< Jobs 5 >

1 Rop du bare! Er det vel nogen som svarer dig? Og til hvem av de hellige vil du vende dig?
Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
2 For harme slår dåren ihjel, og vrede dreper den tåpelige.
Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
3 Jeg så en dåre skyte røtter; men med ett måtte jeg rope ve over hans bolig.
Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
4 Hans barn var uten hjelp; de blev trådt ned i porten, og det var ingen som frelste dem.
Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
5 De hungrige åt op hans avling, ja, midt ut av torner hentet de den, og snaren lurte på hans gods.
Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
6 For ikke skyter ulykke op av støvet, og møie spirer ikke frem av jorden;
Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
7 men mennesket fødes til møie, likesom ildens gnister flyver høit i været.
Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
8 Men jeg vilde vende mig til Gud og overlate min sak til ham,
Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
9 han som gjør store, uransakelige ting, under uten tall,
yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
10 som sender regn utover jorden og lar vann strømme utover markene,
Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
11 som ophøier de ringe og lar de sørgende nå frem til frelse,
Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
12 som gjør de kløktiges råd til intet, så deres hender ikke får utrettet noget som varer,
Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
13 han som fanger de vise i deres kløkt og lar de listiges råd bli forhastet;
Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
14 om dagen støter de på mørke, og om middagen famler de som om natten.
Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
15 Og således frelser han den fattige fra sverdet, fra deres munn og fra den sterkes hånd,
Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
16 og det blir håp for den ringe, og ondskapen må lukke sin munn.
Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
17 Ja, salig er det menneske Gud refser, og den Allmektiges tukt må du ikke akte ringe!
Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
18 For han sårer, og han forbinder; han slår, og hans hender læger.
Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
19 I seks trengsler skal han berge dig, og i den syvende skal intet ondt røre dig.
Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
20 I hungersnød frir han dig fra døden og i krig fra sverdets vold.
Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
21 For tungens svepe skal du være skjult, og du skal ikke frykte når ødeleggelsen kommer.
Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
22 Ødeleggelse og hunger skal du le av, og for jordens ville dyr skal du ikke frykte;
Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
23 for med markens stener står du i pakt, og markens ville dyr holder fred med dig.
Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
24 Og du skal få se at ditt telt er trygt, og ser du over din eiendom, skal du intet savne.
Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
25 Og du skal få se at din ætt blir tallrik, og dine efterkommere som jordens urter.
Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
26 Du skal i fullmoden alder gå i graven, likesom kornbånd føres inn sin tid.
Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
27 Se, dette er det vi har utgransket, og således er det. Hør det og merk dig det!
Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”

< Jobs 5 >