< Luka 5 >

1 Ligono limonga, Yesu peayimili mumihana ya nyanja ya ku Genezaleti, msambi wa vandu vamhinyayi kumtindila, muni vayuwanila lilovi la Chapanga.
Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti, na watu wengi walikuwa wamemzunguka wakisongana wanalisikiliza neno la Mungu.
2 Ndi aziweni watu zivili mumuhana ya nyanja, zavazilekili valova somba, muni vene vasanja ngwanda zavi.
Akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao.
3 Yesu akayingila muwatu wa mundu mmonga mwavamkemela Simoni, akamjovela Simoni wusayi watu pamuhana hegelesa mumanji palongolo padebe kuhuma pandumba. Yesu akatama muwatu na kutumbula kuwula msambi wa vandu.
Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na ukingo wa ziwa. Akaketi, akafundisha umati wa watu akiwa ndani ya mashua.
4 Peamali kuwula, akamjovela Simoni, “Hegelesa watu waku mbaka pamanji gamahele, mukahelesa ngwanda zinu mlova somba.”
Alipomaliza kufundisha, akamwambia Simoni, “Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate kuvua samaki.”
5 Simoni akamyangula, “Bambu, tikangamili kulova somba kilu yoha kawaka chindu chetipati, nambu ndava ujovi veve yati tihamba kuhelesa ngwanda mumanji.”
Simoni akamjibu, “Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu.”
6 Ndi pavahelisi ngwanda zavi, vakapata somba zamahele mbaka ngwanda zikatumbula kudauka.
Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.
7 Vakavakemelela na vayavi vevavi muwatu wungi, vabwelayi kuvatangatila. Vakabwela, vakamemesa watu zoha zivili somba mbaka zikatumbula kudodomela.
Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. Wakaja, wakazijaza mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama.
8 Simoni Petili pealoli genago, akamfugamila Yesu akajova, “Bambu uwuka palongolo yangu, ndava nene mwenimbudila Chapanga!”
Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, “Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!”
9 Ndava vapatili somba zamahele. Simoni pamonga na vayaki voha vakakangasa,
Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.
10 Mewawa Yakobo na Yohani vana va Zebedayo vevavili valova somba vayavi, pamonga na Simoni na vene vakakangasa. Yesu akamjovela Simoni, “Kotoka kuyogopa, kutumbula hinu wivya lepi mlova somba nambu yati wivya mlova wa vandu ndi kuvaleta vandu kwa Bambu.”
Hali kadhalika Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu.”
11 Ndi, pavamali kuzivika watu zila mumhana ya nyanja, vakagaleka goha na kumlanda Yesu.
Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
12 Ndi Yesu paavi kumuji umonga wa kwenuko, mgosi mmonga anamabudi higa yoha pamuweni Yesu, akamgwilila chakukupama mumagendelu gaki na akamjovela, “Bambu, ngati wigana uhotola kuninyambisa.”
Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: “Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa.”
13 Yesu akatalambula chiwoko chaki na kumpamisa akamjovela, “Nigana unyambasikayi!” Bahapo akalama mabudi gala.
Yesu akaunyosha mkono wake, akamgusa na kusema, “Nataka, takasika!” Mara ule ukoma ukamwacha.
14 Yesu akambesa, “Ukoto kumjovela mundu yeyoha, ndi uhamba ukajilangisa kwa Mteta wa Chapanga, ukawusa luteta ngati cheyilagiza mumhilu ya Chapanga geampeli Musa, muni yimanyikana kwa vene kulangisa kuvya unyambisiwi.”
Yesu akamwamuru: “Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona.”
15 Nambu Lilovi la Yesu likayendelea kudandasika pandu poha, na misambi ya vandu vakakonganeka muni vamyuwanila na kulamiswa matamu gavi.
Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
16 Nambu mwene akajibagula kuchiyepela, akavya mukuyupa kwa Chapanga.
Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.
17 Ligono limonga, Yesu peavili mukuwula. Vafalisayu na vawula va malagizu ga Musa kuhuma mukila chijiji cha ku Galilaya na Yudea na Yelusalemu vakavya kutama penapo. Na makakala ga Bambu wavi pamonga nayu, wa kulamisa vatamu.
Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo na walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
18 Ndi lukumbi lulalula, vakabwela vandu vevamugegesini mundu mgosi palusongwani, mwepolili higa agonili lusongwani, vakalinga kumyingisa mugati, vamuvikayi palongolo ya Yesu.
Mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.
19 Nambu nakuhotola kuyingila nayu mugati ndava ya vandu vamahele. Ndi vakakwela panani ya nyumba vakabowola chipagalu, na vakamuhelesa mweapoli yula pamonga na lusongwani lwaki mbaka peavili Yesu.
Lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. Basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu.
20 Yesu peayiweni kusadika kwavi kula, akamjovela mwaalwala yula, “Nkozi wangu, ulekekiswi kumbudila Chapanga waku.”
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
21 Vafalisayu na vawula va malagizu ga Chapanga geampeli Musa vakatumbula kukotana, “Mwenuyu mundu kiki mweakumliga Chapanga? Kawaka mundu mweihotola kulekekesa kubuda ndi nga Chapanga mwene!”
Walimu wa Sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: “Nani huyu anayemkufuru Mungu kwa maneno yake? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!”
22 Nambu Yesu amanyili maholo gavi akavakota, “Ndava kyani mukujikota genago mumitima yinu?
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
23 Chinonopa kiki, kujova ‘ulekekiswi kumbudila Chapanga waku,’ Amala kujova ‘Yima ugendayi’
Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee?
24 Hinu, nigana mumanyayi, Mwana wa Mundu ana uhotola wa kuvalekekesa vandu pamulima vevakumbudila Chapanga.” Ndi akamjovela mwaalwala yula, “Yima, tola lusongwani lwaku, uhamba kunyumba!”
Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani.”
25 Bahapo, mundu mweapoli yula akayima akatola, lusongwani lwaki lweagonili na akawuya kunyumba yaki kuni amulumbalila Chapanga.
Mara, huyo mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza Mungu.
26 Vandu voha vakakangasa na kuvya na wogohi, kuni vamulumbalilayi Chapanga vakajova, “Tigaweni mambu ga kukangasa lelu!”
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
27 Kangi, Yesu akahuma kuvala ndi amuwene mtola kodi mwavamkemela Lawi atamili munyumba ya kutolela kodi. Yesu akamjovela, “Nilandayi!”
Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, “Nifuate!”
28 Lawi akayima na kuleka kila chindu, akamlanda.
Lawi akaacha yote, akamfuata.
29 Kangi, Lawi amgongolili Yesu kunyumba yaki, na msambi wa vatola kodi na vandu vangi vatamili kulya pamonga na Yesu.
Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu wengine walikuwa wameketi pamoja nao.
30 Vafalisayu na vawula va Malagizu ga Chapanga geampeli Musa vakavang'ung'utila vawuliwa vaki vakajova, “Ndava kyani mwilya na vatola kodi na vandu vevakumbudila Chapanga?”
Mafarisayo na walimu wa Sheria wakawanung'unikia wafuasi wake wakisema: “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”
31 Yesu akavayangula, “Vangalwala vigana lepi mlamisa, nambu vevilwala vigana mlamisa.
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
32 Nene nibweli lepi kuvakemela vandu vevikita gegakumganisa Chapanga, nibweli kuvakemela vandu vevakumbudila Chapanga vamuwuyila.”
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu.”
33 Vandu vangi vakamjovela Yesu, “Vawuliwa va Yohani vakujihinisa chakulya na kuyupa, na vawuliwa va Vafalisayu na vene vikita mewa. Nambu vawuliwa vaku vilya na vinywa.”
Watu wengine wakamwambia Yesu, “Wafuasi wa Yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa.”
34 Yesu akavayangula, “Wu, muhololela kuvya muhotola kuvakita vankozi va mkolo ndowa vajihinisa chakulya kuni vavi pamonga na mkolo ndowa?
Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa arusini wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao?
35 Nambu lwalabwela lukumbi lwa Bambu kuwusiwa kuhuma kwavi, ndi penapo yati vakujihinisa kulya.”
Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga.”
36 Kangi Yesu akavajovela luhumu ulu, “Kawaka mundu mweipapula chilaka munyula ya mupya na kutota mulindimula. Ngati akitili chenichi, yati ayihalabisi nyula yeniyo na chilaka chenicho yati chiwanangana lepi na lindimula lila.”
Yesu akawaambia mfano huu: “Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya hivyo, atakuwa amelikata hilo vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu.
37 Kavili kawaka mundu mweisopa divayi ya mupya mulindimula la lihaku lelitengenizwi kwa chikumba, akakita chenicho, mahaku ga chikumba gala gipapuka na divayi yiyitika na mahaku ga chikumba yati gipapuka.
Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.
38 Nambu divayi ya mupya yisopewa mumahaku ga chikumba cha mupya.
Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!
39 Kawaka mundu mweinogela kunywa divayi ya mupya ngati akalongolili kunywa divayi ya kadeni. Muni ijova ya kadeni yila yabwina neju.
Wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: Ile ya zamani ni nzuri zaidi.”

< Luka 5 >