er omgitt med murer, da skal hans innløsningsrett vare inntil et helt år er gått efterat han har solgt; et år skal hans innløsningsrett vare.
Ikiwa mtu anauza nyumba iliyo kwenye mji uliozungushiwa ukuta, naye anaweza kuinunua tena ndani ya mwaka baada ya kuuzwa. kwa kuwa, kwa mwaka mzima atakuwa na haki ya ukombozi.
30 Men dersom det ikke blir innløst innen et helt år er til ende, da skal huset, om det ligger i en by med murer omkring, for alle tider tilhøre den som kjøpte det, og hans efterkommere; det skal ikke gis fritt i jubelåret.
Kama nyumba hiyo haitakombolewa kabla ya mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyoko kwenye mji uliozungushiwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya yule aliyeinunua, katika vizazi vyote vya uzao wake. Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa katika mwaka wa Yubile.
31 Men husene i småbyer som ikke har murer omkring, skal regnes like med jordene på landet; de skal kunne innløses, og i jubelåret skal de gis fri.
Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta kuzizunguuka, zitahesabiwa kuwa shamba la nchi. Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe katika mwaka wa Yubile.
32 Men gjelder det huser i byer som hører levittene til, da skal innløsningsretten vare gjennem alle tider.
Hata hivyo, nyumba zinazomilikiwa na makuhani katika miji yao zaweza kukombelewa wakati wowote.
33 Når en kjøper noget av en levitt, så skal et hus som er solgt, såfremt det ligger i hans egen by, gis fritt i jubelåret; for husene i levittenes byer er deres eiendom blandt Israels barn.
Iwapo mmoja wa makuhani haikombowi nyumba iliyozwa, kisha nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe katika mwaka wa Yubile, kwa kuwa nyumba za miji ya makuhani ni mali yao miongoni mwa watu wa Israeli.
34 Men løkkene omkring deres byer må ikke selges; for de er deres eiendom for all tid.
Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa kwa sababu hiyo ni mali ya kudumu ya Makuhani.
35 Når din bror blir fattig og ikke lenger kan holde sig oppe, da skal du støtte ham; som en fremmed og en innerst skal han leve hos dig.
Ikiwa mwananchi mwenzako anakuwa masikini, kiasi kwamba hawezi kujihudumia, nawe utalazimika kumsaidia kama vile ungemsaidia mgeni au mwingine yeyote kutoka nje aishie miongoni mwenu.
36 Du må ikke ta rente eller overmål av ham, men du skal frykte din Gud, så din bror kan leve med dig.
Usimtoze riba au kujaribu kunufaika kutoka kwake katika njia yoyote, bali mheshimu Mungu wako ili kwamba ndugu yako aendelee kuishi nawe.
37 Du skal ikke låne ham penger mot rente og ikke kreve noget i tillegg for den mat du låner ham.
Hutampa mkopo wa fedha na kumtoza riba, wala hutamuuzia chakula chako ili kupata faida.
38 Jeg er Herren eders Gud, som førte eder ut av Egyptens land for å gi eder Kana'ans land og være eders Gud.
Mimi ndimi Yahweh Mungu wako, aliye kuleta wewe kutoka nchi ya Misri, ili kwamba Nikupe nchi ya Kanaani, na kwamba niwe Mungu wako.
39 Når din bror blir fattig og selger sig til dig, da skal du ikke la ham tjene hos dig som en træl tjener.
Iwapo mwananchi mwenzako atakuwa masikini na kujiuza mwenyewe kwako, hutamfanyisha kazi kama mtumwa.
40 Han skal være hos dig som en dagarbeider eller innerst og tjene hos dig til jubelåret.
Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa. Ni lazima awe kama yule ahudumuye nawe kwa muda mpaka mwaka wa Yubile.
41 Da skal han flytte fra dig, både han og hans barn, og dra hjem til sin slekt; til sin fedrene-eiendom skal han vende tilbake.
Kisha ataondoka kwako, yeye mwenyewe na watoto wake pamoja naye, na atarejea kwenye familia yake mwenyewe na kwenye miliki ya baba yake.
42 For de er mine tjenere, som jeg har ført ut av Egyptens land; de skal ikke selges som en træl selges.
Kwa sababu wao ni watumishi wangu niliowaleta kutoka katika nchi ya Misri. Hawatauzwa kama watumwa.
43 Du skal ikke herske over ham med hårdhet, men du skal frykte din Gud.
Usitawale juu yao kwa ukatili, bali yakupasa kumheshimu Mungu wako.
