< Esaias 15 >

1 Utsagn om Moab. Ja, i en natt blir Ar-Moab ødelagt, gjort til intet; ja, i en natt blir Kir-Moab ødelagt, gjort til intet.
Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
2 De stiger op til huset og til Dibon på offerhaugene for å gråte; på Nebo og på Medeba skal Moab hyle; hvert hode er skallet, hvert skjegg avskåret.
Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
3 På dets gater binder de sekk om sig; på dets tak og på dets streder skal alle hyle og la sine tårer strømme.
Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
4 Hesbon og El'ale skriker så det høres like til Jahas; derfor klager Moabs krigsmenn, Moabs sjel skjelver.
Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
5 Mitt hjerte klager over Moab, dets flyktninger kommer like til Soar, den treårige kvige; for de går gråtende opover bakken til Luhit, på veien til Horona'im løfter de klagerop over ødeleggelsen.
Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
6 Nimrims vann blir til ørkener, gresset tørker bort, med urtene er det forbi, det finnes ikke mere et grønt strå.
Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
7 Derfor bærer de det som de har samlet sammen, sitt opsparte gods, over Vidjebekken.
Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
8 Ja, klagerop lyder rundt omkring i Moabs land; like til Egla'im når dets hyl, og til Be'er-Elim;
Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
9 for Dimons vann er fulle av blod. Ja, jeg vil la ennu mere komme over Dimon - en løve skal falle over de undkomne av Moab, over levningen i landet.
Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.

< Esaias 15 >