< 2 Kongebok 9 >

1 Profeten Elisa kalte på en av profetenes disipler og sa til ham: Omgjord dine lender og ta denne oljekrukke i din hånd og gå til Ramot i Gilead!
Nabii Elisha akamwita mmoja wa watoto wa manabii na kumwambia, “Vaa kwa kwa safari, halafu chukua hii chupa ndogo ya mafuta kwenye mikono yako na uende Romoth Geliadi.
2 Når du kommer dit, skal du opsøke Jehu, sønn av Nimsis sønn Josafat, og gå så inn og be ham stå op der han sitter blandt sine brødre, og før ham inn i det innerste kammer.
Wakati utakapofika, mtafute Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi, na uende ukaingie na kumfanya ainuke kutoka miongoni mwa rafiki zake, na ukampeleke katika chumba cha ndani.
3 Ta så oljekrukken og hell den ut over hans hode og si: Så sier Herren: Jeg har salvet dig til konge over Israel! Så skal du åpne døren og flykte og ikke dryge.
Kisha chukua ile chupa ya mafuta na imiminie kwenye kichwa chake na kusema, 'Yahwe anasema hivi: “Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli. “Halafu fungua mlango, na kukimbia; usichelewe.”
4 Så gikk den unge mann - den unge profet - til Ramot i Gilead.
Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Romoth Geliadi.
5 Og da han kom dit, så han hærens høvedsmenn sitte der; og han sa: Jeg har noget å si dig, høvedsmann! Da sa Jehu: Hvem av alle oss her? Han svarte: Dig, høvedsmann!
Wakati alipofika, kumbe, wale manahodha wa lile jeshi walikuwa wamekaa. Hivyo yule nabii kijana akasema, “Nimekuja mara moja naneno kwako, nahodha.” Yehu akajibu, “kwa yupi katika sisi?” Yule nabii kijana akajibu, “Kwako nahodha.”
6 Da stod han op og gikk inn i huset, og han helte oljen ut over hans hode og sa til ham: Så sier Herren, Israels Gud: Jeg har salvet dig til konge over Herrens folk, over Israel.
Basi Yehu akainuka na kwenda kwenye nyumba, na yule nabii akammiminia mafuta kwenye kichwa chake na kumwambia Yehu, “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: 'Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa Yahwe, juu ya Isaraeli.
7 Du skal gjøre ende på din herre Akabs hus, for jeg vil hevne mine tjenere profetenes blod og alle Herrens tjeneres blod på Jesabel.
Wewe lazima uiue familia ya Ahabu bwana wako, ili niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe, ambao waliokuwa wameuawa kwa mkono wa Yezebeli.
8 Og hele Akabs hus skal gå til grunne; jeg vil utrydde alle menn av Akabs ætt, både myndige og umyndige, i Israel.
Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu, yeyote awe mtumwa au mtu huru.
9 Jeg vil gjøre med Akabs hus som med Jeroboams, Nebats sønns hus, og med Baesas, Akias sønns hus.
Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama nyumba ya Yerobohamu mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya.
10 Og Jesabel skal hundene fortære på Jisre'els mark, og ingen skal begrave henne. Så åpnet han døren og flyktet.
Mbwa watamla Yezebeli katika Yezreeli, na hakutakuwa na mtu wa kumzika.” Kisha nabii akafungua mlango na kukimbia.
11 Da Jehu kom ut til sin herres menn, spurte de ham: Står alt vel til? Hvorfor kom denne gale mann til dig? Han svarte: I kjenner jo mannen og hans underlige tanker.
Kisha Yehu akatoka kwenda kwa watumishi wa bwana wake, na mmoja akamwambia, “Je kila kitu kiko sawa? Kwa nini huyu mwenda wazimu amekuja kwako?” Yehu akawajibu, “Mnamjua huyo mtu na mambo asemayo.”
12 Men de sa: Du taler ikke sant; si oss hvad det er! Da sa han: Så og så talte han til mig og sa: Så sier Herren: Jeg har salvet dig til konge over Israel.
Wakasema, “Huo ni uongo. Tuambie.” Yehu akajibu, “Alisema hivi na vile juu yangu, na pia akasema, 'hivi ndivyo Yahwe asemavyo: Nimekumiminia mafuta kama mfalme juu ya Israeli.””
13 Da skyndte de sig og tok hver sin kappe og la dem under ham på trappetrinene; og de støtte i basunen og ropte: Jehu er konge!
Kisha kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu juu ya madaraja. Wakapiga baragumu na kusema, “Yehu ni mfalme.”