44 Men vil du få dig en træl eller en trælkvinne, da skal I kjøpe dem av de hedningefolk som bor omkring eder,
Kwa upande wa watumwa wako wakiume na watumwa wako wa kike, unaowezao kuwapata kutok kwa mataifa yanayokuzunguka, waweza kununua watumwa kutoka kwao.
45 og likeledes blandt barna av de innerster som bor hos eder som fremmede; blandt dem og deres efterkommere, som bor hos eder og er født i eders land, kan I kjøpe træler eller trælkvinner, og de skal være eders eiendom,
Unaweza pia kununua watumwa kutoka kwa wageni wanaoishi miongoni mwenu, yaani, kutoka familia zao waliopamoja nawe, wale wtoto waliozaliwa katika nchi yako. Wanaweza kuwa mali yako.
46 og I kan efterlate dem som arv til eders barn efter eder, så de kan ha dem til eiendom; I kan for all tid bruke dem som træler. Men over eders brødre, Israels barn, skal du ikke herske med hårdhet, bror over bror.
Unaweza kuzalisha watumwa hao kama urithi kwa watoto wako baada yako, ili kuwamiliki kama mali. Kutoka kwao waweza kununua watumwa daima, lakini hamtawezi kutawala kwa ukali juu ya ndugu zenu walio miogoni mwa watu wa Israeli.
47 Når en fremmed eller innerst hos dig kommer til velstand, og en av dine brødre som bor nær ham, blir fattig og må selge sig til den fremmede som har tilhold hos dig, eller til en som stammer fra en fremmed manns slekt,
Iwapo mgeni anayeishi nawe kwa muda anakuwa tajiri, na ikiwa mmoja wa Waisraeli amekuwa masikini na kujuza mwenyewe kwa familia ya mgeni, au kwa mtu fulani katika familia,
48 da skal han kunne løses ut efterat han har solgt sig. En av hans brødre skal løse ham ut,
baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa. Anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Iwapo anaweza kurejeshwa. Mtu fulani katika familia yake anaweza kumkomboa.
49 eller hans farbror eller hans farbrors sønn eller en annen av de nærmeste slektninger i hans ætt, skal løse ham ut, eller får han råd til det, da skal han løse sig selv ut.
Anaweza kuwa mjomba wake, au mjomba wa mwanawe, anayemkomboa yeye, au yeyote aliye ndugu yake wa karibu kutoka kwa ukoo wake. Au, iwapo ni mwenye mafanikio, anaweza kujikomboa mwenyewe.
50 Når han da gjør op med den som har kjøpt ham, skal de regne ut tiden fra det år han solgte sig til ham, og til jubelåret, og pengene som han solgte sig for, skal deles med årenes tall; den tid han har vært hos ham, skal regnes som om han hadde vært dagarbeider.
Ni lazima apatane na mtu aliyemnunua, itawapasa kuhesabu miaka tangu mwaka aliojiuza kwa mnunuzi wake mpaka mwaka wa Yubile. Ile thamani ya ukombozi wake ihesabiwe kulingana na kiwango cha mshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa, kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi kwa yule aliyemnunua.
51 Dersom det ennu er mange år tilbake, da skal han til utløsning betale tilbake en tilsvarende del av de penger han blev kjøpt for.
Endapo kutakuwa kungali na miaka mingi iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atalazimika kulipa fungu kubwa la fedha kwa ajili ya ukombozi ambao ni uwino wa idadi ya miaka hiyo.
52 Men dersom det er få år tilbake til jubelåret, så skal han gjøre op med ham efter dem; efter sine tjeneste-år skal han betale sin løsningssum.
Iwapo kuna miaka michache tu iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atapatana na aliyemnunua ili kuipitia idadi ya miaka iliyobaki mpaka Yubile, naye atalazimika kulipia ukombozi wake kulingana na idadi ya miaka.
53 Som en dagarbeider som tjener år for år, skal han være hos ham; du må ikke tåle at han hersker over ham med hårdhet.
Naye atatendewa kama mtu aliyeajiriwa mwaka kwa mwaka. Utahakikisha kwamba hatendewi kwa ukali.
54 Men dersom han ikke løses ut på en av disse måter, da skal han bli fri i jubelåret, både han og hans barn.
Iwapo hakukombolewa katika njia hizi, basi atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake.
55 For mig hører Israels barn til som tjenere, de er mine tjenere, som jeg har ført ut av Egyptens land; jeg er Herren eders Gud.
Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi. Wao ni watumishi wangu ambao Niliwatoa katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

< 3 Mosebok 25 >