< Esras 10 >

1 Mens nu Esras lå gråtende på jorden foran Guds hus og bad og bekjente, samlet det sig om ham en meget stor skare av Israels folk, både menn og kvinner og barn; for folket gråt sårt.
Wakati Ezra akiomba na kutubu, akalia na kujirusha chini mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa la wanaume Israel, wanawake na watoto wakakusanyika kwake, kwa kuwa watu walikuwa wakilia sana.
2 Da tok Sekanja, Jehiels sønn, av Olams barn, til orde og sa til Esras: Vi har båret oss troløst at mot vår Gud og tatt fremmede kvinner av de andre folk her i landet til hustruer; men ennu er det håp for Israel i denne sak.
Shekania mtoto wa Yehieli, mwana wa Elamu akamwambia Ezra, “Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu na tumeoa wanawake wa kigeni kutoka nchi nyingine. Lakini pamoja na hilo, bado kuna tumaini kwa Israel.
3 Så la oss nu gjøre en pakt med vår Gud om å skille oss med alle disse kvinner og deres barn, således som Herren vil det og de menn som har ærefrykt for vår Guds bud, og la oss gå frem efter loven!
sasa natuweke agano pamoja na Mungu wetu kuwaondoa wanawake wote na watoto wao kulingana na maelekezo ya Bwana, na maelekezo ya wale wanaotetemeka kutokana na amri za Mungu wetu. na hii ifanyike kutokana na sheria.
4 Stå op! For det er du som må sørge for dette, og vi skal hjelpe dig; vær frimodig og sett det i verk!
Simama, jambo hili linakuhusu wewe, na sisis tuko pamoja na wewe, Uwe imara na kufanya hili.
5 Da stod Esras op og lot de øverste prester og levitter og hele Israels høvdinger sverge at de vilde gjøre som sagt var; og de svor på det.
Hivyo Ezra akasimama na kufanya makuhani na walawi na waisrael wote wakaahidi kufanya kwa njia hiyo. Hivyo wote wakatoa kiapo.
6 Så gikk Esras bort fra plassen foran Guds hus og inn i Johanans, Eljasibs sønns kammer. Og da han var kommet dit, kunde han hverken ete eller drikke, så dypt sørget han over de hjemkomnes utroskap.
Ndipo Ezra akainuka kutoka mbele ya nyumba ya Mungu na kwenda kwenye chumba ya Yehohanani mtoto wa Eliashibu, Yeye hakula mkate au kunywa maji. Tangu alipokuwa akiomboleza kuhusiana na wale wenye imani haba waliokuwa uhamishoni.
7 Derefter lot de utrope i Juda og Jerusalem til alle de hjemkomne at de skulde samles i Jerusalem,
Hivyo wakatuma neno katika Yuda na Yerusalem kwa watu wote waliorudi kutoka utumwani kukusanyika Yerusalem.
8 og om det var nogen som ikke kom innen tre dager, således som høvdingene og de eldste hadde fastsatt, skulde alt hans gods bannlyses, og han selv utelukkes fra de hjemkomnes menighet.
Yeyote ambaye hakuja katika siku tatu kutokana na maelekezo kutoka kwa wakuu na viongozi atachukuliwa mali zote na atatengwa na kusanyiko kuu la watu ambao walikuja kutoka uhamisho.
9 Så samledes alle Judas og Benjamins menn i Jerusalem innen de tre dager; det var den tyvende dag i den niende måned. Alt folket satt på plassen ved Guds hus og skalv både for sakens skyld og for regnbygene.
Hivyo watu wote wa Yuda na Benjamini wakakusanyika Yerusalem kwa siku tatu. Ilikuwa ni mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi. watu wote wakasimama mbele ya nyumba ya Mungu na wakatetemeka kwa sababu ya neno na mvua.
10 Da stod presten Esras op og sa til dem: I har båret eder troløst at og tatt fremmede kvinner til hustruer, og dermed har I øket Israels skyld.
