< Esters 10 >

1 Kong Ahasverus la skatt på fastlandet og på øene i havet.
Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
2 Men alt det han gjorde i sin makt og velde, og en nøiaktig fremstilling av den høie rang som kongen ophøiet Mordekai til, det er opskrevet i de mediske og persiske kongers krønike.
Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
3 For jøden Mordekai var den næste efter kong Ahasverus, og han var høit æret blandt jødene og avholdt av sine mange brødre; han søkte sitt folks vel og talte til beste for hele sin ætt.
Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.

< Esters 10 >