< Esekiel 21 >

1 Da kom Herrens ord til mig, og det lød så:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Menneskesønn! Vend ditt åsyn mot Jerusalem og prek mot helligdommene og spå mot Israels land!
“Mwanadamu, weka uso wako kuelekea Yerusalemu, na neno juu ya patakatifu; tabiri juu ya nchi ya Israeli.
3 Og si til Israels land: Så sier Herren: Se, jeg kommer over dig og drar mitt sverd av skjeden, og jeg vil utrydde både rettferdige og ugudelige i dig.
Sema juu ya nchi ya Israeli, 'Yahwe asema hivi: Tazama! Ni juu yako! Nitautoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake na kuwakatilia mbali wote yaani mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako!
4 Fordi jeg vil utrydde både rettferdige og ugudelige i dig, derfor skal mitt sverd fare ut av skjeden mot alt kjød, fra syd til nord.
Ili niwakatilie mbali wote, mwenye haki na mwovu kutoka kwako, upanga wangu utatoka kwenye ala yake juu ya wote wenye mwili kutoka kusini hata kaskazini.
5 Og alt kjød skal kjenne at jeg, Herren, har draget mitt sverd av skjeden; det skal ikke mere vende tilbake.
Kisha wote wenye mwili watajua yakwamba mimi, Yahwe, nimeutoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake. Hautarudi tena!'
6 Men du, menneskesønn, skal sukke så det bryter i dine lender; i sår verk skal du sukke for deres øine.
Kwa hiyo, mwanadamu, gumia kama kuvunjika kwa viuno vyako! Katika uchungu gumia mbele ya macho yao!
7 Og når de da sier til dig: Hvorfor sukker du? - da skal du svare: Over en tidende; for den kommer, og da skal hvert hjerte smelte og alle hender synke og hver ånd bli sløv og alle knær bli som vann; se, det kommer, og det skal skje, sier Herren, Israels Gud.
Kisha itatokea kwamba watakuuliza, 'Kwa sababu gani unalia?' Kisha utasema, 'Kwa sababu ya habari inayokuja, kwa kuwa kila moyo utakuwa dhaifu, na kila mkono utasita! Kila roho itazimia, na kila goti litatiririrka kama maji. Tazama! Inakuja na itakuwa kama hivi! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
8 Og Herrens ord kom til mig, og det lød så:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
9 Menneskesønn! Spå og si: Så sier Herren: Si: Et sverd, et sverd er hvesset, og slipt er det og.
“Mwanadamu, tabiri na sema, 'Bwana asema hivi: sema: Upanga! Upanga! Utachongwa na kusuguliwa!
10 Til å slakte er det hvesset, til å lyne er det slipt. Eller skulde vi glede oss, du min sønns stamme som forakter alt tre?
Utanolewa ili kushiriki katika machinjio makubwa! Utasuguliwa ili uwe kama mng'ao wa radi! Je! Tufanye furaha katika fimbo ya mwana wa mfalme? Upanga ujao huchukia kila hiyo fimbo!
11 Det skulde slipes for å tas i hånd; det er hvesset dette sverd, og det er slipt for å gis i en drapsmanns hånd.
Hivyo upanga utatolewa kwa ajili ya kusuguliwa, na kisha kushikika kwa mkono! Upanga umechongwa na umesuguliwa na utatolewa kwenye mkono wa yule auaye!'
12 Skrik og hyl, menneskesønn! For det kommer over mitt folk, det kommer over alle Israels fyrster; de blir overgitt til sverdet sammen med mitt folk. Derfor slå dig på lenden!
Ita msaada na omboleza, mwanadamu! Kwa kuwa upanga umekuja juu ya watu wangu! Uko juu ya wakuu wote wa Israeli. Wametolewa dhidi ya upanga pamoja na watu wangu. Kwa hiyo, piga paja lako!