Ezra kuhani akasimama na kusema, “Ninyi wenyewe mmefanya uasi, ninyi mmeishi na wanawake wa kigeni na kuongeza makosa ya Israel.
11 Så bekjenn det nu for Herren, eders fedres Gud, og gjør hans vilje! Skill eder fra de andre folk her i landet og fra de fremmede kvinner!
Lakini sasa mpeni sifa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu, na mfanye mapenzi yake, mjitenge na watu wa nchi na wanawake wa kigeni.
12 Da svarte hele folket og sa med høi røst: Ja, som du har sagt, så er vi skyldige å gjøre.
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti. “Tutatenda kama ulivyosema,
13 Men folket er tallrikt, og det er nu regntid, så vi ikke er i stand til å stå her ute, og dette er et arbeid som ikke kan utføres på en dag eller to; for det er mange av oss som har syndet i denne sak.
haijalishi, kuna watu wengi na ni kipindi cha mvua. Hatuna nguvu ya kusimama nje na hii si siku moja au mbili za kufanya kazi, kwa kuwa tumekosea katika jambo hili.
14 La derfor våre høvdinger stå frem for hele folket, og la alle dem i våre byer som har tatt fremmede kvinner til hustruer, møte til fastsatte tider sammen med de eldste og dommerne i hver by, til vi får vendt vår Guds brennende vrede bort fra oss, og denne sak er avgjort.
Hivyo wakuu wetu wawakilishe kusanyiko lote, iwe kwamba wote walioruhusu wanawake wa kigeni kuishi katika miji yetu waje katika muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji hadi hapo hasira ya Mungu itakapoondoka kutoka kwetu.
15 Bare Jonatan, Asaels sønn, og Jahseja, Tikvas sønn, satte sig imot dette, og Mesullam og levitten Sabbetai støttet dem.
Yonathan mtoto Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili, Meshulamu na Shabethai mlawi wakawaunga mkono wao.
16 De hjemkomne gjorde da som sagt var, og valgte presten Esras og nogen menn som var overhoder for sine familier, og som alle var nevnt ved navn, og de trådte sammen på den første dag i den tiende måned for å granske saken,
Hivyo watu waliotoka uhamishoni wakafanya hivi, Ezra kuhani akachagua wanaume, viongozi watamgulizi wa ukoo na nyumba, wao wote kwa majina na wakaliangalia suala hili siku ya kwanza ya mwezi wa kumi.
17 og de blev ferdig med alle de menn som hadde tatt fremmede kvinner til hustruer, til den første dag i den første måned.
Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kuchunguza wale wanaume walioishi na wanawake wa kigeni.
18 Blandt prestenes sønner fant de nogen som hadde tatt fremmede kvinner til hustruer; det var: av Josvas, Josadaks sønns sønner og hans brødre: Ma'aseja og Elieser og Jarib og Gedalja;
Miongoni mwa wana wa kikuhani kuna wale walioishi na wanawake wa kigeni. Miongoni mwa wana wa Yoshua mtoto wa Yosadaki na kaka zake ambao walikuwa Maasela, Eliazeri, na Yaribu na Gedalia.
19 de gav sin hånd på at de vilde skille sig fra sine hustruer og ofre en vær av hjorden som skyldoffer for den skyld de hadde pådradd sig.
Hivyo wakaamua kuwaondoa wake zao. kwa kuwa walikuwa na makosa, wakatoa sadaka ya kondoo kwenye mifugo kwa ajili ya makosa yao.
20 Av Immers barn var det Hanani og Sebadja;
Miongoni mwa wana wa Imeri, Hanani, na Zebadia.
21 av Harims barn Ma'aseja og Elia og Semaja og Jehiel og Ussia;
Miongoni mwa wana wa Harimu, Maaseya, na Eliya na Shemaya, na Yehieli na Uzia.
22 av Pashurs barn Eljoenai, Ma'aseja, Ismael, Netanel, Josabad og Elasa.
