< Luka 16 >

1 Yesu akavajovela vawuliwa vaki, “Mundu mmonga mweavi na vindu vyamahele, avi na mundu wa kuyimilila lihengu laki. Mkolo vindu ayuwini kuvya myimilila lihengu yula ipomondana vindu.
Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
2 Mkolo vindu, akamkemela myimila lihengu yula na kumkota, ‘kyani cheniyuwana? Nigana univalangila vindu vyoha, muni nakuhotola kuyimalila lihengu langu kavili.’
Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
3 Myimalila lihengu yula akahololela mumtima waki, ‘Bambu wangu igana kunivinga lihengu, yati nikita kyani? Makakala ga kulima nakuhotola na kuhamba kuyupayupa ngati namngangu niwona soni.
Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
4 Hinu nimanyili chakukita, muni penivingiwayi lihengu, muni vandu vanikemelayi kunyumba zavi.’”
Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
5 “Akavakemela voha vevidayiwa vindu na bambu waki, mmonga mmonga akatumbula kumkota yula wa kutumbula. ‘Udayiwa vindu vilinga na bambu wangu?’
Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
6 Mwene akamyangula. ‘Makalangi kumi na mcheche ga mahuta ya mizeituni,’ Ndi myimalila lihengu yula akajova, ‘Tola balua laku lewidayiwa, tama kanyata, yandika saba.’
Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
7 Kangi akamkota yungi, ‘Veve wakalidayiwa vindu vilinga?’ Akayangula, ‘Magunila ga nganu miya yimonga.’ Muyimilila lihengu yula akamjovela. ‘Tola balua laku la gewidayiwa Yandika semanini.’”
kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
8 “Bambu yula akamulumba myimila lihengu mwachenjili yula, muni ahengili kwa luhala. Ndava vandu va mulima uwu vana luhala neju pevihenga vindu na vandu ngati avo, kuliku vandu vevavi munkosi wa Chapanga.” (aiōn g165)
Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
9 Yesu akayendelela kujova, “Nikuvajovela nyenye, mjipatila vankozi kuhuma mumashonga na vindu vya pamulima uwu, muni pevimalika, vavakemela mumatamilu gavi ga magono goha. (aiōnios g166)
Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
10 Mundu yoyoha mwaisadikiwa muvindu videbe, mewa yati isadikiwa muvindu vyamahele. Na yoyoha angasadikiwa muvindu videbe isadikiwa lepi muvindu vyamahele.
Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
11 Ngati nyenye mwisadikiwa lepi mumashonga na vindu vya pamulima, ndi yani akuvagotolela na vindu vya uchakaka?
Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
12 Ngati nakuhotola kusadikiwa mumashonga na muvindu vya mundu yungi, yani mweihotola kuvagotolela vindu vinu mwavene?”
Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
13 “Kawaka mvanda mweihotola kuvahengela vabambu vavili, muni yati amgana mmonga na kumhakalila yungi, amala yati ilongosana na mmonga na kumuvevesa yungi. Mwihotola lepi kumuhengela Chapanga na mashonga.”
Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
14 Vafalisayu pevayuwini genago, vakamvevesa Yesu, ndava vene vavi vandu vakugana mashonga,
Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
15 Yesu akavajovela, “Nyenye mujilola mwavabwina palongolo ya vandu, nambu Chapanga ayimanyili mitima yinu. Ndava chindu chechilolekana chabwina neju palongo ya vandu, kwa Chapanga chilolekana chihakau.”
Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
16 “Malagizu ga Chapanga geampelii Musa na mayandiku ga valota va Chapanga gakokwiswi mbaka lukumbi lwa Yohani wa Kubatiza. Kutumbula penapo, Lilovi la Bwina la Unkosi wa Chapanga ukokoswa, na kila mundu iyingila kwa makakala.
Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
17 Nambu yiyeywa neju kunani kwa Chapanga na mulima kuyaga kuliku kayandiku kadebe kuhunguliwa mu Malagizu ga Musa.”
Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
18 “Mundu yoyoha mweakumuleka mdala waki na kugega yungi, mwenuyo ikita ugoni na mundu yoyoha mwaakumgega, mdala mwaalekiwi yula.” Namwene mewa ikita ugoni.
Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
19 “Kwavili na mundu mmonga mweavi na vindu vyamahele, mwaawala nyula zezaguliwa kwa mashonga gamahele na nyula zezing'asima na kulya vindu vyabwina magono goha.”
Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
20 Na pamlyangu uvaha wa mundu mwenuyo, vavi kumvika mundu mmonga mngangu, liina laki Lazalu, mweavi na vilonda vyamahele.
Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
21 Mngangu mwenuyo, anogela kupewa vyakulya vevyagwayi pahi kuhuma pameza ya mkolo vindu vyamahele yula. Hati mabwa gabwela na kumihyanga vilonda vyaki.
Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
22 Lwakabwela lukumbi Lazalu yula afwili na vamitumu va kunani vakamtola na kumuvika papipi ya Ibulahimu. Na mkolo vindu vyamahele mewa afwili vakamzika.
Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
23 Mkolo vindu vya mahele yula, paavi mukung'ahika neju kuligodi litali langali mwishu, akamlola Ibulahimu cha kutali na Lazalu papipi yaki. (Hadēs g86)
Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
24 Ndi akamkemela. Dadi, Ibulahimu! Nihengela lipyana, umtuma Lazalu ajwisa lung'onji lwaki mumanji na kunipolesa lulimi lwangu, muni ning'ahika neju mumotu uwu!
Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
25 “Nambu Ibulahimu akamyangula, mwana vangu. Holalela, wapokili vindu vyabwina pawavi muwumi waku, na Lazalu opokili vindu vihakau. Hinu Lazalu ipumuliswa, na veve uvi mumang'ahiso.
Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
26 Pamonga na genago, pagati ya nyenye na tete, kuvili na ligodi livaha, muni vevigana kubwela kwa nyenye nakuhotola, na vevigana kuwuka kwa nyenye kubwela kwa tete nakuhotola,
Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
27 Mkolo vindu vyamahele yula akajova, ‘Hinu Dadi Ibulahimu nikuyupa umtuma Lazalu ahamba kunyumba ya valongo vangu,
Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
28 muni nivii nawu valongo mhanu, ahamba akavajovela vajiyangalila vakotoka navene vakotoka kubwela kumang'ahiso kuni.’”
kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
29 “Ibulahimu akamjovela, kwenuko ‘Valongo vaku vavi na mayandiku ga Musa na vamlota va Chapanga, valeka, vavayuwanila venavo.’
Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
30 Mkolo vindu vyamahele yula akajova kavili, ‘Lepi dadi Ibulahimu! Nambu ngati avahambalili mundu mweayukili kuhuma kwa vafwili, yati vileka kubuda kwavi.’
Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
31 Ibulahimu akajova, ‘Ngati nakuvayuwanila mayandiku ga Musa na vamlota va Chapanga, nakumyuwanila mundu yoyoha hati ngati ayukili kuhuma kwe vevafwili.’”
Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.

< Luka 16 >