13 For en prøvelse er for hånden, og hvad skulde den ramme, om ikke den stamme som forakter tukt? sier Herren, Israels Gud.
Kwa kuwa kuna kujaribiwa, lakini itakuwaje kama fimbo ya kifalme haitakuwepo tena? -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
14 Og du menneskesønn, spå og slå hendene sammen! Dobbelt, ja tredobbelt kommer sverdet, det sverd som slår mange ihjel, dette sverd som slår den store ihjel, det som truer dem på alle kanter.
Basi wewe, mwanadamu, tabiri, na piga makofi, kwa kuwa upanga utakushambulia hata mara tatu! Upanga kwa wale watakaochinjwa! Utakuwa upanga kwa ajili ya kuchinjia, ukiwatoboa pande zote!
15 Forat hjertene skal smelte og anstøtene bli mange, setter jeg et blinkende sverd mot alle dets porter; akk, det er gjort til å lyne, skjerpet til å slakte.
Ili kuyeyusha mioyo yao na kuongeza kuanguka kwao, nimeweka machinjio ya upanga juu ya malango! Ole! Umeundwa kama mng'ao wa radi, umetengwa kwa ajili ya kuua!
16 Ta dig sammen og hugg til høire! Vend dig og hugg til venstre! Dit hvor din egg er bestemt!
Wewe, upanga! Nyooka upande wa kuume! Nyooka upande wa kushoto! Nenda popote ulipoelekeza uso wako.
17 Også jeg vil slå hendene sammen og stille min harme; jeg, Herren, har talt.
Kwa kuwa pia nitapiga mikono yangu miwili kwa pamoja (makofi), na kisha nitaleta ghadhabu yangu kwa waliobakia! Mimi, Yahwe, nimesema hivi!”
18 Og Herrens ord kom til mig, og det lød så:
Neno la Yahwe likanijia tena, kusema,
19 Og du menneskesønn, gjør dig to veier, som kongen av Babels sverd kan fare frem på! Fra ett land skal de begge gå ut, og du skal risse en hånd - risse den ved begynnelsen av veien til hver by!
“Sasa wewe, mwanadamu, teua njia mbili kwa ajili ya upanga wa mfalme wa Babeli upate kuja. Njia hizo mbili zitaanza katika nchi moja, na kibao cha barabarani kitamwonyesha mmoja wao kama kuuelekea mji.
20 En vei skal du gjøre som sverdet kan fare frem på til Rabba i ammonittenes land, og en til Juda, inn i Jerusalem, den faste by.
Onyesha njia moja kwa ajili ya jeshi la Wababeli kuja Raba, mji wa Waamoni. Onyesha nyingine kuelekea jeshi la Yuda na mji wa Yerusalemu, ambayo imeimarishwa.
21 For Babels konge står på veiskjellet, ved begynnelsen av de to veier, for å la sig spå; han ryster pilene, han spør husgudene, han ser på leveren.
Kwa kuwa mfalme wa Babeli atasimama kwenye makutano ya barabara, kwenye njia panda, ili kufanya uganga. Alitingisha mishale na kuuliza mwelekeo kutoka kwa sanamu na atalichunguza ini.
22 I sin høire hånd får han loddet: Jerusalem; der skal han stille op murbrekkere, åpne munnen til krigsskrik, lufte røsten med hærrop - stille op murbrekkere mot portene, kaste op en voll og bygge skanser.
Katika mkono wake wa kuume kutakuwa na dalili kuhusu Yerusalemu, kuweka mitambo ya kubomolea juu ya hiyo, kufungua kinywa chake kupanga kuchinja, kutoa sauti ya vita, kuweka mitambo ya kubomolea juu ya malango, kujenga ngazi, na kusimamisha wima minara ya boma.
23 Men dette er i deres øine bare en tom spådom; de har jo de helligste eder. Men han minner om deres misgjerning, forat de skal gripes.
