< Jobs 20 >

1 Da tok Sofar fra Na'ama til orde og sa:
Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
2 Derfor legger mine tanker mig svaret i munnen, og derfor stormer det i mig;
“Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
3 hånende tilrettevisning må jeg høre, og min ånd gir mig svar ut fra min innsikt.
Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
4 Vet du da ikke at slik har det vært fra evighet, fra den tid mennesker blev satt på jorden,
Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
5 at de ugudeliges jubel er kort, og den gudløses glede bare varer et øieblikk?
ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
6 Stiger enn hans stolthet til himmelen, og når enn hans hode til skyen,
Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
7 så går han dog likesom sitt skarn til grunne for evig; de som så ham, spør: Hvor er han?
bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
8 Som en drøm flyr han bort, og ingen finner ham mere; han jages bort som et nattesyn.
Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
9 Det øie som så ham, ser ham ikke mere, og hans sted skuer ham ikke lenger.
usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
10 Hans barn må søke småfolks yndest, og hans hender må gi hans gods tilbake.
Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
11 Hans ben var fulle av ungdomskraft, men nu ligger den med ham i støvet.
Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
12 Smaker enn det onde søtt i hans munn, skjuler han det under sin tunge,
Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
13 sparer han på det og slipper det ikke, men holder det tilbake under sin gane,
japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
14 så blir dog hans mat omskapt i hans innvoller og blir til ormegift i hans liv.
chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
15 Han slukte gods, og han må spy det ut igjen; Gud driver det ut av hans buk.
Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
16 Ormegift må han innsuge; huggormens tunge dreper ham.
Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
17 Han skal ikke få se bekker, elver av honning og elver av melk.
Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
18 Han må gi tilbake det han har tjent, og får ikke nyte det; meget gods har han vunnet, men han får liten glede av det.
Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
19 For han knuste småfolk og lot dem ligge der; han rante hus til sig, men får ikke bygge dem om;
Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
20 han kjente aldri ro i sitt indre; han skal ikke slippe unda med sine skatter.
Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
21 Det var intet som undgikk hans grådighet; derfor varer ikke hans lykke.
Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
22 Midt i hans rikdom blir det trangt for ham; hver nødlidende vender sin hånd mot ham.
katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
23 For å fylle hans buk sender Gud sin brennende vrede mot ham og lar sin mat regne på ham.
Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
24 Flykter han for våben av jern, så gjennemborer en bue av kobber ham.
Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
25 Når han så drar pilen ut av sin rygg, og den lynende odd kommer frem av hans galle, da faller dødsredsler over ham.
Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
26 Alt mørke er opspart for hans vel gjemte skatter; en ild som intet menneske puster til, fortærer ham; den eter det som er igjen i hans telt.
Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
27 Himmelen åpenbarer hans misgjerning, og jorden reiser sig mot ham.
Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
28 Det han har samlet i sitt hus, føres bort, det skylles bort på Guds vredes dag.
Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
29 Dette er den lodd som et ugudelig menneske får av Gud, den arv som er tilkjent ham av den Allmektige.
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”

< Jobs 20 >