< Jobs 13 >

1 Se, alt sammen har mitt øie sett, mitt øre hørt og merket sig.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Det I vet, vet også jeg; jeg står ikke tilbake for eder.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Men jeg vil tale til den Allmektige, og jeg har lyst til å rettferdiggjøre mig for Gud.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Men I spinner løgn sammen, I er alle dårlige læger.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 Gid I vilde tie stille! Det skulde bli regnet eder til visdom.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Hør nu på min tilrettevisning og merk på refselsene fra mine leber!
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Vil I tale urett til forsvar for Gud, og vil I til hans forsvar tale svik?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Vil I ta hans parti, eller vil I være sakførere for Gud?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Vil det gå eder godt når han ransaker eder, eller vil I narre ham, som en narrer et menneske?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 Han vil tukte eder, om I i lønndom tar parti for ham.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 Vil ikke hans høihet forferde eder, og redselen for ham falle over eder?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Eders tankesprog er askesprog; eders skanser blir til skanser av ler.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Ti, la mig være, så jeg kan tale, så får det komme over mig hvad det vil!
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Hvorfor skulde jeg bære mitt kjøtt mellem mine tenner? Jeg vil legge mitt liv i min hånd.
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Se, han vil drepe mig - jeg venter på ham; jeg vil bare rettferdiggjøre mine veier for hans åsyn.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 Også det skal bli mig til frelse; for ingen gudløs kommer for hans åsyn.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Hør da nøie på mitt ord og la min forklaring trenge inn i eders ører!
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Se, jeg har saken i orden; jeg vet jeg skal få rett.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Hvem er den som vil gå i rette med mig? Ja, da vil jeg tie og opgi ånden.
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Bare to ting må du ikke gjøre mot mig, da skal jeg ikke skjule mig for ditt åsyn:
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Ta din hånd bort fra mig, og la ikke dine redsler forferde mig!
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Så kall da, og jeg skal svare; eller la mig tale, og svar du mig!
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Hvor mange misgjerninger og synder har jeg? La mig få vite min brøde og min synd!
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Hvorfor skjuler du ditt åsyn og holder mig for din fiende?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Vil du skremme et bortblåst blad og forfølge det tørre strå? -
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 siden du idømmer mig så hårde lidelser og lar mig arve min ungdoms misgjerninger
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 og setter mine føtter i stokken og vokter på alle mine veier og drar en ring om mine fotsåler,
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 og dette gjør du mot en som tæres bort som makk-ett tre, som et klædebon møllet har ett.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Jobs 13 >