Itaonekana kuwa ishara isiyofaa katika macho ya wale walio katika Yerusalemu, wale walioapa kiapo kwa Wababeli! Lakini mfalme atawashtaki kwa kuvunja sheria ya mkataba ili kuwabariki!
24 Derfor sier Herren, Israels Gud, så: Fordi I selv minner om eders misgjerning, idet eders overtredelser åpenbares, så eders synder viser sig i alle eders gjerninger - fordi jeg således blir minnet om eder, skal I gripes med hånden.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umeuleta uovu wako kwenye kumbukumbu zangu, makosa yenu yatafunuliwa! Dhambi zenu zitaonekana katika matendo yenu yote! Kwa sababu hii utamkumbusha kila mtu mtakamatwa kwa mkono wa adui yenu!
25 Og du dødsdømte, du ugudelige, du Israels fyrste, hvis dag er kommet når den misgjerning er skjedd som fører til undergang!
Kama wewe, mchafu na mtawala mwovu wa Israeli, ambaye siku ya hukumu imekuja, na ambaye mda wa kufanya uovu umekoma,
26 Så sier Herren, Israels Gud: Ta huen bort og løft kronen av! Det som nu er, skal ikke være mere; det lave skal ophøies, og det høie skal fornedres.
Bwana Yahwe asema hivi kwako: Toa kilemba na vua taji! Mambo hayatakuwa tena kama yalivyokuwa! Kiinue kilicho chini na kiinue kilichoinuka!
27 Jeg vil vende op ned, op ned, op ned på det som er; heller ikke ved dette skal det bli, inntil han kommer hvem retten tilhører, og jeg gir ham den.
Uharibifu! Uharibifu! Nitaiharibu! Haitakuwa tena hadi atakapokuja yeye ambaye ameteuliwa kutekeleza hukumu.
28 Og du menneskesønn, spå og si: Så sier Herren, Israels Gud, om Ammons barn og om deres hånsord: Du skal si: Et sverd, et sverd er draget, slipt til å slakte, til å fortære, til å lyne,
Basi wewe, mwanadamu, tabiri na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi hawa ni watu wa Amoni kuhusiana na ujio wa aibu yao: Upanga, upanga umechirwa! Umenolewa kwa ajili ya kuchinja, hivyo utakuwa kama kimuli muli cha radi!
29 mens de skuer falske syner for dig og spår dig løgn, for å legge dig ved siden av de ihjelslåtte ugudeliges halser, hvis dag er kommet når den misgjerning er skjedd som fører til undergang.
Wakati manabii wameona maono ya uongo juu yako, wakati watakapofanya matambiko kuuijia kwa uongo juu yako, huu upanga utaanguka chini juu ya shingo za mwovu ambao wako karibu kuuawa, ambao siku ya ghadhabu imekuja na ambao mda wa uovu unakaribia kuisha.
30 Stikk sverdet i skjeden igjen! På det sted hvor du blev skapt, i det land hvorfra du er oprunnet, der vil jeg dømme dig.
Rudisha upanga kwenye gala yake. Katika mahali ulipoumbwa, katika nchi ya chimbuko lako, nitakuhukumu!
31 Og jeg vil utøse min harme over dig, min vredes ild vil jeg la lue mot dig, og jeg vil gi dig i ville menneskers hånd, som er mestere i å ødelegge.
Nitamwaga hasira yangu juu yako! Nitapuliza upepo wa moto wa ghadhabu juu yako na kukuweka kwenye mkono wa watu wakatili, watu wajuao kuangamiza!
32 Du skal bli til føde for ilden, ditt blod skal bli utøst i ditt land, ingen skal mere komme dig i hu; for jeg, Herren, har sagt det.
Utakuwa kuni kwa ajili ya moto! Damu yako itakuwa kati ya nchi. Hutakumbukwa tena, kwa kuwa mimi, Yahwe nimesema hivi!”'

< Esekiel 21 >