Miongoni mwa wana wa Pashuri, Elasa
23 Av levittene var det Josabad og Sime'i og Kelaja, det er Kelita, Petaja, Juda og Elieser;
Miongoni mwa walawi: Yozabadi na Shimei na Kelaya (ndiye Kelita) na Pethaia, na Yuda na Eliezeri. Miongoni mwa waimbaji Eliashibu na. Miongoni mwa walinzi Shalumu, Telemu na Uri.
24 av sangerne Eljasib; av dørvokterne Sallum og Telem og Uri.
Miongoni mwa Israel waliobaki -
25 Av Israel ellers var det: av Paros' barn Ramja og Jissija og Malkija og Mijamin og Eleasar og Malkija og Benaja;
Miongoni mwa wana wa Paroshi, Ramia na Izia na Malkiya na Miyamini na Eliazari na Malkiya na Benaya
26 av Elams barn Mattanja, Sakarja og Jehiel og Abdi og Jeremot og Elia;
Miongoni mwa wana wa Elamu Mataniana Zekaria, na yeehieli, na Abdi na Yeremothi na Eliya.
27 av Sattus barn Eljoenai, Eljasib, Mattanja og Jeremot og Sabad og Asisa;
Miongoni mwa wana wa Zatu: Elionai, na Eliashibu, na Matania na Yeremothi na Zabadi na Aziza.
28 av Bebais barn Johanan, Hananja, Sabbai, Atlai;
Miongoni mwa wana wa Bebai Yehohanani, na Hanania na Zakai na Athlai.
29 av Banis barn Mesullam, Malluk og Adaja, Jasub og Seal og Jeremot;
Miongoni mwa wana wa bani: Meshulami na Maluki, na Adaya na Yashubu na Sheali na Yeremothi.
30 av Pahat-Moabs barn Adna og Kelal, Benaja, Ma'aseja, Mattanja, Besalel og Binnui og Manasse;
Miongoni mwa wana wa Pahath-Moabu, Adna, na kelali, na Benaya na Maaseya, na Matania, na Besaleli na Binti na Manase.
31 fremdeles Harims barn: Elieser, Jissija, Malkija, Semaja, Simeon,
Na miongoni mwa wana wa Harimu: Eliezeri na Ishiya, na Malkiya na Shemaya na Shimeoni, na
32 Benjamin, Malluk, Semarja;
Benyamini na Maluki na Shemaria
33 av Hasums barn Mattenai, Mattatta, Sabad, Elifelet, Jeremai, Manasse, Sime'i;
Miongoni mwa wana Hashumu: Matenai, na Matatana Zabadi, na Elifereti na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34 av Banis barn Ma'adai, Amram og Uel,
Miongoni mwa wana wa Bani: Maadai, na Amramu na Aueli, na
35 Benaja, Bedeja, Keluhi,
Benaya, na Bedeya na Keluhi, na
36 Vanja, Meremot, Eljasib,
wania, na Meremothi, Eliashibu,
37 Mattanja, Mattenai, Ja'asu
Matania, na Matenai. na
38 og Bani og Binnui, Sime'i
Yaasi. Miongoni mwa wana wa Binui: Shimei,
39 og Selemja og Natan og Adaja,
Sheremia, na Nathani, na Adaya, na
40 Maknadbai, Sasai, Sarai,
Maknadebai, na Shashai, na Sharai
41 Asarel og Selemja, Semarja,
Azareri, na Sheremia, na Shemaria, na
42 Sallum, Amarja, Josef;
Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
43 av Nebos barn Je'iel, Mattitja, Sabad, Sebina, Jaddu og Joel og Benaja.
Miongoni wa wana wa Nebo: Yeieli, na Mathiana zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli na Benaya.
44 Alle disse hadde tatt fremmede kvinner til hustruer, og blandt dem var det nogen som hadde fått barn.
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wamezaa watoto baadhi yao.

< Esras 10 >