< Luka 15 >

1 Ligono limonga vatola kodi na vevambudila Chapanga vamahele vahambili kumuyuwanila Yesu.
Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
2 Vafalisayu na vawula va malagizu ga Chapanga geampeli Musa vakatumbula kung'ung'uta, “Mumlola mundu mwenuyu, akuvakemela vandu vevambudila Chapanga na kavili ilya nawu!”
Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kunung'unika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.”
3 Yesu akavajovela luhumu ulu,
Yesu akawajibu kwa mfano:
4 “Ngati mmonga winu avi na mambelele, miya yimonga na akamanya kuvya mmonga pagati yavi ayagili, yati ikita kyani? Yati akugaleka mambelele tisini na tisa gala kulugangatu na kuhamba kulonda yila yeyiyagili mbaka ampatayi.
“Hivi, mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate.
5 Ngati amuwona yati akuyigega mumavega kwa luheku.
Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.
6 Peihika panyumba, Yati akuvakemela vamukozi vaki na veitama nawu papipi na kuvajovela, ‘Tivyai na luheku pamonga na nene ndava niliweni limbelele langu lelayagili.’
Anapofika nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimempata yule kondoo wangu aliyepotea.
7 Mewawa nikuvajovela, yati kwivya na luheku kunani kwa Chapanga, mundu mmonga mweakumbudila Chapanga, paileka kubuda, kuliku vandu tisini na tisa vabwina na viganikwa lepi kumuwuyila Chapanga.”
Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.
8 “Amala mdala yoki mweavi na mashonga kumi, limonga likamyaga, yati ikita wuli? Nakupambika hahi, na kutyanyila nyumba na kuilonda neju mbaka ayilola?
“Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.
9 Akamala kuipata, akuvakemela vankozi vaki na veitama nawu papipi na kuvajovela, ‘Mvya na luheku pamonga na nene muni nilipatili lishonga langu lelayagili!’
Akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.
10 Mewawa nikuvajovela, ndi chavivya na luheku vamitumu va kunani kwa Chapanga, ndava ya mundu mmonga mweambudili Chapanga, paileka kubudila Chapanga.”
Kadhalika nawaambieni, ndivyo watakavyofurahi malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu.”
11 Yesu akayendelela kujova. Kwavili na mundu mmonga mweavi na vana vasongolo vavili.
Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
12 Mdebe yula akamjovela dadi waki, Dadi, nipelayi uhali wa vindu vyeviganikiwa kupewa, Dadi waki akavagavanisila vindu vyaki.
Yule mdogo, alimwambia baba yake: Baba, nipe urithi wangu. Naye akawagawia mali yake.
13 Gapitili lepi Magono gamahele, mwana mdebe yula akagulisa vindu vyaki vyoha, na kuwuka na mashonga geapewili, akahamba kumulima wa kutali, kwenuko akazipomondana kwa mambu ga ukemi mashonga gala.
Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo.
14 Peamalili kila chindu cheavili nachu, ndi yikahumila njala yivaha pamulima wenuwo na mwene akatumbula kung'ahika.
Alipomaliza kutumia kila kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika.
15 Akahamba kwa mkolonjinji mmonga, wa mulima wenuwo na kuyupa lihengu, mwene akampela lihengu la kudima maguluvi kumgunda waki.
Akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.
16 Anogili kulya chakulya cha maguluvi gala, nambu kawaka mundu mweampeli chindu cha kulya.
Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.
17 Mumbele luhala lwamuyili akajova mumtima waki. Kuvi na vana lihengu, valinga kwa Dadi wangu, vevilya na kusigalisa chakulya na nene nifwa penapa na njala!
Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?
18 Yati niwuya kwa dadi wangu na kumjovela, Dadi, nimbudili Chapanga na nikubudili veve mewa.
Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia.
19 Niganikiwa lepi kavili kukemelewa, mwana waku, unikita ngati mmonga wa vana lihengu vaku.
Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.
20 Ndi akatumbula lugendu kuwuya kwa dadi waki. “Mwene peavili cha kutali, dadi waki amuweni, kwa mtima wa lipyana amjumbalili na kumjambusa cha uganu.
Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.
21 Mwana yula akamjovela, ‘Dadi, nimbudili Chapanga, na nikubudili veve mewa. Nene niganikiwa lepi kavili kukemelewa mwana waku.’
“Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao.
22 Nambu dadi waki akavajovela vanalihengu vaki, ‘Kanyata!’ Muleta nyula yabwina mumuwalika. Mumuwalika na pete pamonga na champali!
Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu!
23 Mukatola mpapakasi wa mweakulupi mukahinja, tilyayi na kuselebuka!
Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!
24 Ndava muni mwana vangu uyu kwa nene avi ngati afwili, nambu hinu akona mumi, ayagili hinu awonikini. Vakatumbula kuselebuka.”
Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. Wakaanza kufanya sherehe.
25 “Lukumbi lwenulo muhaja waki avi akona kumgunda. Ndi peawuyayi kuhegelela panyumba, akayuwana vilulu na vandu vikina ng'oma.
“Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma.
26 Akamkemela mmonga wa mtumisi kumkota, ‘Chivii kyani kwenuko?’
Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini?
27 Mtumisi yula akayangula, ‘Mlongo waku awuyili kunyumba, na dadi waku amuhinjili mpapakasi mweakulupili, muni ampatili akona mumi.’”
Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.
28 “Nambu mvaha yula akavya na ligoga na kubela kuyingila mugati. Ndi dadi waki akahuma kuvala na kumuyupa neju ayingila mugati.
Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
29 Nambu mwene akamyangula dadi waki, ‘Lola, Nikuhengili mahengu Miyaka yoha iyi ngati mvanda changabela malagizu gaku hati padebe. Unipeli kyani? Unipeli lepi hati kamene kadebe na nene nganiselebwiki na vankozi vangu.
Lakini yeye akamjibu: Kumbuka! Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye sherehe pamoja na rafiki zangu!
30 Nambu mwana waku uyu mwepomondini mashonga gaku pamonga na vakemi, peabweli umuhinji mpapakasi mweakulupili!’
Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono.
31 Dadi waki akamyangula, ‘Mwana vangu, veve uvi pamonga na nene magono goha na vindu vyoha vyenivi navyu vyaku.
Baba yake akamjibu: Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.
32 Nambu yatiganili kukita mselebuko na luheku ndava mlongo waku mweavi ngati afwili, hinu akona mumi, mweayagili nambu hinu awonikini.’”
Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.”

< Luka 15 >