14 Således fikk Jehu, sønn av Nimsis sønn Josafat, en sammensvergelse i stand mot Joram - Joram hadde med hele Israel ligget på vakt ved Ramot i Gilead mot kongen i Syria Hasael;
Katika njia hii Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi akafanya njama juu ya Yoramu. Basi Yoramu alikuwa akiilinda Ramothi Gileadi, yeye na Israeli yote, kwa sababu ya Hazaeli mfalme wa Shamu,
15 men selv var kong Joram vendt tilbake for å la sig læge i Jisre'el for de sår syrerne hadde slått ham da han stred mot Syrias konge Hasael. - Og Jehu sa: Hvis I så synes, så la ingen rømme og slippe ut av byen, så han kunde gå avsted og kunngjøre det i Jisre'el!
lakini mfalme Yoramu alikuwa amesharudi kwa Yezreeli ili kuponywa yale majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami, wakati akiwa anapigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Yehu akawaambia watumishi wa Yoramu, “kama hili ndilo wazo lako, kisha usimwache mtu aondoke na kwenda nje ya mji, ili aende kupeleka habari hii Yezreeli.”
16 Så steg Jehu op i sin vogn og drog til Jisre'el, for Joram lå syk der; og Judas konge Akasja hadde draget der ned for å se til Joram.
Basi Yehu akaendesha gari la farasi mpaka Yezreeli; kwa kuwa Yoramu alikuwa amelala huko. Basi Ahazi mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka chini kuonana na Yoramu.
17 Vekteren som stod på tårnet i Jisre'el, ropte da han så Jehu komme med sin flokk: Jeg ser en flokk som kommer. Da sa Joram: Ta og send en rytter for å møte dem og spørre: Kommer I med fred?
Mlinzi alikuwa amesimama juu ya mnara katika Yezreeli, akaliona lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo; akasema, “Naona kundi la watu wanakuja.” Yoramu akasema, “Chukua mwendesha farasi, na umtume akakutane nao; mwambie aseme, “Je mnakuja kwa amani?””
18 Rytteren drog ham i møte og sa: Så sier kongen: Kommer I med fred? Jehu svarte: Hvad kommer det dig ved? Vend om og følg mig! Vekteren meldte det og sa: Budet har nådd frem til dem, men kommer ikke tilbake.
Hivyo mwendesha farasi akatoka kumlaki; akasema, “Mfalme asema hivi: Je mnakuja kwa amani?”' Basi Yehu akasema, “Wewe una nini na amani? Geuka na unifuate nyuma.” Kisha yule mlinzi akamwambia mfalme, Yule mjumbe ameshaonana nao, lakini anarudi.”
19 Da sendte han en annen rytter, og da han kom til dem, sa han: Så sier kongen: Kommer I med fred? Jehu svarte: Hvad kommer det dig ved? Vend om og følg mig!
Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao na kusema, “Mfalme asema hivi: 'Je mnakuja na amani?”' Yehu akajibu, “Wewe una nini na amani? Geuka na kunifuata nyuma.
20 Vekteren meldte det og sa: Han har nådd frem til dem, men kommer ikke tilbake. Efter måten de farer frem på, ser det ut som det kunde være Jehu, Nimsis sønn; for han farer frem som en rasende.
Tena yule mlinzi akatoa taarifa, “Amekwisha kuonana nao, lakini hatorudi. Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo; anaendesha kwa kasi.”
21 Da sa Joram: Spenn for! Og de spente for hans vogn; og Israels konge Joram og Judas konge Akasja drog ut, hver på sin vogn; de drog Jehu i møte og traff ham på jisre'elitten Nabots mark.
Hivyo Yoramu akasema, “Andaa gari langu la farasi liwe tayari.” Wakaandaa gari lake la farasi, na Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazi mfalme wa Yuda akaendesha, kila mmoja kwenye gari lake la farasi, kumlaki Yehu. Wakamkuta kwenye mali ya Nabothi Myezreeli.
22 Da Joram fikk øie på Jehu, spurte han: Kommer du med fred, Jehu? Han svarte: Hvorledes kan du tale om fred så lenge din mor Jesabel holder på med sitt horelevnet og sine mange trolldomskunster?
Wakati Yoramu alipomuona Yehu, alisema, “Je unakuja katika hali ya amani, Yehu?” Akajibu, “Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele?”
23 Da vendte Joram om og flyktet, og han ropte til Akasja: Det er forræderi, Akasja!
Basi Yoramu akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia na kumwambia Ahazia, “Kuna udanganyifu, Ahazia.
24 Men Jehu grep sin bue med hånden og skjøt Joram mellem armene, så pilen gikk ut gjennem hjertet, og han sank ned i sin vogn.
Ndipo Yehu akauvuta upinde wake kwa nguvu zake zote na kumpiga Yoramu kati ya mabega yake; mshale ukaenda kwenye moyo wake, akaanguka chini kwenye gari lake la farasi.
25 Da sa Jehu til sin høvedsmann Bidkar: Ta og kast ham inn på jisre'elitten Nabots mark! Kom i hu hvorledes jeg og du red sammen efter hans far Akab, og Herren uttalte dette ord mot ham:
Ndipo Yehu akamwambia Bidkari nahodha wake, “Mchukue na mtupie kwenye shamba la Nabothi Myezreeni. Fikiria kuhusu vile ambavyo wewe na mimi tulivyoendesha pamoja baada ya Ahabu baba yake, Yahwe aliuweka juu unabii dhidi yake:
26 Sannelig, Nabots blod og hans sønners blod så jeg igår, sier Herren, og jeg vil gjengjelde dig det på denne mark, sier Herren. Så ta nu og kast ham inn på marken efter Herrens ord!
Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya watoto wake - asema Yahwe - na nitahakikisha unalipia hili shamba - asema Yahwe. Sasa basi, mchukue na mtupe kwenye hili shamba, sawa sawa na neno la Yahwe.”
27 Da Judas konge Akasja så det, flyktet han og tok veien til havehuset; men Jehu satte efter ham og ropte: Slå også ham ned! Og de slo ham ned i hans vogn i Gur-kleven ved Jibleam, og han flyktet til Megiddo og døde der.
Wakati Ahazi yule mfalme wa Yuda alipoliona hili, akakimbia kwa njia ya Bethi Hagani. Lakini Yehu akamfuata, na kusema, “Muulie humo kwenye gari la farasi,” na wakampiga mahali pa kupandia Guri, karibu na Ebleamu. Ahazi akakimbilia Megido na kufia pale.
28 Hans tjenere kjørte ham til Jerusalem, og de begravde ham i hans grav hos hans fedre i Davids stad.
Watumishi wake wakaubeba mwili wake kwa magari ya farasi kwenda Yerusalemu na kumzika kwenye kaburi lake pamoja na baba zake katika mji wa Daudi.
29 Men Akasja var blitt konge over Juda i Jorams, Akabs sønns ellevte år.
Basi ilikuwa mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu huyo Ahazia akaanza kutawala juu ya Yuda.
30 Så kom Jehu til Jisre'el; og da Jesabel hørte det, sminket hun sine øine og smykket sitt hode og så ut gjennem vinduet.
Wakati Yahu alipokuja kwa Yezebeli, Yezebeli akasikia juu ya hilo, akapaka wanja kwenye macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri, na kuchungulia kwenye dirisha.
31 Og da Jehu kom inn gjennem porten, ropte hun: Kommer du med fred, du Simri som slo din herre ihjel?
Kadiri Yehu alipokuwa akiingia kwenye lango, akamwambia, “Je unakuja kwa amani, wewe Zimri, muuaji wa bwana wako?”
32 Men han så op mot vinduet og sa: Hvem holder med mig? Hvem? Da så to, tre hoffmenn ut gjennem vinduet.
Yehu akatazama juu ya dirisha na kusema, “Ni nani yuko upande wangu? Nani?” Matowashi wawili au watatu wakachungulia nje.
33 Han ropte: Styrt henne ned! Da styrtet de henne ned, og hennes blod sprutet opefter veggen og på hestene, og han lot hestene tråkke henne ned.
Basi Yehu aksema, “Mtupeni chini.” Hivyo wakamtupa Yezebeli chini, na damu yake nyingine ikamwagika kwenye ukuta na farasi, na Yehu akamkanyaga kanyaga chini ya miguu.
34 Så gikk han inn, og da han hadde ett og drukket, sa han: Se efter denne forbannede kvinne og begrav henne! For hun er kongedatter.
Basi Yehu akaingia hiyo sehemu, akala na kunywa. Kisha akasema, “Mtazamani sasa huyu mwanamke aliyelaaniwa na kumzika, kwa kuwa ni binti wa mfalme.”
35 Men da de gikk avsted for å begrave henne, fant de ikke annet av henne enn hjerneskallen og føttene og hendene.
Wakaenda kumzika, lakini hawakumkuta ila fuvu, miguu, na viganga vya mikono yake.
36 De vendte tilbake og fortalte ham det; da sa han: Dette er det ord som Herren talte gjennem sin tjener tisbitten Elias da han sa: På Jisre'els mark skal hundene fortære Jesabels kjøtt,
Basi wakarudi na kumwambia Yehu. Akasema, “Hili ndilo neno la Yahwe ambalo ameliongea kupitia Eliya Mtishbi, likisema, 'Katika nchi Yezreeli mbwa ataula mwili wa Yezebeli,
37 og Jesabels lik skal bli som møkk på jorden på Jisre'els mark, så ingen skal kunne si: Dette er Jesabel.
na mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema, “Huyu ni Yezebeli.””

< 2 Kongebok 9 >